Mazingira FM
Mazingira FM
29 March 2025, 4:55 pm
Chama cha Mapinduzi Kata ya Salama kimefanya hafla ya kuwapongeza walimu wa Shule ya Sekondari ya Salama kwa mafanikio makubwa ya matokeo ya Kidato cha Nne 2024. Na Adelinus Banenwa Chama cha Mapinduzi Kata ya Salama kimefanya hafla ya kuwapongeza…
25 March 2025, 10:35 pm
Afariki dunia kwa kuliwa na mamba baada ya kumkamata akiwa anaendelea na uvuvi wa samaki kando ya ziwa Victoria.. sehemu ndogo tu ya mwili imepatikana familia wazika Na Thomas Masalu Mashiku Mihayo (49) mkazi wa mtaa wa Guta Mjini amefariki…
23 March 2025, 12:24 pm
Mwanamke aliyedaiwa kumchoma mwanae kiganja cha mkono kwenye jiko la mkaa atiwa mbaroni wananchi wataka kumshushia kipigo. Na Adelinus Banenwa Ni Neema Musimu John mkazi wa mtaa wa Mapinduzi kata ya Bunda mjini mkoani Mara ambaye inadaiwa kumchoma moto kwenye…
22 March 2025, 9:03 pm
Licha ya sensa ya watu na makazi ya 2022 kuonesha idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume, katika nafasi za uongozi kwa ngazi za udiwani na ubunge bado kuna idadi ndogo zaidi ya uwakilishi. By Edward Lucas Chama cha Wanahabari…
21 March 2025, 6:04 pm
Wameirai jamii kusikiliza na kutembelea kituo cha Radio Mazingira Fm kutokana na huduma bora za utangazaji na ufikisha wa mahudhui ya habari kwa wananchi na jamii kwa ujumla. Na Adelinus Banenwa Baadhi ya wanafunzi wa kidato cha nne shule ya…
21 March 2025, 5:45 pm
Inadaiwa mama huyo aliyetambulika kwa jina la Neema Musimu John alichukua hatua ya kumuunguza mtoto huyo baada ya kujisaidia kwenye nguo bila kutoa taarifa. Na Adelinus Banenwa Mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka mitano ambaye jina lake limehifadhiwa amekutwa…
21 March 2025, 4:24 pm
Viongozi hao wameonesha umoja na ushirikishanaji wa taarifa za miradi pindi inapopelekwa kwenye maeneo yao. Na Adelinus Banenwa Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Bunda imewapongeza baadhi viongozi wilayani Bunda kwa utekelezaji na usimamizi wa miradi ya serikali kwenye maeneo…
19 March 2025, 12:24 pm
Kazi kubwa ya wataalamu ni kutoa elimu kwa jamii ili kudhibiti magonjwa ya milipuko kama vile kipindupindu, kichocho, miongoni mwa magonjwa mengine. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa jamii kuzingatia usafi wa mazingira na vyakula ili kuepukana na magonjwa ya…
15 March 2025, 5:46 pm
Miongoni mwa maeneo yatakayoangaziwa ni pamoja na sekta mbalimbali za serikali ikiwemo Maji, Umeme, Afya, Barabara pamoja na Elimu. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imewaomba wananchi wote kuudhuria maadhimisho ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita chini…
7 March 2025, 7:22 pm
Mbali na kuwataka wanawake kuwa na mshikamano pia amesema ni lazima zisemwe kazi nzuri zilizofanywa na serikali awamu ya sita chini ya rais Samia Suluhu Hassan Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wanawake wote kuwa na ushirikiano na kujenga tabia…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com