Mazingira FM
Mazingira FM
8 March 2024, 4:58 pm
Ubanduaji,kuchana picha za wagombea ni marufuku kipindi cha kampeni uchaguzi mdogo Mara Tume ya taifa ya uchaguzi NEC imekemea vitendo vya ubanduaji au kuchana picha za wagombea au kubandika picha ya mgombe juu ya picha ya mgombea mwingine wakati wa…
8 March 2024, 4:52 pm
Viongozi wa vyama vya siasa na wafuasi wao wameonywa juu ya matumizi lugha za matusi na kejeli wakati wa kampeni za uchaguzi zinazoendelea katika kata 2 kwa mkoa wa Mara zinazotarajia kufanya uchaguzi mdogo wa udiwani mnamo March 20, 2014…
8 March 2024, 12:51 pm
Imeelezwa kuwa ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo ni suala muhimu na la msingi katika kujiletea maendeleo katika vijiji na mitaa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo ni suala muhimu na la msingi…
8 March 2024, 12:41 pm
Wito umetolewa kwa wanawake kuachana na mikopo kandamizi yenye riba kubwa maarufu kama kausha damu badala yake wakakope kwenye taasisi zinazotambulika kisheria kama vile benki na halmashauri. Na Adelinus BanenwaWito umetolewa kwa wanawake kuachana na mikopo kandamizi yenye riba kubwa…
8 March 2024, 10:40 am
Mwenyekiti wa kamati ya fedha na uchumi CCM wilaya ya Bunda Eng Kambarage Wasira ametoa mabati 50 ujenzi nyumba ya katibu UWT Bunda Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa kamati ya fedha na uchumi CCM wilaya ya Bunda Eng Kambarage Wasira…
2 March 2024, 6:34 pm
Waziri wa maji Mhe Jumaa Aweso ametangaza Muwasa kusitisha kutoa huduma ya kusambaza maji kwenye mji wa Tarime Na Adelinus Banenwa Waziri wa maji Mhe Jumaa Aweso ametangaza Muwasa kusitisha kutoa huduma ya kusambaza maji kwenye mji wa Tarime Mhe…
2 March 2024, 6:14 pm
Waziri mkuu Kasim Majaliwa amesema kuwa serikali itaendelea kuimarisha miradi yote ya kimkakati na kupokea changamoto zote kupitia wabunge. Na Adelinus Banenwa Waziri mkuu Kasim Majaliwa amesema kuwa serikali itaendelea kuimarisha miradi yote ya kimkakati na kupokea changamoto zote kupitia…
2 March 2024, 6:05 pm
Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe Jumanne Sagini amekemea madereva pikipiki maarufu kama bodaboda kukiuka sheria za usalama barabarani. Na Adelinus Banenwa Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe Jumanne Sagini amekemea madereva pikipiki maarufu…
2 March 2024, 5:58 pm
Mkuu wa kitengo Cha uhasibu na fedha halmashauri ya wilaya ya Serengeti yuko mikononi mwa jeshi la polisi mkoani Mara kwa agizo la Mhe waziri Mkuu baada ya kukutwa na tuhuma za kuhamisha fedha za serikali zaidi ya shilingi Milioni…
2 March 2024, 5:31 pm
Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kasimu Majaliwa Majaliwa ziara yake mkoani Mara akianza na wilaya ya Bunda kwa kutembelea, kukagua, kuweka jiwe la msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya ya Bunda. Na Adelinus Banenwa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com