Mazingira FM
Mazingira FM
4 April 2024, 6:42 pm
Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto ametoa shilingi milioni mbili kwa chama cha waendesha bajaji bunda ikiwa ni sehemu ya kuwaunga mkono katika shughuli zao. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert…
4 April 2024, 5:42 pm
Katibu awa siasa na uenezi CCM Bunda ndugu Gasper Petro amewaonya wanachama wa CCM wanaopitapita kwa nia ya kugombea nafasi ambazo bado viongozi wake wapo kama vile uwenyekiti, udiwani au ubunge ndani ya wilaya ya Bunda. Akizungumza katika ziara ya…
4 April 2024, 5:24 pm
Mbunge Wa Jimbo La Bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewaomba viongozi ngazi za serikali za mitaa na kata kulinda maeneo ya serikali yaliyotengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo katika maeneo yao. Na Adelinus Banenwa Mbunge Wa Jimbo La…
3 April 2024, 9:59 am
Vyombo vya Habari nchini vimetajwa kuwa nguzo muhimu katika utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto ( PJT – MMMAM). Na Adelinus Banenwa Vyombo vya Habari nchini vimetajwa kuwa nguzo muhimu katika…
3 April 2024, 7:02 am
Afisa kilimo Bunda auawa na mke wake sababu zikitajwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Na Adelinus Banenwa Afisa kilimo bunda auwa na mke wake sababu zikitajwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Julius Rubambi [38] afisa kilimo kata ya Neruma halmashauri…
28 March 2024, 9:50 am
Misipina Silivester 7 mkazi wa kitongoji cha Arusha kijiji cha Mumagunga halmashauri ya wilaya ya Bunda ameshambuliwa na fisi akiwa anaanua udaga mwambani karibu na nyumbani kwao. Na Adelinus Banenwa Mtoto mwingine ajeruhiwa na fisi kijiji cha Mumagunga zikiwa ni…
27 March 2024, 11:13 am
Kipindi kinachoelezea namna ya kupambana na ukatili, ndoa za utotoni na ukeketaji kwenye familia – elimu kutoka shirika lisilo la kiserikali ATFGM-Masanga
24 March 2024, 7:04 pm
Zaidi ya wananchi 800 katika kijiji cha Buswahili wilaya ya Butiama mkoani Mara wanufaika na chanzo cha maji cha Kyanyamatende kilichotunzwa na kuboreshwa na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi na Mazingira WWF Tanzania kwa ufadhiri wa USAID Na Dinnah Shambe…
21 March 2024, 7:20 pm
Bunda: Mwalimu aliyetuhumiwa kubaka, kulawiti mwanafunzi apandishwa kizimbani akana mashtaka arudishwa rumande Na Adelinus Banenwa Leo tarehe 21/03/2024 katika mahakama ya Wilaya Bunda amepandishwa kizimbani Vicent Joseph Nkunguu umri miaka 36 mwalimu mkuu shule ya msingi Masahunga kwa tuhuma za kujaribu…
15 March 2024, 4:54 pm
Aliyekuwa diwani wa Kisorya kuzikwa jumatatu kwa mujibu wa familia familia yasema alikuwa haumwi yasubiri majibu ya uchunguzi. Na Adelinus Banenwa Mafuru Phinias Mafuru kijana wa marehemu ameiambia Mazingira Fm kuwa kama familia wamesikitishwa na tukio la kuondokewa na mzazi…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com