

15 April 2021, 6:00 pm
Na Paul Lyankando: Serikali ya kijiji cha Ikunguigazi wilayani mbogwe mkoani Geita kwa kushirikiana na wananchi wameendelea kutengeneza madawati ili kuondoa changamoto ya wanafunzi zaidi 890 kusomea chini. Mwenyekiti wa kijiji cha Ikunguigazi Bw Jumanne Manyasa amesema kwa kushirikiana na…
15 April 2021, 5:50 pm
Na Kale Chongela: Watoa huduma ya chakula katika halmashauri ya mji wa Geita wametakiwa kuvaa mavazi maalum wakati wa biashara pamoja na kofia kwa ajili ya kuimarisha usafi ili kuendelea kulinda afya za wateja wanaowahudumia. Wito huo umetolewa na Afisa…
14 April 2021, 7:41 pm
Na Mrisho Sadick: Katika hali isiyokuwa ya kawaida wakazi wa mtaa wa Nyantorotoro Kata ya Nyankumbu mjini Geita wamelazimika kuzika mara mbili mwili wa mtoto aliefariki baada ya kutoka kuzika na kuukuta mwili nyumbani. Tukio hilo limetokea wiki iliyopita, na…
14 April 2021, 7:16 pm
Na Paul Lyankando: Wananchi katika kijiji cha ikunguigazi wilayani mbogwe mkoani geita wamekamilisha ujenzi wa matundu 12 ya vyoo vya kisasa katika shule ya msingi ikunguigazi ili kunusuru zaidi ya wanafunzi 899 kujisaidia hovyo. Akizungumza mara baada ya kukamilika kwa…
14 April 2021, 6:52 pm
Na kalechongela: Wananchi Geita wameiomba serikali ya mkoa wa kupitia kitengo cha usalama barabarani kudhibiti suala na ubebaji wa watoto kwenye matanki ya mafuta kwenye pikipiki. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa Geita wakati wakizungumza na Storm FM nakusema…
14 April 2021, 6:36 pm
Na Joel Maduka: Mwanaume anaejulikana kwa jina la LEORNARD MFI mwenye (24) mkazi wa Kata ya Kaseme Wilayani Geita anadaiwa kumrudisha mke wake nyumbani kwao kwa sababu ya kujifungua mtoto mwenye ugonjwa wa kichwa kujaa maji. Mtoto huyo mwenye umri…
14 April 2021, 5:15 pm
Na Joel Maduka: Waislamu kote duniani leo hii wameanza kufunga kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo hujizuiya kula na kunywa kuanzia alfajiri hadi jua linapozama takriban siku 30 au 29 kutegemea na muandamo wa mwezi. Shehe Mkuu wa…
14 April 2021, 4:02 pm
Na Kale Chongela Serikali ya mtaa wa Tambukareli kata ya kalangalala Halmashauri ya mji wa Geita imeanza utekelezaji wa kuwachukulia hatua kali wafugaji ambao hawazingatia taratibu na kanuni za ufugaji maeneo ya mjini. Mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo Bw Mabula…
9 April 2021, 12:16 pm
Na Mrisho Sadick: Mtu mmoja mwenye umri wa miaka (32) mkazi wa kijiji cha Izumangabo kata ya Bwanga wilayani chato mkoani Geita amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kikoi cha mke wake huku chanzo cha tukio hilo kikiwa bado hakijafahamika. Tukio…
8 April 2021, 12:23 pm
Na Mrisho Sadick Mnyama aina ya kima au mbega amezua taharuki katika Mtaa wa uwanja mjini Geita baada ya kuingia katika makazi ya watu huku akiwa hajulikani ametoka wapi. Kima akiwa amejificha chooni Wakizungumza na Storm FM baadhi ya wakazi…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.