Nuru FM
Nuru FM
10 December 2024, 06:32
9 December 2024, 11:02
Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na timu maalum kutoka Kikosi cha Usalama barabarani Makao Makuu limefanya ukaguzi wa vyombo vya moto ambapo jumla ya magari 45 yamekutwa na makosa mbalimbali. Akizungumza kwenye operesheni hiyo…
7 December 2024, 11:02
Na Mwandishi wetu Historia imeandikwa katika Mkoa wa Iringa baada ya wananchi zaidi ya 4200 kuhudumiwa pamoja na wagonjwa zaidi ya 150 kufanyiwa upasuaji kutoka kwa Madaktari Bingwa wa Dkt.Samia walioweka kambi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa.…
7 December 2024, 10:40
Na Mwandishi wetu Mchungaji wa Kanisa la El-Huruma (E.H.C), John Chida, ambaye mwili wake ulihifadhiwa ndani ya nyumba kwa miezi miwili tangu alipofariki dunia ikisubiriwa kuwa angefufuka, umezikwa. Mwili wa Chida (47), umezikwa katika makaburi ya Mlolo, Manispaa ya Iringa…
5 December 2024, 08:55
Na Godfrey Mengele Hali ya kustaajabisha imetokea katika kijiji cha Isakalilo kilichopo kata ya Kalenga mkoani Iringa umekutwa mwili wa Mchungaji wa Kanisa la Huruma Mch John Wilson Chiba aliyefariki dunia tangu mwanzoni mwa mwezi wa Oktoba 2024 huku kukiwa…
4 December 2024, 12:03
Na Adelphina Kutika Ujenzi wa skimu ya umwagiliaji ya Mkombozi wenye thamani ya shilingi bilioni 55 uliopo Tarafa ya Pawaga wilaya ya iringa unatarajia kuongeza uzalishaji wa mpunga na kuinua uchumi wa Kata za Itunundu na Mboliboli. Hayo ameyasema Mhandisi…
4 December 2024, 11:09
Na Hafidh Ally Maambukizi ya Ukimwi Mkoa wa Iringa maambukizi ya virusi vya ukimwi mkoa wa iringa yapungua kutoka 11.3% mpaka 11.1% kwa mwaka 2020- 2023. Hayo yamezungumzwa na Mratibu wa huduma za kudhibiti Ukimwi Mkoa wa Iringa Prizantus Ngongi…
3 December 2024, 08:43
Na Halima, Aisha, Zahara na Shahanazi Viongozi wa dini mkoani Iringa wamewaasa vijana kuacha kujihusisha na shughuli zisizo halali kama michezo ya kubashiri na Kamari na badala yake kufanya shughuli zingine halali za kujiingizia kipato . Hayo yamezungumzwa na Mchungaji…
27 November 2024, 12:15
Na Azory Orema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Iringa Mjini kimesusia uchaguzi wa serikali za mtaa kwa kilee walichokiita kutoridhishwa na mwenendo mzima wa msimamizi wa uchaguzi jimbo la iringa mjini. Akizungumza na Nuru Fm mwenyekiti wa…
26 November 2024, 13:20
Na Zahara Said na Aisha Ibrahim Kuelekea Uchaguzi wa serikali za Mitaa hapo kesho Nov 27, Serikali Wilaya ya Iringa imeweka utaratibu wa kuwapa kipaumbele wanawake wajawazito, wazee na watu wenye mahitaji Maalumu ili waweze kushiriki katika uchaguzi huo. Akizungumza…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.