Mazingira FM

Recent posts

21 June 2024, 14:47

Bunda Stoo sasa wapata soko lao

“Tumekuwa tukipata tabu sana kutembea umbali mrefu kufuata mboga sokoni hadi manjebe zaidi ya kilometa saba sasa uwepo wa soko hapa ni mkombozi kwetu” wakazi wa Bunda stoo. Na Adelinus Banenwa Wakazi wa kata ya Bunda stoo waishukuru serikalai kwa…

21 June 2024, 14:14

Walimu watakiwa kutojiona wanyonge serikali inatambua mchango wao

Walimu msijione wanyonge kazi yenu serikali inaitambua hivyo timizeni wajibu wenu pia fanyeni kazi acheni mazoea hakuna mwanafunzi mjinga wala dhana ya shule ya serkali haifaulishi. Na Adelinus Banenwa Naibu katibu mkuu wizara ya Rais TAMISEMI anayeshughurikia upande wa elimu …

21 June 2024, 13:56

Zaidi ya milion 230 zatolewa kuwakwamua wanawake kiuchumi

Wanawake watakiwa kujiunga kwenye vikundi vya ujasiriamali ili viwasaidie kupata mikopo na kujikwamua kimaisha. Na Mariam Mramba Jumla ya wanawake 263 kutoka kijiji cha Magunga kata ya Mirwa wilayan Butiama wamenufaika na mkopo wa shilingi (232, 470,000) million mia mbili…

21 June 2024, 13:19

Wazazi watakiwa kuzingatia lishe kwa watoto

Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuzingatia lishe bora kwa watoto chini ya miaka mitano ili kuwa na watoto wenye afya bora Na Catherine Msafiri Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanazingatia lishe bora kwa watoto wao hasa wa mwaka 0…

19 June 2024, 18:01

DC Naano atoa siku 11 wakandarasi kumaliza barabara Bunda

Mkuu wa wilaya ya Bunda atoa siku 11 kwa wakandarasi wanaolima barabara Bunda mjini wawe wamemaliza asema kwa sasa hakuna kisingizio cha mvua. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Anney Naano ametoa siku 11 kwa wakandarasi…

17 June 2024, 19:01

Raymond: Wafanyabiashara tumieni benki kwa usalama wa fedha

“Wafanyabiashara msipende kutunza pesa zenu majumbani kuna hatari nyingi mfano moto, wezi n.k pelekeni benki fedha zitakuwa salama”, Raymond. Na Adelinus Banenwa Baadhi ya wafanyabiashara mkoani Mara wamelalamikia uwepo wa makato makubwa kwenye taasisi za kifedha hasa mabenki hali inayopelekea…

17 June 2024, 14:56

C-SEMA wapewa hati ya pongezi siku ya wazee

Shirika la C-SEMA lapongezwa utoaji wa elimu ukatili dhidi ya wototo na wenye ulemavu. Na Adelinus Banenwa Shirika la C-SEMA limepokea hati ya pongezi katika maadhimisho ya siku ya kupinga ukatili dhidi ya wazee, yaliyofanyika Juni 15, 2024, wilayani Bunda,…

15 June 2024, 21:26

Maboto kutoa bima za afya kwa wazee 198 Bunda

Wazee 198 Bunda mjini kunufaika na bima ya afya kutoka kwenye mshahara wa mbunge jimbo la Bunda Mjini Mhe Robrt Chacha maboto. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto amesema kuanzia Juni 16, 2024…

14 June 2024, 18:44

Mtoto atupwa saa chache baada ya kuzaliwa, wasamalia wamuokota

Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na masaa kadhaa tangu kuzaliwa ameokotwa baada ya kutupwa na mama yake punde tu baada ya kujifungua. Na Adelinus Banenwa Mtoto huyo jinsia ya kike ameokotwa leo June 14 mtaa wa Mapinduzi kata ya Bunda mjini …

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com