Mazingira FM

Recent posts

4 April 2024, 6:42 pm

Mbunge Maboto atoa milion 2 kwa umoja wa bajaji Bunda

Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto ametoa shilingi milioni mbili kwa chama cha waendesha bajaji bunda ikiwa ni sehemu ya kuwaunga mkono katika shughuli zao. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert…

4 April 2024, 5:42 pm

Wanaojipitisha kusaka uongozi CCM Bunda waonywa

Katibu awa siasa na uenezi CCM Bunda ndugu Gasper Petro amewaonya wanachama wa CCM wanaopitapita kwa nia ya kugombea nafasi ambazo bado viongozi wake wapo kama vile uwenyekiti, udiwani au ubunge ndani ya wilaya ya Bunda. Akizungumza katika ziara ya…

28 March 2024, 9:50 am

Mtoto mwingine wa miaka 7 ajeruhiwa na fisi kijiji cha Mumagunga Bunda

Misipina Silivester 7 mkazi wa kitongoji cha Arusha kijiji cha Mumagunga halmashauri ya wilaya ya Bunda ameshambuliwa na fisi akiwa anaanua udaga mwambani karibu na nyumbani kwao. Na Adelinus Banenwa Mtoto mwingine ajeruhiwa na fisi kijiji cha Mumagunga zikiwa ni…

21 March 2024, 7:20 pm

Anayetuhumiwa kubaka, kulawiti mwanafunzi apandishwa kizimbani Bunda

Bunda: Mwalimu aliyetuhumiwa kubaka, kulawiti mwanafunzi apandishwa kizimbani akana mashtaka arudishwa rumande Na Adelinus Banenwa Leo tarehe 21/03/2024 katika mahakama  ya Wilaya Bunda amepandishwa kizimbani Vicent Joseph Nkunguu umri miaka  36 mwalimu mkuu shule ya msingi Masahunga kwa tuhuma za  kujaribu…

15 March 2024, 4:54 pm

Aliyekuwa diwani wa Kisorya kuzikwa jumatatu kwa mujibu wa familia

Aliyekuwa diwani wa Kisorya kuzikwa jumatatu kwa mujibu wa familia familia yasema alikuwa haumwi yasubiri majibu ya uchunguzi. Na Adelinus Banenwa Mafuru Phinias Mafuru kijana wa marehemu ameiambia Mazingira Fm kuwa kama familia wamesikitishwa na tukio la kuondokewa na mzazi…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com