Storm FM
Storm FM
12 August 2023, 7:44 pm
Mkurugenzi wa Kituo cha Redio cha Storm FM ameahidi kuendelea kutoa motisha kwa wafanyakazi wake wanaofanya vizuri katika nyanja mbalimbali ikiwemo tuzo. Na Mrisho Sadick: Storm FM imempongeza Mtangazaji na mwandishi wake Said Sindo kwa kushinda tuzo za umahiri za…
10 August 2023, 6:18 pm
Vitendo vya rushwa vimeendelea kuwa na athari kubwa hadi kwenye miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali kwa ajili ya wananchi. Na Mrisho Sadick: Miradi 12 yenye thamani ya shilingi Bilioni 5.6 imebainika kuwa na Mapungufu na viashiria vya rushwa wakati…
10 August 2023, 1:03 pm
Kufuatia uharibu uliofanyika na watu wasiojulikana katika Dimba la Nyankumbu Girls, ukarabati mkubwa umefanyika kwaajili ya klabu ya Geita Gold FC kuutumia kwenye michezo ya ligi kuu ya NBC. Na Zubeda Handrish- Geita Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa 2023/24…
9 August 2023, 3:20 pm
Darby ya Dar es salaam imeibua hisia za mashabiki wa soka mkoani Geita, na kufunguka timu yenye nafasi zaidi ya kutinga fainali ya Ngao ya Jamii kati ya michezo ya leo. Na Zubeda Handrish- Geita Michuano ya Ngao ya Jamii…
9 August 2023, 1:03 pm
Mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi Agosti 2023 yamechagiza waendesha vyombo vya moto mjini Geita kuongeza bei kiholela. Na Zubeda Handish- Geita Baadhi ya wananchi mkoani Geita wamezungumzia juu ya kadhia wanayokumbana nayo kwa waendesha vyombo vya usafiri ya…
8 August 2023, 7:37 pm
Mbio za Mwenge wa Uhuru zimefikia tamati Mkoani Geita baada ya kukimbizwa kwa siku sita katika Halmashauri sita za Mkoa huo kuanzia agosti 2 hadi 8 mwaka huu. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela amemkabidhi Mwenge…
7 August 2023, 10:33 pm
Mpaka sasa, mwenge umezunguka katika wilaya tano na halmashauri sita ndani ya mkoa wa Geita, ambapo umepitia miradi 59 yenye thamani ya Shilingi Bilioni 29 na kutembea umbali wa kilometa 770. Na Mrisho Sadick- Geita Mwenge wa Uhuru ukiwa wilayani…
7 August 2023, 6:35 pm
Shamrashamra za kilele cha wiki ya Simba zimeendelea leo kufuatia wanachama Senga kuzindua tawi ikiwa ni muendelezo wa siku ya jana Simba Day. Na Amon Bebe- Geita Leo wanachama wa klabu ya Simba kijiji cha Chanika kata ya Senga, Mkoani…
5 August 2023, 8:12 pm
Serikali imeendelea kujenga mizizi katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya kwa kuuanda klabu za kupinga matumizi hayo katika shule za msingi na sekondari. Na Mrisho Sadick: Watuhumiwa 25 wa dawa za kulevya wamekamatwa na kufikishwa mahakamani wilayani Geita ikiwa…
5 August 2023, 7:54 pm
Changamoto ya wanawake kujifungulia majumbani na barabarani huenda ikamalizika katika kata ya Ilolangulu wilayani Mbogwe baada ya serikali kujenga wodi. Na Mrisho Sadick: Wanawake wa kata za Ilolangulu , Isebya na Ikobe wilayani Mbogwe mkoani Geita wameondokana na adha ya…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.