Wanawake wachimbaji wa madini ya dhahabu Geita wakiwa kazini. Picha na Daniel Magwina
Karibu katika makala fupi inayoangazia namna wanawake mkoani Geita walivyochangamkia fursa ya uchimbaji wa madini ya dhahabu. Makala hii imeandaliwa na mwandishi wetu Daniel Magwina.