Mazingira FM
Mazingira FM
26 August 2024, 9:44 am
Wanafunzi sita wa shule ya msingi Ochuna wilaya ya Rorya mkoani Mara wamefariki dunia wakidaiwa kuzama na kunasa kwenye tope. Na Adelinus Banenwa Wanafunzi sita wa shule ya msingi Ochuna wilaya ya Rorya mkoani Mara wamefariki dunia wakidaiwa kuzama na…
26 August 2024, 9:21 am
Vituo 1,597 ni sawa na ongezeko la vituo 50 ukilinganisha na vituo 1,547 vilivyotumika kwenye uboreshaji mwaka 2019/ 2020. Na Adelinus Banenwa Jumla ya vituo 1,597 mkoani Mara vimetengwa kutumika kwenye zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga…
23 August 2024, 6:14 pm
Halmashauri ya wilaya ya Bunda ina upungufu wa nyumba 500 za walimu ili kukidhi mahitaji ya walimu. Na Fadhil Mramba Halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara inakadiriwa kuwa na upungufu wa nyumba za walimu zaidi ya mia tano ambavyo…
23 August 2024, 3:12 pm
Wakurugenzi tengeni na pimeni maeneo ya malisho ili kuondoa migogoro baina ya wakulima na wafugaji. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa Wakurugenzi wa halmashauri zote nchini kutenga na kupima maeneo ya wafugaji ili kuondoa migogoro baina ya wakulima na wafugaji…
23 August 2024, 2:10 pm
Wananchi watakiwa kuepuka kutoa namba zao za NIDA ovyo ili kuepuka changamoto ya kutumika vibaya kwa namba hizo. Na Gaudensia Zakayo Jumla ya vitambulisho 528 vya taifa (NIDA) havijachukuliwa katika kata ya Bunda mjini. Hayo yamesemwa na Mtendaji wa kata…
21 August 2024, 10:30 pm
Mkuu wa wilaya Busega mkoani Simiyu amesema waandamanaji walimrushia mawe akiwa na viongozi wengine alipofika kuwasikiliza. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu Faiza Salim amesema hadi sasa watu108 wamekamatwa kufuatia maandamano yaliyofanywa na wakazi wa lamadi…
21 August 2024, 12:40 pm
Jeshi la polisi Lamadi wilaya ya Busega mkoani Simiyu limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wanaoandamana kwenda kituoni hapo na kufunga barabara kuu ya Mwanza – Musoma wakishinikiza kuonana na Mkuu wa Wilaya baada ya watoto kupotea. Na Edward…
16 August 2024, 8:46 pm
Dkt Vicent Naano Mkuu wa wilaya ya Bunda amewataka wanafunzi kutumia vitabu hivyo kuongeza ujuzi na maarifa yatakayowasaidia kufanya vizuri kwenye masomo yao. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano amezindua maktaba shule ya sekondari…
15 August 2024, 9:59 pm
Wanafunzi wa shule ya sekondari Dkt Nchimbi wamesema tangu kuanza kupata chakula shuleni kumekuwepo na mabadiliko makubwa sana hasa vipindi vya mchana kwa kuwa kabla hawajaanza mpango wa kupata chakula shuleni wanafunzi hao walikuwa wakilala, kuchoka, kundondoka na wengine kutoroka…
15 August 2024, 8:41 pm
Mwanafunzi yeyote ambaye hatachangia chakula shuleni baadhi ya nyaraka zake zitazuiliwa akimaliza kidato cha nne. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Naano amewapongeza wazazi na walimu shule ya sekondari Dkt Nchimbi kwa kuwa na muendelezo mzuri…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com