Recent posts
16 December 2022, 4:54 pm
TANESCO Yaendeleza Jitihada Kukabiliana Na Hali Ya Upungufu Wa Umeme Nchini
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), limefanikiwa kupunguza makali ya upungufu wa umeme kutoka wastani wa megawati 350 kwa wiki zilizopita hadi kufikia wastani wa megawati 150 kwa sasa. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco Bw. Maharage Chande mbele ya…
12 December 2022, 11:14 am
Wananchi iringa wahimizwa kufunga mwaka kwa kufanya utalii wa Kulisha wanyama
Kampuni ya usafirishaji watalii ya Bateleur Safari & Tours Mkoa wa Iringa inatarajia kufanya ziara ya utalii ya kufunga mwaka 2022. Akizungumza na Nuru Fm, Mkurugenzi wa Kampuni Hiyo Rajipa David amesema kuwa kuelekea kufunga mwaka 2022 wameandaa Ziara iliyopewa…
12 December 2022, 6:25 am
Timu ya Igowole FC yaibuka Mabingwa wa michuano ya Kihenzile Cup 2022
Timu ya Igowole FC imefanikiwa kuwa mabingwa wa mashindano ya Kihenzile cup and awards mwaka 2022 baada ya kuifunga Timu ya Nyololo Kwa Mikwaju ya Penalti baada ya kutoka sare ya kufungana goli 2-2 katika dakika 90 za mchezo. Kwa…
8 December 2022, 5:53 am
Mlinzi wa chuo cha RUCCU Iringa aiba gari kwenye maegesho ya chuo
JESHI la polisi mkoani Iringa linamshikilia David Richard mwenye umri wa miaka 23 kwa kuiba gari aina ya raum rangi ya Grey yenye namba za usajili T 702 DFV mali ya Gasper Abraham mwenye umri wa miaka 34 aliloiba katika…
8 December 2022, 5:48 am
Dc Moyo Athitibisha- Mama Na Binti Yake Kushikiliwa Na Jeshi La Polisi Kwa Tuhum…
JESHI la polisi mkoani Iringa linamshikilia Mama mmoja anayejulikana kwa jina la Egria Ngalawa kwa tuhuma za kumtoa mimba binti yake mwenye umri wa miaka 17 na kufukia kichanga Kwenye banda la kufugia nguruwe lililopo nyuma ya nyumba yao katika…
1 December 2022, 11:24 am
Waziri Dkt Mabula Asikitishwa Na Watendaji Wa Sekta Ya Ardhi Iringa
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesikitishwa na watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri za Manispaa na Wilaya ya Iringa kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo na kusababisha halamshauri hizo kushindwa kukusanya maduhuli ya…
1 December 2022, 11:16 am
MNEC Salim Asas ampongeza Rais Samia kwa kutunukiwa shahada ya heshima
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) MNEC Salim Asas amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutunukiwa shahada ya juu ya udaktari wa heshima kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kutokana na kufanya mabadiliko…
1 December 2022, 9:55 am
watahiniwa 2194 wafutiwa matokeo ya mtihani wa darasa la saba
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) leo limetangaza matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2022 ambapo limetangaza kufuta matokeo yote ya Watahiniwa 2,194 sawa na asilimia 0.16 ya Watahiniwa waliofanya mitihani. NECTA imefikia uamuzi huo siku chache baada ya…
1 December 2022, 7:11 am
DC MOYO akiri Kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa vyumba vya Madarasa Mlolo na Ki…
MKUU wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo amesema kuwa hajaridhishwa na ujenzi wa madarasa ya shule za sekondari katika Tarafa ya Mlolo na Kiponzero na kutoa Siku saba kuhakikisha vyumba vya madarasa hayo viwe vimekamilika. Akizungumza wakati wa ziara…
27 November 2022, 7:45 am
Mbunge KABATI Asisitiza Kutumia Michezo Ya Mabunge Afrika Mashariki Kuleta Aman…
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa, Dkt. Ritta Kabati ametoa wito kwa nchi za Jumuiya Ya Afrika Mashariki kuitumia michezo ya mabunge ya Jumuiya hiyo kuleta amani kwa nchi za Jumuiya Afrika Mashariki zenye migogoro ya kisiasa. Kabati ameyasema…