Mazingira FM

Recent posts

9 October 2025, 12:06 pm

Ukatili wa kijinsia chanzo tatizo la afya ya akili Mara

Bw.Paul Nesphori mtaalamu wa saikolojia na ujasiri Kutoka hospitali ya rufaa ya kumbukumbu ya mwalimu Nyerere aeleza ukatili wa kijinsia ni chanzo cha matatizo ya afya ya akili katika mkoa wa Mara. Na Catherine Msafiri, Ikiwa kesho Dunia ainaadhimisha siku…

7 October 2025, 11:22 am

TEHAMA nguzo ya wanafunzi kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia

Wanafunzi wa shule ya sekondari Esperanto waeeleza namna somo la Tehama litakavyowasaidia kukabiliana na mabadiliko na ukuaji wa ya teknolojia. Na Catherine Msafiri Katika dunia ya sasa inayokua kwa kasi kiteknolojia, somo la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) limekuwa…

6 October 2025, 6:38 pm

Wananchi waaswa kuepuka kufuata mikumbo

Wananchi wanapaswa kuwa na utamaduni wa kutafuta ushauri kutoka kwa wataalamu wa sheria, wakiwemo mawakili. Na Adelinus Banenwa. Wananchi wameaswa kuacha tabia ya kufuata mikumbo katika kufanya maamuzi, kwani baadhi ya mambo yanayofanywa kwa mazoea au kwa ushawishi wa watu…

6 October 2025, 4:36 pm

Elimu juu ya madhara ya mila ya ukeketaji sehemu 3

Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…

6 October 2025, 12:48 pm

Jamii yatakiwa kuepuka matumizi yanayozalisha ges ukaa

Mkurugenzi wa Kampuni ya Utalii ya Twende kutalii Bw.Albert Chenza, amesema kutokana na athari za mabadiliko ya tabia nchi ,idadi ya watalii wanaotembelea baadhi ya hifadhi inaweza kupungua. Na Catherine Msafiri Mkurugenzi wa Kampuni ya Utalii ya Twende kutalii Bw.Albert…

3 October 2025, 6:16 pm

Kidato cha nne wanaosoma lugha ya Esperanto kufadhiliwa masomo

Mwenyekiti wa wazungumzaji wa lugha ya kiesperanto Tanzania, Mramba Simba Nyamkinda aahidi ufadhili wa masomo kwa wanafunzi 5 wanaosoma lugha hiyo watakaofanya vizuri kwenye mtihani wa kuhitimu kidato cha nne mwaka huu. Na Catherine Msafiri Jumla ya wanafunzi 108 wamehitimu…

3 October 2025, 2:51 pm

Getere aahidi mil 20, kujenga mabafu, tenki la maji Esperanto sekondari

Getere ameahidi baada ya uchaguzi watatoa million 20 kwaajili ya kujenga mabafu na tenki la maji Esperanto sekondari. Na Catherine Msafiri Mgombea ubunge wa jimbo la Bunda Boniface Mwita Getere amewaahidi wanafunzi na uongozi wa shule ya sekondari Esperanto kushirikiana…

3 October 2025, 2:10 pm

Mramba akabidhi sola sekondari ya Esperanto

Mgombea wa udiwani kata ya Ketare Simba Mramba Nyamkinda amekabidhi sola mbili katika shule ya sekondari Esperanto. Na Catherine Msafiri, Mwenyekiti wa shirika la Mazingira na mlezi wa shule ya esperanto sekondari Simba Mramba Nyamkinda amekabidhi sola mbili katika shule…

3 October 2025, 1:47 pm

MCDF wakabidhi chumba cha tehama Esperanto

Mratibu wa miradi Simba Mramba ameeleza baadhi ya mambo waliyofanya kama shirika katika shule hiyo huku akitaja kuwa chumba hicho kimewekewa viti 31 na meza 31 na computer 30. Na Catherine Msafiri, Shirika la Mazingira Community Development Forum limezindua mradi…

3 October 2025, 1:39 pm

DP yaahidi mtaala mpya wa elimu

Mgombea urais kupitia DP Abdul Juma Mluya aahidi serikali ya DP itarekebisha mtaala wa elimu ili kuendana na teknolojia ya sasa. Na Teddy Thomas Chama cha Democratic Paty DP kimesema endapo kitapa ridhaa ya kuiongoza serikali ya Jamhuri ya muungano…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com