Mazingira FM
Mazingira FM
14 June 2025, 10:15
Mara nyingine wagonjwa wanaohitaji damu hukosa huduma hiyo kwa wakati kutokana na ucheleweshaji, au mfumo usio wa wazi katika benki ya damu. Na Fabian Ndomi Baadhi ya wakazi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, hasa kutoka kata za Nyamakokoto na…
13 June 2025, 04:07
Mhe. Mtambi ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kupata hati safi na kuwa na hoja chache za ukaguzi ukilinganisha na Halmashauri nyingine za Mkoa wa Mara ambazo zinahoja nyingi. Na Thomas Masalu Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Evans Alfred Mtambi leo…
11 June 2025, 11:27
Kiasi cha shilingi bilion 5.71 kimetolewa na serikali kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa kata ya Bunda stoo katika kipindi cha miaka mitano yaani 2021 na 2025. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi bilion tano milioni miasaba…
9 June 2025, 19:15
Baadhi ya wazee wameitaka serikali iwatambue wazee kwamba wapo, pia iwahudumie hasa katika sera ya matibabu bure kwa wazee maana wakati mwingine hukosa dawa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa wazee wawili (2)hadi watatu…
8 June 2025, 19:12
Alikuwa analinda mazao yake yasiliwe na tembo na ndiyo kawaida yetu maana bila kulinda huwezi kuvuna chochote. Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Kinyunyi Nyakile mkazi wa mtaa wa Ichamu kata ya Kunzugu Halmashauri ya mji wa…
6 June 2025, 19:32
Watu zaidi ya laki moja wakitalajiwa kuudhulia katika kongamano hilo Na Thomas Masalu Chama cha Wafugaji Tanzania kimetangaza kufanyika kwa kongamano maalum la siku mbili litakalofanyika tarehe 15 na 16 Juni mwaka huu, katika viwanja vya nane nane , Nyakabindi…
5 June 2025, 18:15
Jamii yatakiwa kisikiliza vyombo vya habari ili kujifunza masuala mbalimbali kama vile afya, elimu, mazingira n.k Na Adelinus Banenwa Wanafunzi wa kidato cha nne kutoka shule ya Sekondari ya Manyamanyama iliyopo halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wametembelea na…
5 June 2025, 15:35
Mwalimu wa Malezi amesema kuwa msaada huo utasaidia kuinua mahudhurio na morali ya kitaaluma kwa wanafunzi wa kike. Na Taro Michael Mujora Katika kuunga mkono jitihada za kuinua elimu ya mtoto wa kike, Kanisa la PAGT Balili kwa kushirikiana na…
4 June 2025, 10:54
Bunda kuna jumla ya vikundi 31 vya ulinzi shirikishi ambavyo vipo hai na katika maeneo hayo matukio ya uharifu yamepungua kwa kiasi kikubwa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa sehemu zenye vikundi vya ulinzi shirikishi yaani polisi jamii wilayani Bunda matukio…
29 May 2025, 19:54
Kwa mujibu wa muongozo uliopo wakulima wote wa zao la pamba wamesamehewa madeni ya mkopo wa pembejeo. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewaagiza AMCOS kujiepusha na udanganyifu wa kilo za pamba kwa lengo la kukwepa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com