Recent posts
6 July 2023, 11:29 am
Simba waliozua taharuki Iringa warudi hifadhini
Na Hafidh Ally BAADHI ya Simba wala mifugo waliotokea Hifadhi ya Taifa ya Ruaha na kuzua taharuki kwa wananchi mkoani Iringa kwa zaidi ya siku 64 wanadaiwa kurudi hifadhini humo. Akizungumza na kituo hiki Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, Kamishna…
6 July 2023, 10:39 am
Mbolea ya ruzuku yamweka matatani mfanyabiashara Iringa
Na Frank Leornad SERIKALI ya Mkoa wa Iringa imemnasa mfanyabiashara Maneno Yusuph Kivembele (50) mkazi wa Ilula wilayani Kilolo akihususishwa na tuhuma ya ununuzi wa mbolea ya ruzuku kwa njia ya udanganyifu na kuuza kwa wakulima kwa bei ya juu…
6 July 2023, 10:34 am
Fisi wajeruhi mifugo Mufindi- Wananchi kuchukua tahadhari
Na Mwandishi Wananchi wilayani Mufindi wametakiwa kutoa ushirikiano wa kumsaka fisi ambaye ameua mifugo aina ya Nguruwe wawili kondoo Wanne na kujeruhi kuku katika bonde la Mgololo. Akitoa ufafanuzi wa sintofahamu iliyozuka katika kata ya Makungu, Afisa Habari na Mawasiliano…
6 July 2023, 10:31 am
Rais Samia afanya mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri
Na Mwandishi wetu RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri na kuunda wizara mpya. Rais Samia amevunja Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na kuunda Wizara tatu; Ofisi ya Rais…
27 June 2023, 4:25 pm
Polisi Iringa wakabidhiwa pikipiki za kisasa 10
Na Adelphina Kutika. Jeshi la polisi mkoa wa Iringa limepokea msaada wa pikipiki 10 za kisasa zenye thamani ya shilingi milioni 55 na uzinduzi wa jengo la kantini yenye thamani ya shilingi milioni 45 kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo…
24 June 2023, 9:38 am
Mafinga Mji wagawa vifaa vya usafi
Na Sima Bingileki Halmashauri ya Mji Mafinga imekabidhi vifaa 11 vya kutunzia taka kwa uongozi wa Stendi Kuu ya mabasi Mafinga na Stendi ya Matanana lengo likiwa ni Kuimarisha Usafi wa Mazingira na uhifadhi mzuri wa taka hasa katika maeneo…
21 June 2023, 8:14 pm
Watumishi Mafinga Mji watakiwa kusoma mapato na matumizi
Na Sima Bingileki Watumishi katika Halmashauri ya Mji mafinga Mkoani Iringa wametakiwa kuweka wazi na kuwasomea wananchi mapokezi ya fedha za miradi ya maendeleo kwenye mikutano ya Kata na mbao za matangazo kwani wananchi wanahaki ya kujua mapato na matumizi.…
21 June 2023, 7:05 am
Bodi ya utalii TTB yaanza kampeni kutangaza utalii Nyanda za Juu Kusini
Mpanga Kipengele ni hifadhi iliyoko katika mkoa wa Njombe ikiwa ni miongoni mwa hifadhi zilizo chini ya mamlakaya hifadhi za wanyamapori Tanzania TAWA ina gharama nafuu ambazo kila mmoja anaweza kuzimudu. Na Hafidh Ally Bodi ya Utalii Tanzania TTB imeanza…
15 June 2023, 11:22 am
Wafanyabiashara Iringa wagoma kufungua maduka
Na Mwandishi wetu Wafanyabiashara mjini Iringa wamesitisha kutoa huduma za uuzaji wa bidhaa kwa kufunga maduka yote baada ya kuvunjwa kwa vibaraza vya nje ya maduka yao vinavyotumika kupanga bidhaa. Zoezi hilo la uvunjwaji wa vibaraza hivyo limekuja baada ya…
13 June 2023, 3:33 pm
Jamii yatakiwa kufufua ndoto za wenye ulemavu Iringa
Na Frank Leonard Wadau wa mtoto mkoani Iringa wameilaumu jamii wakisema ndiyo inayotengeneza mazingira ya watoto wenye ulemavu kutojiweza na kukosa fursa za maisha yaliyo jumuishi. Lawama hizo walizosema zinapaswa kuchukuliwa kwa uzito mkubwa ili kuleta suluhisho ya changamoto za…