Mazingira FM

Recent posts

1 February 2024, 3:22 pm

Mbunge Maboto akerwa na wizi wa taa za barabarani Bunda

Atakayetoa taarifa au kumkamata mwizi wa taa za barabarani kupewa donge nono. Na Adelinus Banenwa Atakayetoa taarifa au kumkamata mwizi wa taa za barabarani kupewa donge nono. Ni kauli ya Mhe Robert Maboto Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini wakati…

29 January 2024, 3:06 pm

Kamati ya Siasa CCM Bunda Stoo yaipongeza serikali miradi ya elimu na afya

Mwenyekiti wa ccm kata ya bunda stoo Charlse Mwita Chacha ameiomba serikali kupitia wataalamu wake kuchukua hatua madhubuti kukamilisha miradi Bunda stoo. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa ccm kata ya bunda stoo Charlse Mwita Chacha ameiomba serikali kupitia wataalamu wake…

27 January 2024, 9:13 am

Butiama: NMB watoa msaada wa million 17 shule ya msingi Madaraka

Mkuu wa wilaya ya Butiama Moses Kaegele amewapongeza bank ya NMB kwa kuwa wadau wa maendeleo katika sekta za elimu na afya na kuendelea kuwa karibu na jamii. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya BUTIAMA Moses Kaegele amewapongeza bank…

23 January 2024, 8:43 am

Mamba waendelea kuleta maafa Buzimbwe

Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Kulwa Mafwimbo 46 mkazi wa kijiji cha Buzimbwe ameshambuliwa na mamba wakati akioga ziwa Victoria. Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Kulwa Mafwimbo 46 mkazi wa kitongoji cha Majengo kijiji cha…

16 January 2024, 12:43 pm

Upatikanaji wa maji Bunda kufikia 92% mwaka huu

Mamlaka ya maji Bunda BUWASSA imesema miradi yote ya maji inayotekelezwa mjini Bunda ikikamilika itafanya upatikanaji wa maji mjini Bunda kufikia asilimia 92. Na Adelinus Banenwa Mamlaka ya maji Bunda BUWASSA imesema miradi yote ya maji inayotekelezwa mjini Bunda ikikamilika…

16 January 2024, 12:16 pm

Watendaji watakiwa kukaa ofisini Nyasura

Wito umetolewa kwa watendaji wa serikali za mitaa kata ya Nyasura kukaa ofisini ili kutimiza adhma ya kuwahudumia wananchi. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa watendaji wa serikali za mitaa kata ya Nyasura kukaa ofisini ili kutimiza adhma ya kuwahudumia…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com