Nuru FM

Recent posts

21 February 2023, 12:53 pm

Uvutaji Sigara Sababu Mdomo Sungura

Madaktari Bigwa kutoka mkoani Arusha wakishirikiana na shirika la THE SAME QUALITY FOUNDATION kutembelea mikoa mbalimbali kutibu. Na Joyce Buganda. Wajawazito na wazazi wenye watoto waliozaliwa na mdomo wazi wameshauriwa kutembelea vituo vya afya ili kujua maendeleo ya afya zao.…

21 February 2023, 11:24 am

Vishoka,Wafanyakazi TRA Watiwa Mbaroni

Hii ni baada ya kupokea taarifa na kuunda timu ya upelelezi ambayo ndiyo imefanikisha kuwakamata watuhumiwa hao ambao wamekuwa wakishirikiana na watumishi wa TRA. Na Hawa Mohammed. Jeshi la polisi mkoa wa Iringa linawashikilia watu watano wakiwemo watumishi wawili wa…

17 February 2023, 4:53 pm

Wazazi Sababu Mimba za Utotoni Iringa

Wazazi na walezi mkoa wa Iringa watajwa kuwa chanzo cha mimba za utotoni kwakutozungumza na watoto wao kwa uwazi pindi yanapotokea mabadiliko ya kimwili Na Fabiola Bosco. Wazazi na walezi mkoani Iringa wametakiwa kuzungumza na watoto kwa uwazi pindi yanapotokea…

17 February 2023, 4:19 pm

Wizara ya Maji Yaikumbuka Ilalasimba

Ujenzi wa mradi huo wa bwawa la Ilalasimba katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa uliofanyiwa upembuzi yakinifu tangu mwaka 2018 sasa watarajiwa kujengwa. Na Hawa Mohammed. Zaidi ya shilingi bilioni mbili (2) zimetengwa na Wizara ya maji kwa ajili ya…

17 February 2023, 3:24 pm

Wanafunzi Wapewa Vyandarua

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imeunga juhudi za serikali ya awamu ya sita za kupambana na Malaria kwa kutoa vyandarua katika shule za msingi kwa kila mtoto. Na Adeliphina Kutika. Zaidi ya wanafunzi 230,000 wa shule za msingi 556 za…

16 February 2023, 5:07 pm

Ukaguzi Vyombo vya Moto kwa Hiyari

Kufuatia wiki ya nenda kwa usalama ambayo imeanza kuadhimishwa kitaifa kuanzia Februari 6, 2023 ambapo Mkoani Iringa itazinduliwa mnamo Februari 18, 2023. Na Ansigary Kimendo. Jeshi la polisi kitengo cha Usalama barabarani Mkoani Iringa limejipanga kufanya ukaguzi wa vyombo vya…

9 February 2023, 4:57 pm

18 Mbaroni Kwa  Wizi  wa Mafuta

Hii ni baada ya oparesheni iliyofanywa na jeshi la polisi mkoani Iringa kuanzia Jan 29 hadi Feb 5 mwaka huu Na Hawa Mohammed. Mafuta hayo, mipira 21 ya kunyonyea mafuta kwenye Malori, mapipa nane na chujio sita . Jeshi la…

6 February 2023, 10:33 am

Serikali kuimarisha sheria ya kodi

Tunaomba kuboreshwe kwa baadhi ya sheria za kodi hapa Nchini ambazo zinawabana wafanyabiashara. Na Joyce Buganda Serikali imeombwa kuendelea  kuzingatia upya  sheria za kodi ili kuimarisha uzalendo  na ulipaji kodi wa hiari. Hayo yamezungumzwa na naibu katibu Mkuu wa  Jumuiya…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.