Nuru FM
Nuru FM
1 February 2025, 09:47
Na Hafidh Ally Halmshauri ya Mafinga Mji Mkoani Iringa imepitisha jumla ya shilingi Bilioni 31.5 katika Bajeti ya Mwaka wa fedha 2025/2026. Akiwasilisha rasimu ya Mpango wa Bajeti ya 2025/2026 katika Baraza Madiwani, Afisa Mipango Halmashauri ya Mji Mafinga, Peter…
30 January 2025, 13:43
Na Joyce Buganda Shirika la Global Alliance for Improved Nutrition (GAIN) limegawa mbegu za maharage lishe katika shule za msingi na Sekondari Halmashauri ya Manispaa ya Iringa huku lengo ni kuhamasisha kilimo cha mazao lishe na kupambana na tatizo la…
30 January 2025, 10:00
Na Hafidh Ally Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa kimesema kuwa sababu ya mkutano Mkuu wa CCM Taifa Kupendekeza Jina la Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee katika nafasi ya Urais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao ni utekelezaji wa…
28 January 2025, 15:16
Na Hafidh Ally Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa Takukuru Mkoa wa Iringa imebaini kasoro katika mradi wa maji wenye thamani ya Bilioni 1.5 fedha za Mfuko wa Maji wa Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa Takukuru Mkoa…
23 January 2025, 11:50
Na Joyce Buganda Wadau wa Mazingira na utalii wametakiwa kuwa mabalozi kwa kutunza vivutio vya asili ili jamii inayowazunguka iige mfano kutoka kwao Akizungumza wakati akifungua warsha ya siku mbili iliofanyika katika ukumbi wa hotel ya Sunset Iringa mjini Mkuu…
23 January 2025, 11:26
Na Cleef Mlelwa Wanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mjini Makambako wamemtaka Mwenyekiti wao Tundu Lissu kuhakikisha wanajenga ofisi zake na kuwa tumaini kwa wananchi kwa kuzisemea changamoto zinazoikabili jamii hasa katika sekta ya afya,elimu na kilimo. Wakizungumza…
20 January 2025, 12:13
Na Joyce Buganda Umoja wa Tuna Finance Hub kutoka Chuo Kikuu cha Iringa wamejidhatiti kuhakikisha vijana wa Iringa wanakombolewa kiakili na kifikra katika utafutaji na jinsi ya kupata maendeleo katika sekta mbalimbali. Akizungumza wakati wa kutoa elimu hiyo katika chuo…
20 January 2025, 11:38
Na Godfrey Mengele Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imeanza rasmi zoezi la utoaji mikopo kwa wanufaika 52 wa vikundi vya Vijana, Wanawake na wenye Ulemavu, vilivyo kidhi vigezo vya kupewa Mikopo hiyo, kwa kupewa hundi ya kiasi cha shilingi Milioni…
17 January 2025, 12:46
Na Joyce Buganda Wananchi wa kijiji cha Itimbo, kata ya Ihimbo wilayani Kilolo Mkoani Iringa wamenufaika na msaada wa miti uliotolewa na Shirika la One Acre Fund. Wakizungumza wakazi wa kijiji hicho wakati wa kupokea miti hiyo Wamesema miti hiyo…
17 January 2025, 12:14
Na Sima Bingilek Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa imefanya Ufuatiliaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza waliopangiwa katika Shule zetu za Sekondari tangu kufunguliwa kwa shule Jan 13 mwaka huu. Akizungumza wakati wa Ufuatiliaji huo Afisa Elimu Sekondari Halmashauri…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.