Nuru FM
Nuru FM
8 November 2024, 21:48
Na Fredrick Siwale Wanafunzi na walimu wa shule ya Msingi Mafinga Mkoani Iringa wanatarajia kunufaika na Mradi wa Maji ya kisima kilichochimbwa na shirika la Water for Afrika. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa kamati ya Shule ya Msingi Mafinga Bi.Sifa…
8 November 2024, 11:35
Na Hafidh Ally Serikali inatarajia kufanya Utafiti wa Kilimo, uvuvi na ufugaji Ili kuendana na Milengo ya Milenia ya Maendeleo endelevu ya kupambana na Njaa kabla ya mwaka 2030. Hayo yamezungumzwa na Kamisaa wa sensa ya watu na makazi Bi.…
6 November 2024, 10:01
Na Furahin Kahise Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Iringa kimewapongeza walimu wazalendo wa CCM mkoani hapa kwa kufanya kazi kwa ukaribu na chama hicho katika utekelekezaji wa shughuli za kijamii. Hayo yamezungumzwa na Katibu wa Siasa Itikadi Uenezi na…
5 November 2024, 11:15
Na Fredrick Siwale Vijana Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa Wametakiwa kuchangamkia fursa za kiuchumi na Maendeleo katika Sekta ya Kilimo kufuatia serikali kutoa zaidi ya Milioni 500 katika sekta hiyo. Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa…
1 November 2024, 10:36
Na Adelphina Kutika Wananchi wa Kitongoji cha Itemela na Mpilipili, kata ya Nyazwa, wilayani Kilolo, mkoani Iringa, wamehimizwa kutunza miundombinu ya umeme iliyozinduliwa katika kijiji chao. Akizungumza baada ya hafla ya uzinduzi wa umeme na utoaji elimu, Meneja wa Tanesco…
1 November 2024, 10:23
Na Hafidh Ally na Godfrey Mengele Jumla ya wagonjwa 170 wamepokelewa na kutibiwa katika kambi ya madaktari bingwa wa samia awamu ya pili kwenye hospitali ya wilaya ya frelimo. Hayo yamezungumzwa wakati wa ziara ya mkuu wa wilaya kheri james …
31 October 2024, 10:54
Na Shaffih Kiduka, Halima Abdalla, Zahara Said na Shahanazi Subeti Siku chache baada ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kutangaza utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, baadhi ya wananchi Manispaa ya iringa wamesema…
31 October 2024, 10:00
Karibu Kusikiliza Makala maalumu inayohusu ushiriki wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi hasa kwenda kliniki na mwenza wake kupata ushauri na nasaha kutoka kwa wataalamu wa afya.
23 October 2024, 10:51
Na Fredrick Siwale Wananchi wa Kata ya Boma Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa wameridhia kuchanga fedha kiasi cha shilingi elfu 7 kila mzazi ili zisaide kujenga miundombinu ya maji katika mradi wa kisima uliojengwa shule ya Msingi Mji Mwema.…
23 October 2024, 09:38
Na Hafidh Ally Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), limeonya baadhi ya watu wanaowapotosha wafugaji wilayani Mbarali katika Mkoa wa Mbeya kwamba Serikali imeruhusu kuingiza mifugo ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha likidai kuwa taarifa hizo sio za kweli…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.