

8 February 2025, 10:18 pm
Waziri Gwajima ameiagiza mikoa yote inayoongoza kwa ukeketaji nchini kutenga bajeti za kutekeleza afua za kupinga ukeketaji ikiwa ni pamoja na kuwahudumia manusura wa ukatili wa ukeketaji na ukatili mwingine. Na Adelinus Banenwa Waziri wa Maendeleo ya jamii jinsia wanawake…
7 February 2025, 6:25 pm
NMB imetoa jumla ya madawati 200 yenye thamani ya shilingi milioni 20 katiak shule tatu za halmashauri ya wilaya ya Bunda. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Ndugu Salumu Mtelela ameishukuru benki ya NMB kwa misaada Mbalimbali wanayoitoa…
6 February 2025, 8:29 pm
Wananchi watakiwa kulinda miradi ili iweze kudumu na kuhudumia kizazi cha sasa na hata kile kijacho Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni 88 kimeshatumika kati ya shilingi milioni 100 kwenye ujenzi wa Nyumba ya walimu shule ya sekondari Bunda…
3 February 2025, 7:24 pm
Wananchi zaidi ya 2700 wamefikiwa wiki ya sheria wilayani Bunda baada ya kufika katika vituo vilivyokuwa vimeainishwa na wadau wa mahakama. Na Adelinus Banenwa Wananchi zaidi ya 2700 wamefikiwa wiki ya sheria wilayani Bunda baada ya kufika katika vituo vilivyokuwa…
31 January 2025, 4:12 pm
“Kanda ya ziwa inavivutio vingi vya utalii mbavyo ni fursa Katika kutatua tatizo la ukosefu wa ajira nchini” Na Catherine Msafiri, Mkurugenzi wa TECTO community company Bw.Juma Elias Elias ameeleza kuwa Kanda ya ziwa Kuna fursa nyingi zinazowezakupunguza tatizo la…
28 January 2025, 6:39 am
Lengo la mkutano wake na wafanyabiashara ni kukaa na kujadili namna gani ya kushirikiana ili kusonga mbele kwa mwaka huu wa 2025. Na Edward Lucas Wafanyabiashara wilayani Bunda wajadili changamoto zao katika sekta ya mifugo, uvuvi , kilimo pamoja na…
25 January 2025, 8:02 pm
Miongoni mwa maeneo yatakayokuwa yanalengwa zaidi katika wiki hii ya sheria ni pamoja na migogoro ya ardhi, mirathi, ndoa na talaka miongoni mwa maeneo mengine. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya bunda imezindua rasmi leo wiki ya sheria inayoongozwa…
24 January 2025, 6:37 pm
“NMB kama wadau wa maendeleo wanajikita sana katika kusaidia sekta ya elimu ambapo husaidia madawati na vifaa vingine, afya husaidia kwenye vitanda pamoja na vifaa vingine vya kusaidia matibabu, pia husaidia kwenye majanga yanayoipata nchi.” Na Adelinus Banenwa Benki ya…
24 January 2025, 6:03 pm
UWT Bunda mwaka huu wamepanga kufanya shughuli mbalimbali za kijamii katika kuelekea sherehe hizo za miaka 48 ya CCM ambazo ni pamoja na kupanda miti walau 50 kila kata, kufanya usafi katika ofisi za umma, kutembelea makundi ya watu wasiyojiweza…
22 January 2025, 6:00 pm
Hadi sasa amekamatwa mtu mmoja kwa tuhuma hizo za kuharibu makaburi na tayari ameshafikishwa jeshi la polisi. Na Adelinus Banenwa Baadhi ya vyuma vinavyodaiwa kung’olewa kwenye makaburi ya Zanzibar vyakamatwa kwenye godauni la vyuma Chakavu Bunda. Nyabatuli Ndege mwenyekiti wa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com