Storm FM
Storm FM
16/09/2025, 07:39
Mgombea ubunge wa Jimbo la Busanda, wilaya ya Geita kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Jafari Rajabu Seif, amezindua rasmi kampeni zake Septemba 15, 2025 kwa kuahidi kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi. Na: Ester Mabula Akizungumza wakati wa uzinduzi…
15/09/2025, 12:39
“Tunawashuru walimu kwa kutuandalia safari hii kwani imekuwa yenye tija kwetu katika kufahamu tabia za wanyama” – Mwanafunzi Na: Kale Chongela Wanafunzi wa shule ya msingi Mkoani iliyopo kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita wametembelea shamba la wanyama…
15/09/2025, 10:00
Upatikanaji wa magari hayo ni juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha mazingira ya kazi ya vyombo vya ulinzi na usalama nchini. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limepokea magari 15 mapya kwa lengo la…
15/09/2025, 09:28
Serikali, wamiliki na wadau kushirikiana ili kuhakikisha wanyamakazi punda wanathaminiwa na kutunzwa kwakuwa wanategemewa kiuchumi. Na Mrisho Sadick: Jamii mkoani Geita imetakiwa kuthamini na kulinda wanyamakazi punda ambao wamekuwa chanzo muhimu cha kipato kwa baadhi ya wananchi wanaofanya shughuli za…
15/09/2025, 08:25
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wazi mikakati ya kuhakikisha maendeleo yanashuka hadi ngazi za chini. Na Mrisho Sadick: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua rasmi kampeni katika Jimbo jipya la Katoro Mkoani Geita kwa msisitizo wa kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi hususan…
13/09/2025, 14:22
Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ya kunadi sera za ila i ya vyama vyao kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Na: Mwandishi wetu Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) kata ya Nyarugusu,…
12/09/2025, 05:28
“Kazi kubwa iliyopo kwa sasa ni kutafuta ushindi wa chama chetu na sio kuendelea kuvunja nguvu katika masuala yasiyo leta tija ndani ya chama” – Mwenyekiti Nyamaigoro Na: Ester Mabula Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi ya CCM wilaya ya Geita…
12/09/2025, 04:49
“Kwakweli tunampongeza Rais Samia kwa kutukumbuka kwenye hili kwani tulikuwa tunapitia changamoto sana kupata huduma za Afya” – Mwananchi Na: Kale Chongela Wakazi wa mtaa wa Ibolelo maarufu Mwabasabi kata ya Nyankumbu, halmashauri ya manispaa ya Geita wameipongeza serikali kwa…
12/09/2025, 04:34
Tanzania inajiandaa na Uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 ambapo rai imetolewa kwa wasimamizi wa uchaguzi kuepuka vitendo vya Rushwa. Na: Edga Rwenduru Taasisi ya kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita imewaonya wananchi na wasimamizi wa uchaguzi watakaobainika…
10/09/2025, 04:17
Wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wameendelea kuzungumza na wananchi kunadi sera za ilani ya vyama vyao ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kwenye Uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu. Na: Ester Mabula Baadhi ya Wananchi wa mtaa wa Mwatulole na…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.