Nuru FM

Recent posts

11 May 2023, 9:48 am

Wananchi wa Kitelewasi hawana imani na uongozi wa Kijiji

Wananchi wa kijiji cha kitelewasi Kilichopo Kata ya Ilole wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wamesema hawana imani  na uongozi wa serikali ya kijiji hicho kutokana na ubadhilifu wa fedha. Wakizungumza katika mtukutano wa hadhara wanakijiji hao  wameiomba serikali kuwatafutia ufumbuzi…

11 May 2023, 9:23 am

Makala fupi kuhusu chanzo mimba za umri mdogo

Uoga wa wazazi na walezi kuzungumza na watoto wao waliopo katika rika balehe manispaa ya Iringa umetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la mimba katika umri mdogo. MWANAHABARI WETU FABIOLA BOSCO AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI……………… MWISHO

8 May 2023, 2:11 pm

Polisi Iringa wamshikilia Tegete kwa Kulawiti Mtoto.

Na Joyce Buganda na Hafidh Ally Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linamshikilia Kijana anayejulikana kwa jina la DRIVE TEGETE Mkazi wa kijiji cha kidamali kata ya mzihi mwenye umiri wa miaka 23 kwa kosa la kulawiti Mtoto. Akizungumza na…

8 May 2023, 11:22 am

Mbunge Midimu aibana serikali kujenga Daraja Simiyu

Na Mwandishi wetu Serikali imetakiwa kujenga Daraja la Mto Duma- Bariadi lililopo Mkoani Simiyu ambalo limekuwa likijaa kipindi Cha Mvua. Hayo yamezungumzwa Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi Cha maswali na majibu na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Simiyu Esther…

29 April 2023, 12:02 pm

Wananchi Iringa waaswa kuacha kilimo Cha Bangi.

Na Joyce Buganda Wananchi Mkoani iringa wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kutojihusisha na kilimo cha zao la bangi linaloleta madhara kwa vijana kwani ni kosa kisheria. Akizungumza na kituo hiki  kamishina msaidizi wa polisi ambae pia ni mkuu wa kitengo…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.