Mazingira FM
Mazingira FM
1 November 2023, 9:24 am
Zaidi ya wakazi 5000 kutoka kata ya Manyamanyama na maeneo jirani wanatarajia kunufaika na huduma ya maji kutoka mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Bunda BUWSSA. Na Adelinus Banenwa Zaidi ya wakazi 5000 kutoka kata ya Manyamanyama na…
1 November 2023, 9:15 am
Kiasi cha ekari elfu 69,110 za zao la pamba zinatarajiwa kulimwa ndani ya wilaya ya Bunda katika katika msimu wa mwaka 2023 – 2024. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha ekari elfu 69,110 za zao la pamba zinatarajiwa kulimwa ndani ya…
26 October 2023, 8:47 pm
Mkuu wa mkoa wa Mara Mhe Saidi Mohamed Mtanda amewataka wananchi wa Vijiji vya Mekomariro kutoka Wilaya ya Bunda na Remong’orori kutoka Wilaya ya Serengeti kuhakikisha wanakaa na kutafuta suluhu ya mgogoro unaoendelea. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa mkoa wa…
23 October 2023, 9:18 am
UWT Bunda watembelea hospitali ya Manyamanyama-Bunda kuonesha matendo ya huruma kwa wagonjwa katika kuadhimisha kilele cha wiki ya UWT Na Edward Lucas Maadhimisho ya wiki ya Wanawake UWT Wilaya ya Bunda mkoa wa Mara yamefikia kilele hapo jana 22 Oct…
22 October 2023, 11:01 pm
“Akina mama tumejipa shughuli nyingi tumesahau wajibu wetu wa malezi, twende tuwalinde watoto” Na Edward Lucas Wanawake wameaswa kuzingatia malezi ya watoto ili kukabiliana na changamoto ya mmomonyoko wa maadili ndani ya jamii Wito huo umetolewa leo na Mjumbe Kamati…
22 October 2023, 7:22 am
“Mbali na vitambulisho vilivyokuwepo awali, serikali imeleta tena vitambulisho vingine kwa wale waliojiandikisha hivi karibuni kwahiyo wananchi wafike ofisi za kata kuchukua vitambulisho vyao” Na Edward Lucas Wito umetolewa wananchi wilaya ya Bunda mkoani Mara kufika katika ofisi za kata…
21 October 2023, 6:47 pm
Wito umetolewa kwa waandishi habari kuripoti taarifa dhidi ya vitendo vya ukatili dhidi ya watoto na wanawake katika jamii. Na Fadhil Mramba Wito umetolewa kwa waandishi habari kuripoti taarifa dhidi ya vitendo vya ukatili dhidi ya watoto na wanawake katika…
20 October 2023, 10:36 pm
Kiasi Cha shilingi milioni 2 zimetolewa na Eng Kambarage Wasira Kwa ajili ya ukamilishaji wa choo shule ya Sekondari Sizaki. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni 2 zimetolewa na Injinia Kambarage Wasira kwa ajili ya ukamilishaji wa choo shule…
19 October 2023, 9:17 pm
Mbunge Robert Maboto ameahidi kuwafadhili vifaa vya shule wakati wa kujiunga na kidato cha Tano wanafunzi wote shule ya Sekondari Wariku na Dr. Nchimbi watakaopata daraja la kwanza katika matokeo ya kidato cha nne kwenye mtihani wa taifa unaotarajiwa kifanyika…
19 October 2023, 8:42 pm
Zaidi ya shilingi milioni kumi na saba zimeahidiwa kutolewa na mdau wa maendeleo ambae pia ni mjumbe wa mkutano mkuu wa ccm taifa Kulwa Kahabi ili kusaidia ujenzi wa jiko la kupikia chakula cha wanafunzi katika shule ya sekondari Sazira…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com