Storm FM

Recent posts

15 August 2023, 1:55 pm

Washindi Dimbani Cup shangwe tu

Wadau wa soka Mkoani Geita wameendelea kuzipongeza taasisi za umma na binafsi kwa kuendelea kuuthamini mchezo wa mpira wa miguu kwa kuandaa mashindano mbaimbali ambayo yamekuwa chachu kwa kuibua vipaji vya vijana. Na Amon Bebe – Geita Baada ya fainali…

14 August 2023, 5:12 pm

Waokolewa wakiwa hai baada ya kukaa chini ya ardhi kwa siku tisa

Matukio ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu kufariki dunia katika Mkoa wa Geita yameendelea kujitokeza mara kwa mara huku sababu ya matukio hayo ikiwa ni uduni wa vifaa wanavyotumia. Na Mrisho Sadick: Wachimbaji wadogo wawili Mpina Shukuru (29) mkazi…

13 August 2023, 12:11 pm

Geita All Stars bingwa Dimbani Cup 2023

Agosti 5, 2023 ligi ya Dimbani Cup ilianza rasmi ikishirikisha timu nane na kuanzia hatua ya mtoano na kukamilishwa na mshindi wakwanza na wapili. Na Zubeda Handrish- Geita Ligi ya Dimbani Cup 2023 inayofanyika chini ya kituo cha redio cha…

12 August 2023, 7:44 pm

Storm FM yampongeza mwandishi wake kushinda tuzo za EJAT

Mkurugenzi wa Kituo cha Redio cha Storm FM ameahidi kuendelea kutoa motisha kwa wafanyakazi wake wanaofanya vizuri katika nyanja mbalimbali ikiwemo tuzo. Na Mrisho Sadick: Storm FM imempongeza Mtangazaji na mwandishi wake Said Sindo kwa kushinda tuzo za umahiri za…

10 August 2023, 6:18 pm

Miradi ya bilioni 5.6 yakutwa na mapungufu

Vitendo vya rushwa vimeendelea kuwa na athari kubwa hadi kwenye miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali kwa ajili ya wananchi. Na Mrisho Sadick: Miradi 12  yenye thamani ya shilingi Bilioni 5.6 imebainika  kuwa na Mapungufu  na viashiria vya rushwa   wakati…

10 August 2023, 1:03 pm

Nyankumbu Girls yang’ara kuelekea kuanza kwa ligi kuu

Kufuatia uharibu uliofanyika na watu wasiojulikana katika Dimba la Nyankumbu Girls, ukarabati mkubwa umefanyika kwaajili ya klabu ya Geita Gold FC kuutumia kwenye michezo ya ligi kuu ya NBC. Na Zubeda Handrish- Geita Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa 2023/24…

9 August 2023, 3:20 pm

Ni Yanga SC au Azam FC kutinga fainali leo?

Darby ya Dar es salaam imeibua hisia za mashabiki wa soka mkoani Geita, na kufunguka timu yenye nafasi zaidi ya kutinga fainali ya Ngao ya Jamii kati ya michezo ya leo. Na Zubeda Handrish- Geita Michuano ya Ngao ya Jamii…

9 August 2023, 1:03 pm

Kilio cha kupanda bei ya mafuta chawafikia abiria

Mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi Agosti 2023 yamechagiza waendesha vyombo vya moto mjini Geita kuongeza bei kiholela. Na Zubeda Handish- Geita Baadhi ya wananchi mkoani Geita wamezungumzia juu ya kadhia wanayokumbana nayo kwa waendesha vyombo vya usafiri ya…

8 August 2023, 7:37 pm

Geita yakabidhi Mwenge wa Uhuru Kagera

Mbio za Mwenge wa Uhuru zimefikia tamati Mkoani Geita baada ya kukimbizwa kwa siku sita katika Halmashauri sita za Mkoa huo kuanzia agosti 2 hadi 8 mwaka huu. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela amemkabidhi Mwenge…

7 August 2023, 10:33 pm

Mwenge wa Uhuru wafika kwa Hayati JPM

Mpaka sasa, mwenge umezunguka katika wilaya tano na halmashauri sita ndani ya mkoa wa Geita, ambapo umepitia miradi 59 yenye thamani ya Shilingi Bilioni 29 na kutembea umbali wa kilometa 770. Na Mrisho Sadick- Geita Mwenge wa Uhuru ukiwa wilayani…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.