Recent posts
26 April 2023, 12:07 pm
Makala fupi kuhusu ukataji miti na mkaa unavyoharibu mazingira
Wananchi wa kijiji cha Makifu kilichopo tarafa ya Idodi mkoani Iringa wanakabiliwa na janga la ukame kutokana na uharibifu wa mazingira unaondelea katika maeneo hayo. MWANAHABARI WETU HAFIDH ALLY AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI………………………..
26 April 2023, 11:48 am
Iringa yaanza kutekeleza afua za lishe kutokomeza udumavu kwa watoto
Na Adelphina Kutika Mkoa wa Iringa wenye asilimia 59.9 ya udumavu umeanza kutekeleza mpango wa utekelezaji wa afua za lishe zinazolenga kukabiliana na changamoto hiyo na utapiamlo kwa watoto chini ya miaka mitano. Afisa lishe mkoa wa Iringa Anna Nombo…
26 April 2023, 11:16 am
Shule ya Sekondari Mtwivila yapewa Computer na Runinga na Kampuni ya Vodacom.
Na Joyce Buganda Kampuni ya simu za mkononi VODACOM TANZANIA kwa kushirikiana na mradi wa AFRICAN CHILD PROJECT wametoa komputa 6,router na luninga 1 katika shule ya Sekondari Mtwivila Manispaa ya Iringa huku wakisisitiza walimu kutumia zaidi teknolojia ili kuwa…
25 April 2023, 8:35 pm
Afungwa Jela miaka 30 kwa Kumbaka Mwanaye Iringa
Na Frank Leonard MAHAKAMA ya Wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela Imani Mfilinge (46) baada ya kumkuta na hatia ya kumbaka mwanaye wa miaka 13. Mfilinge ambaye ni mkulima na mkazi wa kijiji cha Isimani alitenda kosa…
23 April 2023, 3:47 pm
Kihenzile Akabidhi Ng’ombe wenye thamani ya Million 51 Nyololo na Maduma.
Dhumuni la ugawaji wa Ng’ombe hao ni kuhamasisha mnyororo wa maendeleo kwa wananchi wa Jimbo la Mufindi kusini na kutekeleza ahadi alizowaahidi wananchi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020. Na Mwandishi wetu Mbunge wa Mufindi kusini Mh. David kihenzile amekabidhi…
20 April 2023, 2:50 pm
Viongozi wa Dini na Serikali waungana Kupinga ulawiti na Ushoga Iringa
Matukio ya ulawiti na Ushoga yamezidi kukithiri katika Jamii jambo lililopelekea Viongozi wa Dini na Serikali kukemea vikali. Na Hafidh Ally Viongozi wa Dini na serikali Mkoani Iringa wameungana kupinga vita vitendo vya ulawiti na ushoga ambavyo ni kinyume na…
20 April 2023, 2:36 pm
Mbunge Matondo aibana serikali kuanza ujenzi wa Barabara kutoka Airport- Nyangug…
Serikali imeombwa kukarabati Barabara ya Airport kwenda Nyanguge ambayo imekuwa mbovu na changamoto kwa watumishi. Na Mwandishi wetu Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Mwanza, Mh Furaha Matondo amehoji mkakati wa serikali kuanza ujenzi wa kiwango cha lami kwa barabara…
19 April 2023, 1:18 pm
Mwanahabari Rashid Msigwa Afariki Dunia katika ajali Eneo la ipogolo
Na Mwandishi wetu Mwanahabari Rashid Msigwa Mkazi wa Igumbilo Manispaa ya Iringa amefariki katika ajali iliyotokea eneo la Ipogolo usiku wa kuamkia leo. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa ACP Allan Bukumbi amesema kuwa Msigwa…
18 April 2023, 2:10 pm
Mbunge Midimu Aiomba Serikali kuwapatia Jokofu la Maiti na genereta Hospital ya…
Hospital ya Wilaya ya Itilima imekuwa ikitoa huduma za afya kwa wananchi wengi huku ikibaliwa na changamoto ambazo serikali imeombwa kuzitatua. Na Hafidh Ally Hospitali ya Wilaya ya Itilima iliyopo Mkoa wa Simiyu inakabiliwa na Changamoto ya ukosefu Jokofu la…
18 April 2023, 1:29 pm
Mbunge Sitta aibana serikali kuwapatia watumishi kada ya Elimu na Afya Jimbo la…
Serikali imeombwa kuhakikisha inafikisha watumishi wa afya na elimu katika Jimbo la Urambo ili waweze kuwahudumia wananchi. Na Hafidh Ally Jimbo la Urambo Mkoani Tabora linakabiliwa na uhaba wa watumishi wa uma katika kada za afya na elimu jambo linalopelekea…