Mazingira FM

Recent posts

17 August 2023, 6:04 pm

Wakazi wa Misisi Bunda waiomba serikali kuingilia kati nyumba kubomoka

“Serikali itusaidie kampuni ya ujenzi ya China iturekebishie nyumba zetu zilizoharibika wakati wakilipua miamba kutengenezea barabara ya Nyamuswa” wakazi wa Misisi wilaya ya Bunda Na Edward Lucas Wakazi wa mtaa wa Misisi kata ya Sazira Halmashauri ya Mji wa Bunda…

16 August 2023, 9:50 am

DC Naano: Bunda inaongoza kwa kutokuwa na vyoo Mara

Bunda ni miongoni mwa wilaya zinaongoza kwa kutokuwa na vyoo mkoani Mara Na Thomas Masalu Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe. Dr,Vicent Naano amegiza kushughulikiwa kikamilifu suala la usafi wa mazingira hasa kuwa na vyoo bora majumbani ili kusaidia kupunguza…

10 August 2023, 1:14 pm

Chama cha wafugaji chatoa msimamo uwekezaji bandari

Wafugaji wanaona yapo manufaa makubwa kwenye uwekezaji wa bandari hivyo wanaunga mkono jitihada zote za serikali katika uwekezaji huo. Na Adelinus Banenwa Chama cha wafugaji Tanzania kupitia kwa mwenyekiti wake kimesema kinaunga mkono mkataba wa mashirikiano ya serikali na kampuni…

10 August 2023, 11:03 am

Zaidi ya kilo milion 6.9 za pamba zanunuliwa Bunda

Pamoja na idadi hiyo ya tani za pamba ambazo zimeishanunuliwa kutoka kwa wakulima hadi wakati huu kuonekana ni ndogo lakini bado wakulima wanaendelea kuuza pamba yao katika vituo vya AMCOS hivyo  kufanya mwaka huu kupiga hatua kubwa kulinganisha na miaka…

10 August 2023, 7:41 am

Mtelela: Wakulima tumieni teknolojia kwenye kilimo

Wakulima kutumia teknolojia ili kukuza kilimo kama vile kujua ukubwa wa mashamba yao. Na Adelinus Banenwa Akifungua kikao kilichowakutanisha wataalam wa halmashauri zote mbili za wilaya ya Bunda katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewataka wakulima kutumia teknolojia ili…

6 August 2023, 10:29 pm

Watu 1000 hadi 5000 hupoteza maisha Ziwa Victoria kwa mwaka

Taasisis ya bonde la Ziwa Victoria inayohudumia nchi zote ndani ya Afrika Mashariki tayari imeandaa mpango wa kusimika mitambo ya mawasiliano ziwani yenye thamani ya shilingi bilioni 60 pesa ya kitanzania itakayosaidia kutoa taarifa kwa changamoto yoyote itakayojitokeza kwa watu…

6 August 2023, 10:05 pm

Ghala la pamba la 4C lateketea kwa moto Bunda

Ghala la pamba linalomilikiwa na kampuni ya 4c limeteketea kwa moto huku likiwa na mzigo wa pamba ndani, hadi sasa haijulikani hasara ni kiasi gani. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Mhe Salumu Mtelela amesema hadi sasa haijulikani…

4 August 2023, 2:33 pm

Namba 116 yasaidia kwa kiasi kikubwa utoaji wa taarifa za ukatili

Lengo la mafunzo haya kati ya vyama vya wenye ulemavu na waandishi wa habari ni kuweka mpango kazi wa pamoja na kuweka mapendekezo wa njia gani zitumike katika kutokomeza ukatili wa kijinsia katika jamii. Na Adelinus Banenwa Katika kukabiliana na…

3 August 2023, 3:23 pm

Wenye ulemavu na wanahabari wakutanishwa elimu kupinga ukatili Mara

Dismas amewataka watu wenye ulemavu hasa wanawake na wasichana kujiona watu wa kawaida katika Jamii. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa waandishi wa habari kuelimisha Jamii juu ya madhara yatokanayo ya ukatili wa kijinsia katika Jamii hasa kwa kwa wanawake…