Mazingira FM
Mazingira FM
22 January 2026, 17:55
Uwepo wa mfumo huo wa kidigitali umesaidia mambo kadhaa kwa watumishi ikiwemo kupunguza muda wa kufualia maombi ya pensheni. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa watumishi wa umma walioko kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii ya PSSSF kujiunga na mfumo…
22 January 2026, 08:01
Tangu waanzishe program hiyo imeweza kusaidia jumla ya wanafunzi 15668 na wanajamii 6880 Na Mariam Mramba Jumla ya wanafunzi 254 kutoka shule za msingi na sekondari wanaotoka mazingira magumu wamepokea msaada wa vifaa na mahitaji malimbali yenye thamani ya zaidi…
21 January 2026, 17:23
Mara nyingi kwenye mafunzo kama haya wanawake hufika asilimia 90 huku wanaume na vijana huwa ni asilimia 10. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa vijana na akina mama kuchangamkia fursa za kujifunza ujuzi utakaowasaidia kujikwamua kiuchumi. Haya yamesemwa na Sarah…
17 January 2026, 17:11
Hii ikiwa inafikia jumla ya wanafunzi 160 wanaosaidiwa na diwani huyo . Na Adelinus Banenwa Wakati serikali ikiwahimiza wazazi na walezi kuhakikisha Watoto wote waliofaulu kufika shuleni hatakama mahitaji wadau mbalimbali wameendelea kusaidia vifaa vya shule kwa baadhi ya Watoto…
14 January 2026, 08:22
Hata pale mwanafunzi anapofika shuleni bila sare ya shule, walimu hawapaswi kumzuia bali wanapaswa kumpokea mara moja. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mhe. Aswege Enock Kaminyoge, ametoa wito kwa walimu wote wilayani humo kuhakikisha wanawapokea wanafunzi wote…
11 January 2026, 20:44
Na Adelinus Banenwa Mtoto aliyetambulika kwa jina la Noel Makumbate Mashauli (8), mkazi wa Mtaa wa Wisegere, Kata ya Sazira, Halmashauri ya Mji wa Bunda, na mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kilimani, anadaiwa kufariki dunia baada…
8 January 2026, 10:56
Upotevu wa maji kwenye mamlaka ya maji Bunda kwa sasa ni asilimia 31 kati 45 iliyokuwepo awali hali inayopelekea kupoteza zaidi ya shilingi milioni 600 kwa mwaka. Na Adelinus Banenwa Serikali imesema haitaanzisha miradi mingine mipya ya maji hadi pale…
6 January 2026, 21:09
Msaki amesema katika zoezi hilo wanakumbana na changamoto kadhaa ikiwemo watu kutaja makaburi ambapo ukichimba unakuta hamna kitu hivyo kuwepo kwa makaburi hewa. Na Adelinus Banenwa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara imeanza zoezi la uhamishaji wa makaburi ili…
6 January 2026, 10:59
Taarifa iliyotolewa kwa njia ya simu na Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Augustin Magere, chanzo cha moto huo kimebainika kuwa ni sebuleni mwa nyumba hiyo. Na Thomas Masalu, Majanga yameikumba familia moja katika eneo…
2 January 2026, 18:10
Amesema ameona ni vema wakati akifungua mwaka mpya 2026 ashiriki na watoto hao kwa kuwapatia mahitaji mbalimbali kama vile mchele kilo , sukari kilo, juice pamoja na mikate . Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa jamii kuwajali watoto wasiyojiweza na…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com