Storm FM
Storm FM
08/12/2023, 08:53
Changamoto ya nyaya zilizopitishwa chini ya nyumba za watu kinyemela zimezua taharuki kwa wakazi wa Tambukareli mjini Geita. Na Kale Chongela- Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Tambukareli kata ya kalangalala mjini Geita wanaoishi pembezoni mwa Barabara ya Q…
04/12/2023, 13:50
Elimu ya utalii imeendelea kuwaingia wananchi hali ambayo imekuwa ikichochea ukuaji wa utalii wa ndani kwa kasi. Na Mrisho Sadick – Geita Idadi ya utalii wa ndani imeongezeka kwa asilimia 159 mwaka 2023 huku wananchi wakihimizwa kuendelea kutembelea nakuwekeza kwenye…
03/12/2023, 21:28
Wafanyakazi wawili wa Hospitali ya Sakamu wamezua taharuki kwa kusheherekea kwa furaha siku ya kuzaliwa ya mwenzao kwa kutumia majitiba maarufu ‘dripu’. Na Said Sindo- Geita Wafanyakazi watatu wa hospitali binafsi ya Sakamu iliyopo eneo la Magereza, mtaa wa Katoma,…
28/11/2023, 13:18
Kutokana na ukuaji wa uzalishai wa zao la samaki, serikali imetenga bajeti kwaajili ya ujenzi wa kiwanda. Na Mrisho Sadick- Geita Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetenga kiasi cha zaidi ya Bilioni moja kwa ajili ya ujenzi wa…
27/11/2023, 23:36
Mvua zinazoendelea kunyesha bado ni changamoto kwa wakazi katika maeneo tofauti mkoani hapa. Na Said Sindo- Geita Wakazi wa kijiji cha Mharamba, wilaya ya Geita mkoani Geita wamesema maisha yao yako hatarini kutokana na kivuko (Gati) walichokuwa wakitumia kusombwa na…
26/11/2023, 00:54
Kilio cha wafanyabiashara kupata mikopo kutoka benki na kutambulika kibiashara, sasa imepata ufumbuzi baada ya wao wenyewe kusimama kidete kutetea hilo. Na Daniel Magwina- Geita Viongozi Chemba ya wafanyabiashara mkoa wa Geita wameanza ziara ya kutembelea Taasisi za fedha mkoa…
25/11/2023, 11:26
Bwana Colini mtendaji wa mtaa wa 14 kambarage ndiye aliyetolea taarifa tukio hilo la ugomvi wa mke na mume baada ya kutokea mtaani hapo. Na Kale Chongela- Geita Mwanamke Justina Paul ambaye alijeruhiwa kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake na…
22/11/2023, 06:25
Changamoto ya baadhi ya madereva pikipiki kukunja namba za usajili za vyombo vyao imekuwa kubwa kiasi cha Jeshi la Polisi mkoa wa Geita kuingilia kati kwa sababu za kiusalama. Na Kale Chongela- Geita Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limeanza…
20/11/2023, 12:24
Geita kuondoa vikwazo kwa wakulima ikiwemo kutatua changamoto ya upatikanaji wa mbolea ili kufikia malengo ya uzalishaji wa mazao ya chakula kwa wingi. Na Mrisho Sadick – Geita Mkoa wa Geita umekusudia kuzalisha Hekta zaidi ya laki tano za chakula…
18/11/2023, 15:38
Magonjwa yasiyo ya kuambukiza yameendelea kuwa tatizo miongoni mwa wakazi wa Mkoa wa Geita huku mtindo wa maisha ukitajwa kuwa sababu. Na Mrisho Sadick – Geita Idadi ya wagonjwa wanaosumbuliwa na Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ikiwemo kisukari katika kituo cha…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.