Storm FM

Nini sababu ya wanawake kushindwa kujitokeza kugombea?

11 July 2025, 7:02 pm

Baadhi ya wanawake wakiwa katika mkutano wa hadhara mkoani Geita. Picha Maktaba ya Storm FM

Je nini hasa sababu inayopelekea wanawake mkoani Geita kuwa na mwitikio mdogo wa kujitokeza katika kugombea nafasi za uongozi??

Karibu kusikiliza makala maalumu ambayo imeangazia suala hili kwa kina zaidi. Muandaaji ni Ester Mabula na Amon Mwakarobo

Sauti ya makala