Nuru FM
Nuru FM
2 September 2025, 11:33
Utaratibu wa kuwasaidia watoto yatima imekuwa ni moja ya matendo yanayoleta baraka katika jamii. Na Joyce Buganda Jukwaa la Walimu Wazalendo Manispaa ya Iringa limetoa msaada wa Mahitaji muhimu kuwawezesha watoto yatima wanaoishi na kulelewa katika Kituo cha Huruma Center…
1 September 2025, 11:58
Miradi hiyo inalenga kuongeza fursa na ubora wa elimu kwa wanafunzi wote hapa nchini. Na Ayoub Sanga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Kheri James, amefanya ziara katika Chuo Kishiriki cha Mkwawa kilichopo Manispaa ya Iengo ikiwa ni kukagua miradi…
31 August 2025, 09:17
Wazazi na walezi mkoani Iringa wametakiwa kuhakikisha wanawapa elimu bora watoto wao kwani ndio urithi wa kudumu ili taifa liwe na wasomi wenye hekima na busara. Akizungumza katika mahafali ya nne katika shule ya awali na msingi Luindo Mkurugenzi wa …
30 August 2025, 10:30
Kabla ya kituo hicho kujengwa wananchi walikuwa wakijichukulia sheria mkononi jambo ambalo kwa sasa halikubaliki. Na Godefrey Mengele Wananchi wa kijiji cha Tanangozi kata ya Mseke halmashauri ya wilaya ya Iringa wametakiwa kutumia kituo kipya cha polisi kuripoti matukio ya…
28 August 2025, 10:58
“Wananchi wanatakiwa kulinda maeneo yao ili mradi huo unapokamilika waweze kunufaika zaidi kiuchumi” RC Kheri. Na Ayoub Sanga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amepiga marufuku rasmi uuzaji holela wa ardhi unaofanywa na baadhi ya wananchi , hususani…
27 August 2025, 13:05
Matumizi ya nishati safi ya kupikia yanalenga kupunguza athari za kiafya, mazingira na kuboresha maisha ya wananchi, huku ukipunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. Na Adelphina Kutika Katika juhudi za kuhimiza matumizi ya nishati safi na kuboresha lishe katika jamii,…
27 August 2025, 11:21
Makala hii inaelezea ushiriki wa wanawake wenye ulemavu katika nafasi za uongozi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Na Hafidh Ally na Dorice Olambo Nuru FM imekuandalia makala hii maalum kujua ni kwa kiwango gani watu wenye ulemavu hasa wanawake…
26 August 2025, 11:56
“ACT wazalendo imekuwa na Mwenendo mbaya wa Uongozi jambo lililopelekea Vigogo wa Chama hicho Jimbo la Iringa kung’atuka” Kalama Na Joyce Buganda Viongozi Chama cha ACT wazalendo Jimbo la Iringa Mjini wamejivua uanachama wa chama hicho kutokana na mwenendo mbovu…
25 August 2025, 09:39
Viboko walioko katika Bwawa la Mtera Wilaya ya Iringa wamekuwa kero kwa wananchi hao jambo linalohatarisha usalama wao. Na Adelphina Kutika Wananchi wa Kata ya Migoli, Wilaya ya Iringa, wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kudhibiti wanyama wakali, hususan boko…
21 August 2025, 11:19
Barabara ya Mgololo yenye urefu wa kilomita 80 imekuwa chanzo cha vifo, na kusababisha kutokukua kwa uchumi wa wananchi wa eneo hilo. Na Hafidh Ally Wananchi wa Tarafa ya Mgololo Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa wanakabiliwa na changamoto ya Ubovu…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.