Mazingira FM

Recent posts

27 September 2023, 12:45 pm

Wakazi wa Mcharo Sasa waanza kunywa maji ya Bomba

Wakazi wa Mcharo Sasa waanza kunywa maji ya Bomba ni ule mradi unaotekelezwa na RUWASA ambao mwenyekiti wa mtaa alinusurika kupigwa Na Adelinus Banenwa Wakazi wa Mcharo Sasa waanza kunywa maji ya Bomba ni ule mradi unaotekelezwa na RUWASA ambao…

27 September 2023, 12:24 pm

Jamii yaaswa kuendelea kutunza vyanzo vya maji

Lengo la upimaji wa maji ya mto huo ni kutaka kubaini hali ya afya ya mto Tigite katika vigezo vya asili na vya kisayansi, kazi hiyo imefanyika leo 26 sept 2023 Na Thomas Masalu. Maji ni kichocheo muhimu cha maendeleo…

26 September 2023, 3:25 pm

WWF, wadau wapima maji mto Tigite-Tarime

Shirika la WWF kwa kushirikiana na bonde la Ziwa Victoria wamefanya zoezi la kupima maji ya mto Tigite uliopo kijiji cha Matongo kata ya Matongo wilaya ya Tarime ili kubaini afya ya mto huo katika vigezo vya asili na vya…

23 September 2023, 8:06 am

Faru kivutio cha watalii hifadhi ya Serengeti

“Natoa rai kwa wananchi wote washiriki kuhakikisha kwamba Faru wanaendelea kubaki kwa ajili ya kizazi kilichopo na cha baadaye” Dkt Vincent Mashinji Na Thomas Masalu. Imebainishwa kuwa uwepo wa mnyama faru katika hifadhi ya taifa ya Serengeti unavutia watu wengi…

22 September 2023, 5:25 pm

Mtanda aipongeza halmashauri ya Bunda TC ubora wa miradi

Mkuu wa mkoa wa Mara mhe Said Mohamed Mtanda ameipongeza halmashauri ya mji wa Bunda kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo kwa viwango na kasi inayoitajika. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa mkoa wa Mara mhe Said Mohamed Mtanda ameipongeza…

22 September 2023, 5:17 pm

Serikali yaombwa kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara Bunda

Wafanyabiashara kupitia TCCIA wameiomba serikali kuweka mazingira rafiki na wezeshi ya kufanya biashara hasa kwa wafanyabiashara waliopanga kwenye majengo ya Umma kama vile stendi na sokoni. Na Adelinus Banenwa. Wafanyabiashara kupitia TCCIA wameiomba serikali kuweka mazingira rafiki na wezeshi ya…

22 September 2023, 4:01 pm

Wakazi Migungani walalamikia uzururishaji mifugo kwenye maeneo yao

Wakazi wa mtaa wa Migungani kata ya Bunda stoo wameitaka serikali ya mtaa kuwasimamia wafugaji ili waache kuzururisha mifugo katika maeneo yao. Na Adelinus Banenwa Tatizo la mufugo kuzurura mitaani, upungufu wa huduma ya maji, na wananchi kutohudhuria vikao ni…

22 September 2023, 2:53 pm

Mara waikubali ZUKU, waipokea kwa mikono miwili

Wananchi wa mkoa wa Mara wameoneshwa kuridhishwa na huduma ya king’amuzi cha ZUKU kutokana na ubora wake wa muonekano wa picha. Na Thomas Masalu Wananchi wa mkoa wa Mara wameoneshwa kuridhishwa na huduma ya king’amuzi cha ZUKU kutokana na ubora…

22 September 2023, 2:26 pm

Uchechemuaji katika masuala ya kilimo ni muhimu

Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na BUFADESO wamewakutanisha wadau wa kilimo wilaya ya Bunda na kuunda jukwaa la kilimo. Na Thomas Masalu Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na…