Nuru FM
Nuru FM
31 December 2024, 10:01
Na Adelphina Kutika Wakazi wa Kijiji cha Lusinga, Kata ya Dabaga, Wilaya ya Kilolo, wanaoishi katika mikoa mbalimbali ya Tanzania, wamekusanyika kwenye kijiji hicho kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka kwa lengo la kukumbushana malezi bora na maadili yenye misingi…
24 December 2024, 08:55
Na Godfrey Mengele Takribani wananchi 4,610 wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wamefaidika na kampeni ya Msaada wa kisheria ya mama Samia iliyokuwa na lengo la kuwasaidia wananchi utatuzi wa kisheria wa masuala mbalimbali Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa wilaya…
19 December 2024, 09:09
Na Zahara Said na Halima Abdallah Kuelekea sikukuu za Mwisho wa Mwaka, Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa limewataka madereva kuwa makini pindi wanapoendesha vyombo vya moto ili kupunguza ajali barabarani. Hayo yamezungumwa na Mtahini wa…
19 December 2024, 09:01
Na Hafidh Ally Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeeleza kuwa uwepo wa mawakala kwenye vituo vya kuandikisha wapiga kura ni kielelezo cha uwazi na haki katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Akizungumza wakati…
16 December 2024, 12:54
Na Hafidh Ally Tume huru ya Taifa ya uchaguzi imewataka wananchi Mkoani Iringa kutojiandikisha zaidi ya mara moja katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajia kuanza Dec 27 mwaka huu. Akizungumza katika mkutano wa Tume…
16 December 2024, 10:27
Na Ayoub Sanga Jeshi Polisi Mkoa wa Iringa linawatafuta Askari namba F. 4987 Sajenti Rogers Joshua Mmari wa kituo cha Polisi Ipogolo na Askari wa Jeshi la Akiba (Mgambo) Thomas Mkembela kwa tuhuma za kumuua Nashon Kiyeyeu (23) Mkazi wa…
16 December 2024, 08:51
Na Adelphina Kutika Wafugaji wa Kijiji cha Ng’osi kata ya Uhambingeto wilaya ya Kilolo mkoani Iringa wameshauriwa kuweka mipango kazi katika shughuli zao za ufugaji ili kufanya ufugaji wenye tija. Hayo yamesemwa na Afisa Mifugo kata ya Uhambingeto Alex Sangijo…
11 December 2024, 21:59
Na Hafidh Ally Wananchi Mkoani Iringa wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia iliyozinduliwa rasmi katika Viwanja vya Mwembetogwa Mkoani Iringa. Akizungumza katika uzinduzi wa Kampeni hiyo Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya…
11 December 2024, 07:19
10 December 2024, 12:31
Na Mwandishi wetu Wanaume kutoka Kijiji cha Igangidung’u Kata ya Kihanga wilayani Iringa wameeleza namna ambavyo wanafanyiwa ukatili wa kisaikolojia kwa kupewa dawa za kuwapumbaza akili zikifahamika kwa jina la ‘limbwata’ sambamba na kukutana na vipigo kutoka kwa wake zao.…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.