Mazingira FM
Mazingira FM
23 September 2025, 8:04 pm
Mgombea udiwani kupitia chama cha Mapinduzi CCM kata ya Balili Thomas Tamka Chikongoe amuomba mgombea ubunge wa CCM jimbo la Bunda kuhakikisha atakapo apishwa kuwa mbunge asaidie kujenga ofisi za TANAPA,kuongeza taa za barabarani na kukamilisha ujenzi wa zahanati Na…
23 September 2025, 11:26 am
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
22 September 2025, 7:54 pm
Ester Bulaya ameeleza dhamira yake ya kuendeleza utaratibu ulioanzishwa na mtangulizi wake, RobartChacha Maboto, wa kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu kupata elimu Na Catherine Msafiri, Mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ester Amos…
22 September 2025, 7:43 pm
Mgombea udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Bunda Stoo, Flavian Chacha Nyamigeko, amezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi kwa kueleza mafanikio ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo 2020-2025 Na Catherine Msafiri, Mgombea udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi…
20 September 2025, 7:24 pm
Amesema endapo atachaguliwa kuwa diwani atahakikisha soko hilo linafanya kazi muda wote. Na Adelinus Banenwa. David Nyabende Thomas mgombea udiwani kata ya Nyasura kupitia chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA amewataka wananchi kwenda kumpigia kura katika uchaguzi mkuu mwezi Oktoba,…
18 September 2025, 5:49 pm
Wakazi wa mtaa huo wa Miembeni wameishukuru Serikali na mamlaka ya maji Bunda kwa kuwakumbuka kuwafikishia huduma ya maji safi Na Adelinus Banenwa Zaidi ya kaya 125 kata ya Bunda stoo mtaa wa miembeni maarufu Ukanda wa Gaza kunufaika na…
18 September 2025, 1:12 pm
Afisa afya halmashauri ya mji wa Bunda Wilfred Gunje amebainisha kuwa magonjwa ya mlipuko ni magonjwa yanayotokea kwa ghafla na kuenea kwa haraka kama,covid 19 ,homa ya manjano,ebola na kuhara na kutapika Na Catherine Msafiri Serikali imeweka mikakati katika kukabiliana…
15 September 2025, 10:53 pm
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Mtambi amesisitiza umuhimu wa kuimarisha juhudi za pamoja za uhifadhi, pamoja na kuendeleza mshikamano baina ya jamii zinazozunguka bonde hilo. Na Catherine Msafiri, Maadhimisho ya Mara Day yamehitimishwa leo 15 septemba 2025 katika viwanja…
15 September 2025, 7:41 pm
Ndugu Lukas amesema azma yake kubwa ni kuiletea kata hiyo maendeleo endelevu kwa kusimamia ipasavyo miradi ya barabara, kufufua soko la Nyamakokoto Na Catherine Msafiri, Mgombea udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kata ya Nyamakokoto, Halmashauri ya Mji wa Bunda…
15 September 2025, 6:32 pm
Afisa Kilimo kutoka Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Mara Pamba Mara Cooperative Fikiri Maregesi Mauna ameiomba serikali kufufua viwanda vilivyopo mkoani Mara. Na Catherine Msafiri, Afisa Kilimo kutoka Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Mara Pamba Mara Cooperative Fikiri…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com