Nuru FM

Recent posts

12 June 2023, 11:42 am

Majina wanafunzi waliochaguliwa kidato cha tano na vyuo yatangazwa

Na mwandishi wetu Wanafunzi 188,128 waliokidhi vigezo wamechaguliwa na kupangiwa kujiunga na kidato cha tano katika shule mbalimbali nchini pamoja na vyuo vya fani mbalimbali. Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2022 yanaonesha kuwa watahiniwa 192,348 walipata ufaulu…

9 June 2023, 7:52 pm

Mafinga washinda tuzo saba mashindano UMISETA

Na Frank Leonard Halmashauri ya mji Mafinga imeshinda vikombe saba kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa wanafunzi wa Shule za Sekondari (UMISSETA) ngazi ya mkoa. Mashindano hayo yaliyofanyika katika shule ya sekondari ya JJ Mungai ya mjini…

8 June 2023, 11:09 am

Kabati awasilisha bungeni changamoto ukosefu maji Ng’ang’ange

Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Iringa Ritta Kabati ameibana serikali kujua wana mpango gani wa kupeleka huduma ya maji katika kata ya Ng’ang’ange iliyopo wilaya ya Kilolo. Kabati ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha…

6 June 2023, 9:32 pm

Polisi Iringa yawadaka watuhumiwa ubakaji mwanachuo

Na Frank Leonard Jeshi la polisi mkoa wa Iringa limewakamata watuhumiwa watano wa unyang’anyi kwa tumia silaha ambao kati yao wawili wametambuliwa kuhusika katika tukio la ubakaji alilofanyiwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa (jina linahifadhiwa) wakati wakifanya uharifu chuoni…

30 May 2023, 9:35 am

Kabati aipongeza serikali kwa kuandaa mazingira mazuri mikopo 10%

Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa Ritta Kabati ameipongeza serikali kwa kuweka mkakati madhubuti wa utoaji fedha asilimia 10 katika halmashauri nchini. Kabati ametoa pongezi hizo katika kongamano la wajane wa mkoa wa Iringa lililoandaliwa na…

29 May 2023, 5:52 pm

Samia, Chongolo wazawadiwa ng’ombe Mufindi Kusini

Na Mwandishi wetu Mbunge wa jimbo la Mufindi Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti Wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania David Kihenzile amekabidhi zawadi ya ng’ombe kwa ajili ya Mh.Rais Samia Suluhu Hassan. Hata hivyo amekabidhi pia ng’ombe wa…

26 May 2023, 12:13 pm

Washiriki Great Ruaha Marathon wahakikishiwa usalama ndani ya hifadhi

Na Hafidh Ally Washiriki wanaotarajia kushiriki mbio za Great Ruaha Marathon 2023 ambazo zitafanyika katika hifadhi ya taifa ya Ruaha, wamehakikishiwa kuwepo kwa usalama wakati wote wa mashindano hayo. Akizungumza na Nuru FM mratibu wa shirika la Sustainable Youth Development…

26 May 2023, 9:58 am

Baraza la madiwani Iringa lawaonya machinga wanaorejea maeneo yasiyo rasmi

Na Frank Leonard Halmashauri ya manispaa ya Iringa imesema hakuna namna wafanyabiashara ndogo (Wamachinga) walioondolewa katika maeneo yasiyo rasmi mjini Iringa wataachwa warudi katika maeneo hayo. Onyo hilo limetolewa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada leo baada…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.