Recent posts
11 June 2022, 08:13
Ugonjwa wa Monkeypox ‘wabisha’ hodi Nchini Uganda
Taasisi ya Utafiti wa Virusi nchini Uganda (UVRI), imetangaza kuwaweka katika uangalizi maalumu watu sita, wanaoshukiwa kuwa na ugonjwa wa Monkeypox. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Prof. Pantiano Kaleebu, amesema sampuli zilizochukuliwa kwa watu hao zimesafirishwa nchini Afrika ya…
11 June 2022, 08:09
Sabaya: Mungu amenitendea miujiza
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amemshukuru Mungu kwa kumfanyia miujiza iliyopelekea kushinda kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa ikimkabili. “Mimi ninamshukuru Mungu sana na ambariki Rais aliyeweka mfumo wa haki inawezekanaameshafanya kwa wengi lakini Mungu kupitia kwa…
9 June 2022, 17:55
Nyumba Ya Familia Ya Watu Wenye Ulemavu Lulanzi Mkoani Iringa Yafikia Hatua Ya…
Ujenzi wa nyumba ya watu watatu wa familia moja wenye ulemavu katika kijiji cha lulanzi kata ya Mtitu Wilaya ya Kilolo Mkoani iringa umefikia hatua ya kuezekwa bati. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kaimu Katibu Tawala Wilaya ya…
8 June 2022, 15:23
Majaliwa ang’aka pikipiki za Maafisa Ugani
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa siku tano kuanzia leo Juni 8, 2022 hadi Juni 12, 2022 Wizara ya Kilimo iwe imeondoa pikipiki zote wizarani hapo na kuzikabidhi kwa wakurugenzi. Ametoa agizo hilo leo (Jumatano, Juni 8, 2022) alipokagua Ofisi za…
8 June 2022, 15:18
Rais Samia awafagilia mawaziri vijana
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatano (Juni 08) ameanza ziara ya kikazi mkoani Kagera, kwa kufanya mkutano wa hadhara na wananchi wa Wilaya ya Buharamuro. Rais Samia alisismama wilayani humo akiwa safarini kuelekea Wilaya…
4 June 2022, 07:26
TBS yawataka wananchi kuhakikisha chakula kinakuwa salama
KATIKA kuelekea Siku ya Usalama wa Chakula Duniani, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wananchi kila mmoja achukue nafasi yake katika kuhakikisha chakula kinakuwa salama kwa mlaji ili kuepuka magonjwa yanayosababishwa na kula chakula kisichokuwa salama. Akizungumza na waandishi wa…
4 June 2022, 07:23
Chuo Cha Ruaha Cdti Chashiriki Kwa Vitendo Ujenzi Wa Zahanati Kijiji Ikuvilo
CHUO cha maendeleo ya jamii Ruaha (CDTI) kwa kushirikiana na Serikali ya Kijiji cha Ikuvilo kata ya Luhota wameamua kujenga zahanati kwa lengo la kuwasogezea wananchi huduma ya afya kupatikana jirani. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwanza mkuu…
21 May 2022, 11:28
Wafanyakazi wa Nuru Fm Watoa msaada kwa wafungwa Iringa
Wafanyakazi wa Redio Nuru fm wakishirikiana na watuma salamu Mkoa wa Iringa wamewatembelea wafungwa wa Gereza la iringa manispaa na kukabidhi msaada wa mahitaji mbalimbali. Wakizungumza wakati wa kukabidhi mahitaji hayo yakiwemo mablanketi, mashuka, nguo, mafuta ya kupaka, sabuni za…
21 May 2022, 11:16
Wakwamishaji miradi Kigoma kukiona
Baraza la madiwani Halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji limeazimia kwa kauli moja kuchukulia hatua kwa viongozi wa wafanyabiashara wanaokwamisha mpango wa ujenzi na maboresho ya masoko ya Kigoma na Mwanga. Akiwasilisha ajenda maalum ya kujadili ujenzi wa masoko hayo…
21 May 2022, 11:14
Wauzaji nishati ya gesi wahimizwa matumizi ya mizani
Wauzaji na wasambazaji wa nishati ya gesi wametakiwa kuhakikisha wanakuwa na mizani ya kupimia kiwango stahiki cha gesi kama sheria inavyoagiza. Wito huo umetolewa na Meneja wa mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na Maji (EWURA), Kanda ya kaskazini…