Nuru FM

Recent posts

6 July 2023, 11:29 am

Simba waliozua taharuki Iringa warudi hifadhini

Na Hafidh Ally BAADHI ya Simba wala mifugo waliotokea Hifadhi ya Taifa ya Ruaha na kuzua taharuki kwa wananchi mkoani Iringa kwa zaidi ya siku 64 wanadaiwa kurudi hifadhini humo. Akizungumza na kituo hiki  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, Kamishna…

6 July 2023, 10:39 am

Mbolea ya ruzuku yamweka matatani mfanyabiashara Iringa

Na Frank Leornad SERIKALI ya Mkoa wa Iringa imemnasa mfanyabiashara Maneno Yusuph Kivembele (50) mkazi wa Ilula wilayani Kilolo akihususishwa na tuhuma ya ununuzi wa mbolea ya ruzuku kwa njia ya udanganyifu na kuuza kwa wakulima kwa bei ya juu…

6 July 2023, 10:34 am

Fisi wajeruhi mifugo Mufindi- Wananchi kuchukua tahadhari

Na Mwandishi Wananchi wilayani Mufindi wametakiwa kutoa ushirikiano wa kumsaka fisi ambaye ameua mifugo aina ya Nguruwe wawili kondoo Wanne na kujeruhi kuku katika bonde la Mgololo. Akitoa ufafanuzi wa sintofahamu iliyozuka katika kata ya Makungu, Afisa Habari na Mawasiliano…

6 July 2023, 10:31 am

Rais Samia afanya mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri

Na Mwandishi wetu RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri na kuunda wizara mpya. Rais Samia amevunja Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na kuunda Wizara tatu; Ofisi ya Rais…

27 June 2023, 4:25 pm

Polisi Iringa wakabidhiwa pikipiki za kisasa 10

Na Adelphina Kutika. Jeshi la polisi mkoa wa Iringa limepokea msaada wa pikipiki 10 za kisasa zenye thamani ya shilingi milioni 55 na uzinduzi wa jengo la kantini yenye thamani ya shilingi milioni 45 kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo…

24 June 2023, 9:38 am

Mafinga Mji wagawa vifaa vya usafi

Na Sima Bingileki Halmashauri ya Mji Mafinga imekabidhi vifaa 11 vya kutunzia taka kwa uongozi wa Stendi Kuu ya mabasi Mafinga na Stendi ya Matanana lengo likiwa ni Kuimarisha Usafi wa Mazingira na uhifadhi mzuri wa taka hasa katika maeneo…

21 June 2023, 8:14 pm

Watumishi Mafinga Mji watakiwa kusoma mapato na matumizi

Na Sima Bingileki Watumishi katika Halmashauri ya Mji mafinga Mkoani Iringa wametakiwa kuweka wazi na kuwasomea wananchi mapokezi ya fedha za miradi ya maendeleo kwenye mikutano ya Kata na mbao za matangazo kwani wananchi wanahaki ya kujua mapato na matumizi.…

15 June 2023, 11:22 am

Wafanyabiashara Iringa wagoma kufungua maduka

Na Mwandishi wetu Wafanyabiashara mjini Iringa wamesitisha kutoa huduma za uuzaji wa bidhaa kwa kufunga maduka yote baada ya kuvunjwa kwa vibaraza vya nje ya maduka yao vinavyotumika kupanga bidhaa. Zoezi hilo la uvunjwaji wa vibaraza hivyo limekuja baada ya…

13 June 2023, 3:33 pm

Jamii yatakiwa kufufua ndoto za wenye ulemavu Iringa

Na Frank Leonard Wadau wa mtoto mkoani Iringa wameilaumu jamii wakisema ndiyo inayotengeneza mazingira ya watoto wenye ulemavu kutojiweza na kukosa fursa za maisha yaliyo jumuishi. Lawama hizo walizosema zinapaswa kuchukuliwa kwa uzito mkubwa ili kuleta suluhisho ya changamoto za…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.