Nuru FM

Recent posts

13 March 2023, 12:57 pm

Elimu Matumizi Mitandao kwa Watoto

Kutokana na kukua kwa teknolojia wazazi wametakiwa kuwafundisha watoto wao matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii. Na Joyce Buganda. Mtaalamu wa masuala ya teknolojia na Tehama wilayani Mufindi Bw. Hasan Chunya amesema  juu ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii…

13 March 2023, 12:21 pm

Wasanii Wakemea Ukatili Iringa

Kufuatia matukio ya kikatili yanayoendelea kushamiri katika mkoa wa Iringa wasanii wenye asili ya Iringa wameamua kuungana kutengeneza filamu yenye maudhui ya kupinga ukatili. Na Adelphina Kutika. Wasanii maarufu  wa filamu nchini ambao  asili yao kutoka  mkoa wa Iringa  wamesema…

7 March 2023, 4:27 pm

Polisi Watoa Elimu Kukemea Ukatili Iringa

Kufatia kukithiri kwa matendo ya kikatili katika mkoa wa Iringa Jeshi la Polisi linaendeleza kampeni ya kutoa elimu ya kutokomeza ukatili. Na Joyce Buganda. Jeshi la polisi Mkoani Iringa linandelea na kampeni ya kutoa elimu katika makundi mbalimbali  kuhusu mambo…

3 March 2023, 4:46 pm

Majangili Wanaswa na Meno ya Tembo

Hii ni moja ya mafanikio ya misako inayofanyika na jeshi la polisi mkoa wa Iringa wakishirikiana na TANAPA. Na Adelphina Kutika. Askari wa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha (Runapa) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Tanzania limewakamata watu watatu mjini…

3 March 2023, 4:18 pm

Dhamana Kizungumkuti Iringa

Wameomba elimu hiyo mara baada ya kupata usumbufu ambao wamekuwa wakipitia wakati mgumu wakifuatilia dhamana. Na Joyce Buganda. Wakazi wa Manispaa ya Iringa  wameiomba Serikali kuendelea kutoa elimu kuhusu  suala la  dhamana ili kuwapunguzia adha pindi wanapohitaji huduma hiyo. Wakizungumza…

1 March 2023, 2:24 pm

Wodi yazinduliwa Kilolo -Wanawake kunufaika

Wodi yenye thamani zaidi ya milioni 190 yajengwa Ipalamwa baada ya kuteseka muda mrefu kwa wananchi hao. Na Joyce Buganda. Zahanati ya Ipalamwa chini ya shirika la GLOBAL VOLUNTEER wilaya ya Kilolo imezindua wodi ya kinamama wanaotarajia kujifungua yenye thamani…

28 February 2023, 4:58 pm

Tanroads Iringa yaicharaza Njombe 5-0

Katika kujenga mahusiano mazuri ya kiutendaji,TANROADS mkoa wa Iringa pamoja na mikoa ya Njombe na Mbeya wamefanya bonanza la michezo. Na Ansigary Kimendo TANROADS mkoa wa Iringa wamefanya bonanza la michezo lililoshirikisha watumishi wa TANROADS kutoka mikoa ya Njombe Mbeya…