![](https://radiotadio.co.tz/nurufm/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
![](https://radiotadio.co.tz/nurufm/wp-content/uploads/sites/12/2020/11/logo-nuru-150x150.jpg)
14 March 2023, 8:26 pm
Na Hafidh Ally Mama Mzazi wa Familia ya walemavu watatu wa familia moja anashindwa kumudu gharama za kuwalea watoto wake na kuwapatia matibabu. Walemavu watatu wa familia moja katika Kijiji cha Lulanzi kilichopo Kata ya Mtitu Wilaya ya Kilolo Mkoani…
13 March 2023, 12:57 pm
Kutokana na kukua kwa teknolojia wazazi wametakiwa kuwafundisha watoto wao matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii. Na Joyce Buganda. Mtaalamu wa masuala ya teknolojia na Tehama wilayani Mufindi Bw. Hasan Chunya amesema juu ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii…
13 March 2023, 12:21 pm
Kufuatia matukio ya kikatili yanayoendelea kushamiri katika mkoa wa Iringa wasanii wenye asili ya Iringa wameamua kuungana kutengeneza filamu yenye maudhui ya kupinga ukatili. Na Adelphina Kutika. Wasanii maarufu wa filamu nchini ambao asili yao kutoka mkoa wa Iringa wamesema…
8 March 2023, 7:34 pm
Ziara ya kuwapeleka walemavu wa Kijiji cha Lulanzi katika hifadhi ya Taifa ya Rauha, ili kutalii na kujionea vivutio vilivyopo katika hifadhi hiyo. Na Hafidh Ally Balozi wa Utalii Nchini Tanzania Bi. Isabella Mwampamba ametimiza ahadi ya kuwapeleka kufanya Utalii…
7 March 2023, 4:27 pm
Kufatia kukithiri kwa matendo ya kikatili katika mkoa wa Iringa Jeshi la Polisi linaendeleza kampeni ya kutoa elimu ya kutokomeza ukatili. Na Joyce Buganda. Jeshi la polisi Mkoani Iringa linandelea na kampeni ya kutoa elimu katika makundi mbalimbali kuhusu mambo…
7 March 2023, 12:38 pm
Ujenzi wa Nyumba ya walemavu wanaoishi Kijiji cha Lulanzi umegharimu kiasi cha shilingi Milioni 26 huku kati ya fedha hizo kiasi cha shilingi milioni 5 zikitolewa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na Hafidh Ally Hatimaye Nyumba…
3 March 2023, 4:46 pm
Hii ni moja ya mafanikio ya misako inayofanyika na jeshi la polisi mkoa wa Iringa wakishirikiana na TANAPA. Na Adelphina Kutika. Askari wa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha (Runapa) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Tanzania limewakamata watu watatu mjini…
3 March 2023, 4:18 pm
Wameomba elimu hiyo mara baada ya kupata usumbufu ambao wamekuwa wakipitia wakati mgumu wakifuatilia dhamana. Na Joyce Buganda. Wakazi wa Manispaa ya Iringa wameiomba Serikali kuendelea kutoa elimu kuhusu suala la dhamana ili kuwapunguzia adha pindi wanapohitaji huduma hiyo. Wakizungumza…
1 March 2023, 2:24 pm
Wodi yenye thamani zaidi ya milioni 190 yajengwa Ipalamwa baada ya kuteseka muda mrefu kwa wananchi hao. Na Joyce Buganda. Zahanati ya Ipalamwa chini ya shirika la GLOBAL VOLUNTEER wilaya ya Kilolo imezindua wodi ya kinamama wanaotarajia kujifungua yenye thamani…
28 February 2023, 4:58 pm
Katika kujenga mahusiano mazuri ya kiutendaji,TANROADS mkoa wa Iringa pamoja na mikoa ya Njombe na Mbeya wamefanya bonanza la michezo. Na Ansigary Kimendo TANROADS mkoa wa Iringa wamefanya bonanza la michezo lililoshirikisha watumishi wa TANROADS kutoka mikoa ya Njombe Mbeya…