Recent posts
1 February 2025, 09:47
Halmashauri ya Mafinga Mji yapitisha bajeti ya bil 31.5 mwaka 2025/2026
Na Hafidh Ally Halmshauri ya Mafinga Mji Mkoani Iringa imepitisha jumla ya shilingi Bilioni 31.5 katika Bajeti ya Mwaka wa fedha 2025/2026. Akiwasilisha rasimu ya Mpango wa Bajeti ya 2025/2026 katika Baraza Madiwani, Afisa Mipango Halmashauri ya Mji Mafinga, Peter…
30 January 2025, 13:43
Shirika la GAIN Iringa latoa mbegu za maharage lishe shuleni
Na Joyce Buganda Shirika la Global Alliance for Improved Nutrition (GAIN) limegawa mbegu za maharage lishe katika shule za msingi na Sekondari Halmashauri ya Manispaa ya Iringa huku lengo ni kuhamasisha kilimo cha mazao lishe na kupambana na tatizo la…
30 January 2025, 10:00
CCM Iringa wataja sababu za kuunga mkono Rais Samia kugombea 2025
Na Hafidh Ally Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa kimesema kuwa sababu ya mkutano Mkuu wa CCM Taifa Kupendekeza Jina la Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee katika nafasi ya Urais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao ni utekelezaji wa…
28 January 2025, 15:16
Takukuru Iringa yabaini kasoro miradi ya maendeleo
Na Hafidh Ally Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa Takukuru Mkoa wa Iringa imebaini kasoro katika mradi wa maji wenye thamani ya Bilioni 1.5 fedha za Mfuko wa Maji wa Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa Takukuru Mkoa…
23 January 2025, 11:50
Wadau wa mazingira na utalii kuja na mpango wa kutunza vivutio vya asili
Na Joyce Buganda Wadau wa Mazingira na utalii wametakiwa kuwa mabalozi kwa kutunza vivutio vya asili ili jamii inayowazunguka iige mfano kutoka kwao Akizungumza wakati akifungua warsha ya siku mbili iliofanyika katika ukumbi wa hotel ya Sunset Iringa mjini Mkuu…
23 January 2025, 11:26
Lissu atakiwa kuzisemea changamoto Cha wananchi
Na Cleef Mlelwa Wanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mjini Makambako wamemtaka Mwenyekiti wao Tundu Lissu kuhakikisha wanajenga ofisi zake na kuwa tumaini kwa wananchi kwa kuzisemea changamoto zinazoikabili jamii hasa katika sekta ya afya,elimu na kilimo. Wakizungumza…
20 January 2025, 12:13
Tuna Finance Hub kutoka UoI kuwanufaisha vijana
Na Joyce Buganda Umoja wa Tuna Finance Hub kutoka Chuo Kikuu cha Iringa wamejidhatiti kuhakikisha vijana wa Iringa wanakombolewa kiakili na kifikra katika utafutaji na jinsi ya kupata maendeleo katika sekta mbalimbali. Akizungumza wakati wa kutoa elimu hiyo katika chuo…
20 January 2025, 11:38
Manispaa ya Iringa yatoa mkopo wa mil. 528.7 kwa vijana, wanawake na wenye ulema…
Na Godfrey Mengele Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imeanza rasmi zoezi la utoaji mikopo kwa wanufaika 52 wa vikundi vya Vijana, Wanawake na wenye Ulemavu, vilivyo kidhi vigezo vya kupewa Mikopo hiyo, kwa kupewa hundi ya kiasi cha shilingi Milioni…
17 January 2025, 12:46
One Acre Fund yatoa miti Kilolo kutunza mazingira
Na Joyce Buganda Wananchi wa kijiji cha Itimbo, kata ya Ihimbo wilayani Kilolo Mkoani Iringa wamenufaika na msaada wa miti uliotolewa na Shirika la One Acre Fund. Wakizungumza wakazi wa kijiji hicho wakati wa kupokea miti hiyo Wamesema miti hiyo…
17 January 2025, 12:14
Mafinga Mji yafanya ufuatiliaji wa wanafunzi waliopangiwa shule mwaka 2025
Na Sima Bingilek Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa imefanya Ufuatiliaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza waliopangiwa katika Shule zetu za Sekondari tangu kufunguliwa kwa shule Jan 13 mwaka huu. Akizungumza wakati wa Ufuatiliaji huo Afisa Elimu Sekondari Halmashauri…