Storm FM
Storm FM
21 August 2023, 9:06 am
Inadaiwa kibubu hakiwezi kutoa usalama wa moja kwa moja kama benki, huku kikidaiwa kupoteza fedha zilizohifadhiwa ndani yake , hili limewainua wauza vibubu na kutolea ufafanuzi. Na Zubeda Handrish- Geita Mfanyabiashara wa Vibubu katika soko la Nyankumbu la jioni amezungumzia…
20 August 2023, 9:58 pm
Afya ya kinywa na meno ni muhimu katika maendeleo ya taifa, kwani bila ya afya njema hata utendaji hautawezekana. Na Zubeda Handrish- Geita Mganga Mkuu wa mkoa wa Geita (RMO) Omari Sukari amewataka wataalamu na watoa huduma katika kitengo cha…
18 August 2023, 6:08 am
Uchafuzi wa mazingira ni kikwazo kwa maendeleo ya mitaa kwani ni chanzo pia cha magonjwa ya mlipuko. Na Kale Chongela- Geita Wakazi wawili mmoja akijulikana kwa jina la Mama Nelson wakazi wa Mtaa wa Ujamaa Halmashauri ya Mji wa Geita…
17 August 2023, 1:12 pm
Kuelekea msimu mpya wa mvua wananchi wilayani Mbogwe wamezihofia barabara zao zikiwemo zilizotelekezwa kwa muda mrefu huenda zikawapa changamoto iwapo hazitafanyiwa marekebisho. Na Nicholous Lyankando: Wananchi wa vijiji vya Ikunguigazi na Nyikonga wilayani Mbogwe mkoani Geita wamesikitishwa na kitendo cha…
17 August 2023, 12:35 pm
Kundi la watoto wa kike hususani maeneo ya vijijini mkoani Geita linakatisha masomo kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo ya hedhi. Na Mrisho Sadick: Ujuzi wa kushona taulo za kike kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari mkoani Geita umekuwa…
17 August 2023, 11:57 am
Migogoro ya ardhi kwa baadhi ya maeneo wilayani Geita imekuwa mwiba mchungu kwa wananchi hususani vijijini kwakuwa wengi wao hawajui waende wapi wakapate haki zao. Na Mrisho Sadick: Wakulima wa kijiji cha Salagulwa Kata ya Nyamlolelwa wilayani Geita wameiomba serikali…
16 August 2023, 4:22 am
Linapokuja suala la kuabudu waumini huwa na moyo na msukumo mkubwa katika utekelezaji wa jambo la kiimani, hili limejiri pia katika Kanisa la Chabulongo. Na Kale Chongela- Geita Baadhi ya waumini wa Kanisa la TAG mtaa wa Chabulogo wameshiriki na…
15 August 2023, 1:55 pm
Wadau wa soka Mkoani Geita wameendelea kuzipongeza taasisi za umma na binafsi kwa kuendelea kuuthamini mchezo wa mpira wa miguu kwa kuandaa mashindano mbaimbali ambayo yamekuwa chachu kwa kuibua vipaji vya vijana. Na Amon Bebe – Geita Baada ya fainali…
14 August 2023, 5:12 pm
Matukio ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu kufariki dunia katika Mkoa wa Geita yameendelea kujitokeza mara kwa mara huku sababu ya matukio hayo ikiwa ni uduni wa vifaa wanavyotumia. Na Mrisho Sadick: Wachimbaji wadogo wawili Mpina Shukuru (29) mkazi…
13 August 2023, 12:11 pm
Agosti 5, 2023 ligi ya Dimbani Cup ilianza rasmi ikishirikisha timu nane na kuanzia hatua ya mtoano na kukamilishwa na mshindi wakwanza na wapili. Na Zubeda Handrish- Geita Ligi ya Dimbani Cup 2023 inayofanyika chini ya kituo cha redio cha…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.