Recent posts
12 June 2023, 11:42 am
Majina wanafunzi waliochaguliwa kidato cha tano na vyuo yatangazwa
Na mwandishi wetu Wanafunzi 188,128 waliokidhi vigezo wamechaguliwa na kupangiwa kujiunga na kidato cha tano katika shule mbalimbali nchini pamoja na vyuo vya fani mbalimbali. Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2022 yanaonesha kuwa watahiniwa 192,348 walipata ufaulu…
11 June 2023, 6:21 pm
Heaven Safari and Tour’s, Kitomo hardware wamwaga vifaa Nzihi cup 2023
Na Hafidh Ally Kampuni ya Heaven Safaris and Tour’s na Kitomo Hardware wamegawa vifaa vya michezo kwa timu shiriki kwenye michuano ya Nzihi Cup 2023 yatakayoanza kutimua vumbi Juni 17 mwaka huu huko kata ya Nzihi. Vifaa vilivyogawiwa kwa viongozi…
10 June 2023, 7:28 am
Watalaam wa afya toka hospitali ya Rufaa Iringa watoa msaada kituo cha IOP
Na Ansigary Kimendo Madaktari na wataalam mbalimbali wa afya kutoka hospitali ya rufaa mkoa wa Iringa, wametembelea kituo cha kulea watoto yatima cha Ilula Orphan Program (IOP) na kutoa mahitaji mbalimbali ikiwemo Chakula. Wamesema lengo ni kuifikia jamii yenye uhitaji…
9 June 2023, 7:52 pm
Mafinga washinda tuzo saba mashindano UMISETA
Na Frank Leonard Halmashauri ya mji Mafinga imeshinda vikombe saba kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa wanafunzi wa Shule za Sekondari (UMISSETA) ngazi ya mkoa. Mashindano hayo yaliyofanyika katika shule ya sekondari ya JJ Mungai ya mjini…
8 June 2023, 11:09 am
Kabati awasilisha bungeni changamoto ukosefu maji Ng’ang’ange
Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Iringa Ritta Kabati ameibana serikali kujua wana mpango gani wa kupeleka huduma ya maji katika kata ya Ng’ang’ange iliyopo wilaya ya Kilolo. Kabati ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha…
6 June 2023, 9:32 pm
Polisi Iringa yawadaka watuhumiwa ubakaji mwanachuo
Na Frank Leonard Jeshi la polisi mkoa wa Iringa limewakamata watuhumiwa watano wa unyang’anyi kwa tumia silaha ambao kati yao wawili wametambuliwa kuhusika katika tukio la ubakaji alilofanyiwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa (jina linahifadhiwa) wakati wakifanya uharifu chuoni…
30 May 2023, 9:35 am
Kabati aipongeza serikali kwa kuandaa mazingira mazuri mikopo 10%
Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa Ritta Kabati ameipongeza serikali kwa kuweka mkakati madhubuti wa utoaji fedha asilimia 10 katika halmashauri nchini. Kabati ametoa pongezi hizo katika kongamano la wajane wa mkoa wa Iringa lililoandaliwa na…
29 May 2023, 5:52 pm
Samia, Chongolo wazawadiwa ng’ombe Mufindi Kusini
Na Mwandishi wetu Mbunge wa jimbo la Mufindi Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti Wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania David Kihenzile amekabidhi zawadi ya ng’ombe kwa ajili ya Mh.Rais Samia Suluhu Hassan. Hata hivyo amekabidhi pia ng’ombe wa…
26 May 2023, 12:13 pm
Washiriki Great Ruaha Marathon wahakikishiwa usalama ndani ya hifadhi
Na Hafidh Ally Washiriki wanaotarajia kushiriki mbio za Great Ruaha Marathon 2023 ambazo zitafanyika katika hifadhi ya taifa ya Ruaha, wamehakikishiwa kuwepo kwa usalama wakati wote wa mashindano hayo. Akizungumza na Nuru FM mratibu wa shirika la Sustainable Youth Development…
26 May 2023, 9:58 am
Baraza la madiwani Iringa lawaonya machinga wanaorejea maeneo yasiyo rasmi
Na Frank Leonard Halmashauri ya manispaa ya Iringa imesema hakuna namna wafanyabiashara ndogo (Wamachinga) walioondolewa katika maeneo yasiyo rasmi mjini Iringa wataachwa warudi katika maeneo hayo. Onyo hilo limetolewa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada leo baada…