Mazingira FM
Mazingira FM
3 February 2026, 06:22
Monika hokololo Mkuu wa mashitaka wilaya ya Bunda sheria zaidi ya 400 zimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili kwa lengo la kuwasaidia wananchi kuelewa mambo ya kimahakama. Na Catherine Msafiri Imeelezwa kuwa Mahakama inaendelea na utafsiri wa sheria mbalimbali kwa lugha…
31 January 2026, 12:12
Katika msaada huu Benk ya NMB imetoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 230 mkoani Mara ambapo kwa hospital DDH Rorya imepokea Encubators 8 ambazo zitasaidia watoto njiti baada ya kuzaliwa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa vifaa saidizi…
28 January 2026, 22:08
Jumla ya wanafunzi 450 wamepatiwa vifaa vya shule ambavyo ni madaftari na kalamu huku 150 kati yao watashonewa sare za shule kutokana na uwezo wa familia zao. Na Adelinus Banenwa Jumla ya wanafunzi 450 kutoka shule ya msingi muhoji wamewezeshwa…
28 January 2026, 21:47
Hofu kwa wanachama wa CCM ilikuwa ni kubwa kutokana na matukio ya vurugu za baada ya uchaguzi lakini kwa sasa viongozi wamejiridhisha kuwa hali ni shwari. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wanachama wa chama cha mapinduzi CCM kurejea katika…
28 January 2026, 08:47
Afisa Kilimo Elton Dickson Mtani aeeleza kuwa Mbegu bora zina sifa za kustahimili ukame, magonjwa na wadudu, na zinaweza kukua vizuri hata katika mazingira magumu. Na Catherine Msafiri, Wakulima wanakabiliwa na changamoto kubwa kutokana na mabadiliko ya tabianchi, ikiwemo ukame,…
27 January 2026, 20:32
Jumla ya miti elfu 7 imepandwa katika hifadhi zote zilizopo kanda ya magharibi Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kupanda miti na kutunza mazingira ili kupunguza athari za mabadiriko ya tabia ya nchi. Hayo yamesemwa leo Jan 27, 2026…
26 January 2026, 11:22
“Bibi huyo anashambuliwa mikononi alikuwa amebiba mtoto ndipo mtoto huyo alipochukuliwa na bibi alidondoka huku damu nyingi zikiwa zinamtoka” Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Ndabacha Humbikijo Madereke Umri 68 Mkazi Wa Kijiji Cha Kinyangerere Kata Ya…
24 January 2026, 19:35
Suala la kuanza kazi ni jambo moja na kumaliza ni jambo lingine hivyo ni vema mtumishi anapofikia hatua ya kustaafu aangwe vizuri. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa taasisi za serikali kujenga utamaduni wa kuwaaga vizuri wafanyakazi wao wanapostaafu kutokana…
22 January 2026, 17:55
Uwepo wa mfumo huo wa kidigitali umesaidia mambo kadhaa kwa watumishi ikiwemo kupunguza muda wa kufualia maombi ya pensheni. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa watumishi wa umma walioko kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii ya PSSSF kujiunga na mfumo…
22 January 2026, 08:01
Tangu waanzishe program hiyo imeweza kusaidia jumla ya wanafunzi 15668 na wanajamii 6880 Na Mariam Mramba Jumla ya wanafunzi 254 kutoka shule za msingi na sekondari wanaotoka mazingira magumu wamepokea msaada wa vifaa na mahitaji malimbali yenye thamani ya zaidi…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com