Mazingira FM
Mazingira FM
1 February 2024, 4:15 pm
Mahakama ya wilaya ya Bunda kwa kushirkiana na wadau wa masuala ya sheria wametoa msaada wa magodoro kwenye gereza la Bunda. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya Bunda kwa kushirkiana na wadau wa masuala ya sheria wametoa msaada wa…
1 February 2024, 3:22 pm
Atakayetoa taarifa au kumkamata mwizi wa taa za barabarani kupewa donge nono. Na Adelinus Banenwa Atakayetoa taarifa au kumkamata mwizi wa taa za barabarani kupewa donge nono. Ni kauli ya Mhe Robert Maboto Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini wakati…
29 January 2024, 3:06 pm
Mwenyekiti wa ccm kata ya bunda stoo Charlse Mwita Chacha ameiomba serikali kupitia wataalamu wake kuchukua hatua madhubuti kukamilisha miradi Bunda stoo. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa ccm kata ya bunda stoo Charlse Mwita Chacha ameiomba serikali kupitia wataalamu wake…
29 January 2024, 2:38 pm
Mwili wa mwanamke uliozikwa kwa kukosa ndugu eneo la mtaa wa Tamua kata ya Nyatwali halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara umefukuliwa baada ya wanaodaiwa kuwa ndugu kupatikana. Na Adelinus Banenwa Mwili wa mwanamke uliozikwa kwa kukosa ndugu eneo…
29 January 2024, 2:25 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Naano amewataka wananchi wote wilaya ya Bunda kuitumia wiki ya sheria ili kupata elimu mbalimbali za kisheria. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Naano amewataka wananchi wote wilaya ya…
27 January 2024, 9:13 am
Mkuu wa wilaya ya Butiama Moses Kaegele amewapongeza bank ya NMB kwa kuwa wadau wa maendeleo katika sekta za elimu na afya na kuendelea kuwa karibu na jamii. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya BUTIAMA Moses Kaegele amewapongeza bank…
23 January 2024, 8:43 am
Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Kulwa Mafwimbo 46 mkazi wa kijiji cha Buzimbwe ameshambuliwa na mamba wakati akioga ziwa Victoria. Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Kulwa Mafwimbo 46 mkazi wa kitongoji cha Majengo kijiji cha…
16 January 2024, 12:43 pm
Mamlaka ya maji Bunda BUWASSA imesema miradi yote ya maji inayotekelezwa mjini Bunda ikikamilika itafanya upatikanaji wa maji mjini Bunda kufikia asilimia 92. Na Adelinus Banenwa Mamlaka ya maji Bunda BUWASSA imesema miradi yote ya maji inayotekelezwa mjini Bunda ikikamilika…
16 January 2024, 12:16 pm
Wito umetolewa kwa watendaji wa serikali za mitaa kata ya Nyasura kukaa ofisini ili kutimiza adhma ya kuwahudumia wananchi. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa watendaji wa serikali za mitaa kata ya Nyasura kukaa ofisini ili kutimiza adhma ya kuwahudumia…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com