Mazingira FM
Mazingira FM
17 February 2024, 22:25
Tutazungumza na tawa kutatua changamoto ya uvamizi wa nyani kwenye makzi ya watu Mhe Madiwani tupeni muda. Na Adelinus Banenwa Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Bunda kupitia kwa katibu tawala wilaya hiyo Salumu Mtelela imelihakikishia baraza la madiwani halmashauri…
17 February 2024, 22:06
Halmashauri ya mji wa Bunda imetangaza kuvunja mkataba na mkandarasi wa usafi ndani ya mji wa Bunda kutokana na kushindwa kutekeleza mkataba wake. Na Adelinus Banenwa Halmashauri ya mji wa Bunda imetangaza kuvunja mkataba na mkandarasi wa usafi ndani ya…
17 February 2024, 21:52
Ukosefu wa huduma ya maji ya bomba yatajwa kuwa chanzo cha wananchi kushambuliwa na mamba Halmashauri ya wilaya ya Bunda. Na Adelinus Banenwa Ukosefu wa huduma ya maji ya bomba yatajwa kuwa chanzo cha wananchi kushambuliwa na mamba Halmashauri ya…
17 February 2024, 20:59
Mkuu wa wilaya ya Rorya Juma Chikoka ameishukuru Bank ya NMB kuwa wadau wazuri wa maendeleo hasa kwa upande wa elimu. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Rorya Juma Chikoka ameishukuru Bank ya NMB kuwa wadau wazuri wa maendeleo…
17 February 2024, 20:35
Maajabu aliyezikwa baada ya ndugu kupata taarifa za kifo chake aonekana tena, wakazi wa eneo hilo wapigwa na butwaa wakidhani ni mzimu. Na Adelinus Banenwa Maajabu aliyezikwa baada ya ndugu kupata taarifa za kifo chake aonekana tena wakazi wa eneo…
1 February 2024, 19:56
Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Aney Naano amevitaka vyombo vinavyosimamia sheria kuhakikisha haki inatendeka hasa katika kesi zinazohusu ukatili wa kijinsia. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Aney Naano amevitaka vyombo vinavyosimamia sheria kuhakikisha…
1 February 2024, 16:15
Mahakama ya wilaya ya Bunda kwa kushirkiana na wadau wa masuala ya sheria wametoa msaada wa magodoro kwenye gereza la Bunda. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya Bunda kwa kushirkiana na wadau wa masuala ya sheria wametoa msaada wa…
1 February 2024, 15:22
Atakayetoa taarifa au kumkamata mwizi wa taa za barabarani kupewa donge nono. Na Adelinus Banenwa Atakayetoa taarifa au kumkamata mwizi wa taa za barabarani kupewa donge nono. Ni kauli ya Mhe Robert Maboto Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini wakati…
29 January 2024, 15:06
Mwenyekiti wa ccm kata ya bunda stoo Charlse Mwita Chacha ameiomba serikali kupitia wataalamu wake kuchukua hatua madhubuti kukamilisha miradi Bunda stoo. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa ccm kata ya bunda stoo Charlse Mwita Chacha ameiomba serikali kupitia wataalamu wake…
29 January 2024, 14:38
Mwili wa mwanamke uliozikwa kwa kukosa ndugu eneo la mtaa wa Tamua kata ya Nyatwali halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara umefukuliwa baada ya wanaodaiwa kuwa ndugu kupatikana. Na Adelinus Banenwa Mwili wa mwanamke uliozikwa kwa kukosa ndugu eneo…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com