Mazingira FM

Recent posts

22 July 2025, 20:18

Miaka miwili baada ya mume kujinyonga, mke naye ajinyonga

Tukio la mama huyo kujinyonga limeacha maswali mengi kutokana na mume wake miaka miwili iliyopita alifariki kwa kujinyonga pia Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Pili Chacha (40) amefariki dunia kwa kujinyonga kwenye mti ulipo pembezoni mwa…

22 July 2025, 17:14

UWT Bunda yapata madiwani 11 viti maalum

uchaguzi huu umefanyika kwa mujibu wa ratiba na tayari kwa upande wa Bunda jumla ya madiwani viti maalumu 11 wamepatikana Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Bunda Bi Marysiana Sabuni amesema…

19 July 2025, 19:23

Bodaboda aliyekutwa ameuawa azikwa

Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa kijana huyo aliuawa kwa kunyongwa. Na Adelinus Banenwa Kijana Yusto Kungu dereva bodaboda aliyekutwa ameuawa amezikwa leo nyumbani kwao katika kijiji cha Nyasirori, wilayani Butiama , mkoani Mara. Yusto alikuwa mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda…

16 July 2025, 11:26

Jamii yatakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani

Vipo vyanzo vya aina tatu vya ajali ambavyo ni Vyanzo vya kibinadamu, Vyanzo vya kimazingira na vyanzo vya kiufundi. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa watumiaji wote wa barabara wilayani Bunda kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zisizo…

9 July 2025, 17:21

Mbio za mwenge kuwa fursa kwa vijana Bunda

Nafasi za ushiriki katika mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2025, ambapo jumla ya vijana saba wanahitajika kushiriki kutoka Wilaya ya Bunda na Mkoa wa Mara. Na Adelinus Banenwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Salumu Mtelela, ametangaza nafasi…

9 July 2025, 11:23

Afariki katika ajali ya pikipiki Bunda

Tukio hilo limetokea wakati mtoto huyo akivuka barabara akitoka shuleni, Na Adelinus Banenwa Mtoto mwenye umri wa miaka 8, Joseph Masinde, mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kabarimu B, amefariki dunia leo baada ya kugongwa na pikipiki…

5 July 2025, 08:50

Mita za maji za malipo ya kabla mwarobaini bili za maji Bunda

Matumizi ya mita za malipo ya kabla pia yatasaidia kuhimiza matumizi bora ya maji na kuongeza uwazi katika ulipaji wa huduma. Na Adelinus Banenwa Katika hatua ya kuimarisha huduma za usambazaji maji na kuondoa changamoto za malalamiko ya wateja kuhusu…

3 July 2025, 19:27

42 watia nia kuyataka majimbo matatu CCM Bunda

Kwa mujibu wa Chonya idadi hiyo inaonesha mwitikio mkubwa wa wanachama wa CCM kushiriki katika mchakato wa kisiasa, hali inayoakisi ukuaji wa demokrasia ndani ya chama. Na Adelinus Banenwa Jumla ya wagombea 42 wametia nia ya kuomba kuteuliwa kwenyenafasi ya …

3 July 2025, 08:08

Ruhundwa alitaka jimbo la Ngara

Ruhundwa amesema anaamini zaidi katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kila sekta kuleta maendeleo kutokana na ukuaji wa teknolojia duniani. Na Mwandishi wetu Katika kile kinachoonekana kuwa kiu ya kuwatumikia Wanangara na kuifanya Ngara kuwa kubwa…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com