Mazingira FM

Recent posts

15 April 2021, 10:35 am

Dc Bunda: fanyeni usafi msisubiri mashindano

Mheshimiwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mwal Lydia Bupilipili amewataka wananchi kuendelea kujenga tabia ya kufanya usafi katika maeneo yao na siyo mpaka wasubiri kusukumwa ama kusubili mashindano. Rai hiyo ameitoa leo wakati akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake…

14 April 2021, 8:09 am

Waliokimbia ukeketaji Mara waendelea na maisha

Katika mila za kikurya, kizanaki na kiikizu  mkoani Mara moja ya Mila yao kubwa ilikuwa ni ukeketaji huku sababu kuu ikielezwa kuwa ni kutengeneza nidhamu miongoni mwa wanawake huku bila kutathmini madhara yanayoweza kujitokeza kwa wanawake pindi wanapofanyiwa kitendo hicho cha…

8 April 2021, 4:52 pm

Ukeketaji bado ni tishio kwa mabinti

Moja kati ya mila na desturi za Wakurya  mkoani Mara ilikuwa ni ukeketaji kwa kiasi kikubwa madhara ya ukeketaji yalikuwa hayafichuliwi  kutokana unyeti wa suala hilo. Rhoda Komanchi mkazi wa Bunda Balili anaeleza kuhusu hatari iliyotokea kwa watoto wake wawili…

8 April 2021, 12:49 pm

Dc Bunda awapongeza wananchi kwa ushirikiano kipindi cha maombolezo

Mheshimiwa mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Mwalimu Lydia Bupilipili amewashukuru Wananchi wa wilaya Bunda kwa kuonesha mshikamano na uzalendo wakati wa kipindi chote cha maombolezo ya msiba wa  aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe…

2 April 2021, 5:27 pm

Billioni 1 kujenga makao makuu ya halmashauri.

Halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imepokea kiasi cha pesa za KitanzaniaTsh. Billioni Moja kwa ajili ya ujenzi wa makao makuu ya halmashauri hiyo. Taarifa ya kupokea pesa hizo imetolewa katika kikao cha baraza la madiwani kwenye kikao cha…

2 April 2021, 4:52 pm

Dallo- watumishi acheni kutumia neno mchakato

Katibu wa chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Bunda mkoani Mara Ramamdhani Dallo amewataka watumishi wa umma na wakuu wa idara halmasauri ya wilaya ya Bunda kuacha mara moja kutumia neno mchakato na badala yake wajielekeze katika kutekeleza miradi ya…

31 March 2021, 5:30 pm

Kiapo cha Dkt Mpango chaja na mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

MAKAMU wa Rais mteule, Dkt Philip Mpango, ameapishwa leo Machi 31, katika ukumbi wa Ikulu Chamwino jijini Dodoma. Akihutubia baada ya makamu wake kuapishwa, Rais Samia, ametangaza Baraza Lake Jipya la mawaziri ambalo amefanya mabadiliko kidogo, Katika baadhi ya wizara…

25 March 2021, 3:17 pm

Waandishi wa habari wa redio za kijamii kanda ya ziwa wajengewa uwezo na TADIO

Katika kuhakikisha redio za kijamii  zinasikika kupitia kwenye mtandao TADIO  imeanzisha program maalumu itakayozisaidia redio zote za kijamii zilizopo kwenye TADIO Mafunzo hayo ya siku mbili yamefanyika Jijini Mwanza ambapo mafunzo yanalenga kuwawezesha waandishi kutoka vituo vya redio za kijamii…