Mazingira FM
Mazingira FM
2 March 2024, 18:14
Waziri mkuu Kasim Majaliwa amesema kuwa serikali itaendelea kuimarisha miradi yote ya kimkakati na kupokea changamoto zote kupitia wabunge. Na Adelinus Banenwa Waziri mkuu Kasim Majaliwa amesema kuwa serikali itaendelea kuimarisha miradi yote ya kimkakati na kupokea changamoto zote kupitia…
2 March 2024, 18:05
Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe Jumanne Sagini amekemea madereva pikipiki maarufu kama bodaboda kukiuka sheria za usalama barabarani. Na Adelinus Banenwa Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe Jumanne Sagini amekemea madereva pikipiki maarufu…
2 March 2024, 17:58
Mkuu wa kitengo Cha uhasibu na fedha halmashauri ya wilaya ya Serengeti yuko mikononi mwa jeshi la polisi mkoani Mara kwa agizo la Mhe waziri Mkuu baada ya kukutwa na tuhuma za kuhamisha fedha za serikali zaidi ya shilingi Milioni…
2 March 2024, 17:31
Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kasimu Majaliwa Majaliwa ziara yake mkoani Mara akianza na wilaya ya Bunda kwa kutembelea, kukagua, kuweka jiwe la msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya ya Bunda. Na Adelinus Banenwa…
22 February 2024, 12:50
Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Robert Chacha Maboto siku ya leo amemkabidhi Mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Bunda, Emmanuel Mkongo gari mpya ya kubebea Wagonjwa itakayo toa huduma katika kituo cha afya Wariku. Na Thomas Masalu Mbunge wa…
21 February 2024, 21:28
Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara tarehe 20 Feb, 2024 limeidhinisha makadirio ya bajeti ya mapato na matumizi ya zaidi ya shilingi bilioni 31.3 kwa mwaka wa fedha 2024 na 2025. Na Adelinus Banenwa Baraza la…
19 February 2024, 11:26
Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amelihakikishia baraza la madiwa la mji wa Bunda kuwa taratibu za kuwalipa wakazi wa Nyatwali zipo ukingoni na muda wowote kutoka sasa wakazi hao wataanza kulipwa. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya…
18 February 2024, 17:14
Askofu wa kanisa Katoliki jimbo la Bunda Saimon Chibuga Masondole amewataka matabibu kufanya kazi kwa moyo kwa kuwa Mungu amewapa karama ya uponyaji. Na Adelinus Banenwa Askofu wa kanisa Katoliki jimbo la Bunda Saimon Chibuga Masondole amewataka matabibu kufanya kazi…
17 February 2024, 23:07
Wananchi wamelalamikia kituo cha afya bunda kuwatoza fedha akina mama wanaokwenda kujifungua na watoto chini ya miaka mitano kinyume na sera ya afya. Na Adelinus Banenwa Wananchi wamelalamikia kituo cha afya Bunda kuwatoza fedha akina mama wanaokwenda kujifungua na watoto…
17 February 2024, 22:42
Katibu tawala wilaya ya Bunda amewaelekeza madiwani chini ya mwenyekiti wa halmashauri na wataalam wa halmashauri wilaya ya Bunda chini ya mkurugenzi mtendaji kufanya ziara na mikutano ya hadhara ili kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Na Adelinus Banenwa. Katibu…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com