Recent posts
31 July 2025, 12:39
Wanaofanya urasimu mikopo ya 10% waonywa
Fursa ya utoaji Mikopo kwa vijana imetakiwa kutekelezwa bila ubaguzi Ili kuwanufaisha wahusika. Na Godfrey Mengele Watumishi wa halmashauri za Mkoa wa Iringa wametakiwa kuacha urasimu pindi wanapowahudumia vijana hasa wanapochangamkia fursa ya mikopo ya asilimia 10 ili kutotengeneza mazingira…
31 July 2025, 11:46
Watia nia Mafinga waonywa kuhusu rushwa
Rushwa imetajwa kuwa miongoni mwa adui wa haki katika uchaguzi jambo linalopelekea kupingwa. Na Fredrick Siwale Wagombea na Wajumbe Jimbo la Mafinga Mkoani Iringa wameonywa kutojihusisha na vitendo vya rushwa kuelekea kura za maoni na Uchaguzi mkuu. Onyo hilo limetolewa…
30 July 2025, 12:08
Watia nia Ubunge wapongeza Majina kurejeshwa
Wakati baadhi ya watia nia ya kugombea nafasi za uongozi wakilalamika majina yao kutorudishwa, hali hiyo imekuwa tofauti kwa watia nia Iringa Mjini. Na Hafidh Ally Siku moja baada ya Chama cha Mapinduzi CCM kitangaza majina ya watia nia ya…
30 July 2025, 09:04
World Vision yakabidhi Cherehani 24 Wasa
Msaada wa Cherehani kwa Vijana hao ni katika juhudi za kuunga Mkono Vijana na wanawake kukuza uchumi wao. Na Adelphina Kutika Jumla ya cherehani 24 zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 20 zimekabidhiwa kwa vikundi vitatu vya vijana katika…
19 July 2025, 09:35
Ajali yaua watatu Iringa
Uzembe wa Madereva na kutofuata alama za usalama barabarani imetajwa kuwa sababu za ajali barabarani. Na Hafidh Ally Watu watatu wamefariki Dunia na wengine sita kujeruhiwa kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika Kijiji cha Imalutwa, Kata ya Lugalo, wilayani…
18 July 2025, 11:01
Wafanyabiashara wa Mashine tatu wapelekwa Mlandege
Zoezi hilo limefanyika katika soko la Machinga lililopo eneo la Mlandege, likihusisha Umoja wa wafanyabiashara , idara ya masoko, maendeleo ya jamii na ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa. Na Godfrey Mengele Serikali ya Manispaa ya Iringa kwa kushirikiana…
17 July 2025, 19:35
Mafinga Mji yapongezwa kwa ukusanyaji mapato
Halmashauri hiyo imeonesha mfano katika ukusanyaji mapato huku ikitakiwa kuelekeza kasi hiyo katika usimamizi bora wa fedha zinazokusanywa. Na Hafidh Ally Serikali imeipongeza Halmashauri Ya Mji Mafinga kwa Kuvuka Lengo Ukusanyaji Wa Mapato kwa Asilimia 120 Mpaka Kufikia Tarehe 30…
16 July 2025, 11:21
Watoto 1,900 Iringa wakosa malezi bora
Mmomonyoko wa maadili kwa watoto umetajwa kuongezeka huku chanzo kikiwa ni wazazi. Na Adelphina Kutika Takribani watoto 1,900 mkoani Iringa wameripotiwa kukosa malezi na matunzo kutoka kwa wazazi wao, hali inayochangia kuongezeka kwa mmonyoko wa maadili katika jamii na kuathiri…
15 July 2025, 12:31
Jesca awachangia milion 5 waathirika wa moto
“Fedha hizi zitawasaidia wafanyabiashara wa soko la Mashine tatu na kuanza upya biashara kutokana na madhara ya moto” Jesca Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini anayemaliza Muda wake Jesca Msambatavangu, ameanzisha Mfuko Maalum wa Msaada kwa ajili…
14 July 2025, 20:16
RC Iringa akagua soko lililowaka moto
Soko Hilo lililokuwa mashuhuri katika eneo la Mashine tatu liliteketea kwa moto na kuwaacha wafanyabiashara kuwa katika hali ngumu. Na Ayoub Sanga Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James ameahidi kusimamia mipango iliyowekwa na kamati ya Maafa na majanga…