Recent posts
11 May 2023, 9:48 am
Wananchi wa Kitelewasi hawana imani na uongozi wa Kijiji
Wananchi wa kijiji cha kitelewasi Kilichopo Kata ya Ilole wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wamesema hawana imani na uongozi wa serikali ya kijiji hicho kutokana na ubadhilifu wa fedha. Wakizungumza katika mtukutano wa hadhara wanakijiji hao wameiomba serikali kuwatafutia ufumbuzi…
11 May 2023, 9:23 am
Makala fupi kuhusu chanzo mimba za umri mdogo
Uoga wa wazazi na walezi kuzungumza na watoto wao waliopo katika rika balehe manispaa ya Iringa umetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la mimba katika umri mdogo. MWANAHABARI WETU FABIOLA BOSCO AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI……………… MWISHO
8 May 2023, 2:11 pm
Polisi Iringa wamshikilia Tegete kwa Kulawiti Mtoto.
Na Joyce Buganda na Hafidh Ally Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linamshikilia Kijana anayejulikana kwa jina la DRIVE TEGETE Mkazi wa kijiji cha kidamali kata ya mzihi mwenye umiri wa miaka 23 kwa kosa la kulawiti Mtoto. Akizungumza na…
8 May 2023, 11:22 am
Mbunge Midimu aibana serikali kujenga Daraja Simiyu
Na Mwandishi wetu Serikali imetakiwa kujenga Daraja la Mto Duma- Bariadi lililopo Mkoani Simiyu ambalo limekuwa likijaa kipindi Cha Mvua. Hayo yamezungumzwa Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi Cha maswali na majibu na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Simiyu Esther…
6 May 2023, 2:23 pm
Mradi wenye thamani ya Dola Mil 15 wa kiwanda Cha Mazao ya misitu Mafinga waweke…
Na Ansgary Kimendo Mwenge wa uhuru umeweka jiwe la msingi katika mradi wa kiwanda cha kuchakata masalia ya misitu iliyovunwa umezundua cha Lush chazo wood industries Ltd wenye thamani ya dola za kimarekani milioni 15 Katika uwekaji jiwe lamsingi huo…
6 May 2023, 1:13 pm
Mradi wa Kituo Cha Mafuta NFS Mafinga wa million 850 wakamilika.
Na Mwandishi wetu MWENGE wa uhuru umeridhishwa na ujenzi wa mradi wa kituo cha Mafuta NFS kilichopo Mafinga mjini mkoani Iringa na kuzindua. Mradi huo wenye thamani ya zaidi ya Milioni 850 unatarajia kutoa ajira za muda mrefu na ajira…
2 May 2023, 7:47 pm
Miradi ya Bilioni 4.9 yakubaliwa na Viongozi wa Mwenge wa Uhuru Wilaya ya Mufind…
Na Mwandishi wetu. Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2023 umeridhia miradi yote katika Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa miradi yenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 4.9. Akizungumza mara baada ya kukagua miradi hiyo yote Kiongozi wa mbio za…
29 April 2023, 12:14 pm
Baraza la Madiwani Mafinga laazimia kuwakamata wasiorejesha Mikopo ya Halmashaur…
Madiwani wakiwa katika baraza la Madiwani. Picha Frank Leonard. Na Frank Leonard BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Mji Mafinga limeagiza kusakwa na kukamatwa kwa wanachama wa vikundi vilivyoshindwa kurejesha mikopo ya asilimia 10 inayotolewa kwa vikundi vya vijana, wanawake…
29 April 2023, 12:02 pm
Wananchi Iringa waaswa kuacha kilimo Cha Bangi.
Na Joyce Buganda Wananchi Mkoani iringa wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kutojihusisha na kilimo cha zao la bangi linaloleta madhara kwa vijana kwani ni kosa kisheria. Akizungumza na kituo hiki kamishina msaidizi wa polisi ambae pia ni mkuu wa kitengo…
28 April 2023, 3:36 pm
Mbunge Kabati aibana serikali, ataka irekebishe Mfereji wa maji Ruaha Mbuyuni.
Na Halfan Akida Mbunge viti maalum mkoa wa Iringa Dkt Ritta Kabati ameitaka serikali kuchukua hatua za dharura kuwasaidia wananchi wa Ruaha Mbuyuni baada ya mfereji wa maji kuacha njia yake na kuathiri wakulima Kabati amehoji hayo katika kipindi cha…