Mazingira FM
Mazingira FM
11 September 2025, 20:57
Utajiri uliopo nchini Tanzania kwa wingi la rasilimali zilizopo yakiwemo madini, mito maziwa na bahari, ardhi yenye rutuba miongoni mwa rasilimali zingine Na Adelinus Banenwa Mgombea urais kupitia chama cha ukombozi wa umma CHAUMA Salumu Mwalimu amesema endapo atachaguliwa katika…
11 September 2025, 20:36
Maadhimisho hayo ya 14 yanatarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 12 hadi Septemba 15, 2025, katika Viwanja vya Mwenge, Wilaya ya Butiama, mkoani Mara. Na Thomas Masalu Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, amewataka wananchi wa Mkoa wa Mara na…
10 September 2025, 07:42
Maandalizi yote ya mtihani huo yamekamilika kwa ufanisi, na kufikia jana mitihani yote ilikuwa tayari imesambazwa katika halmashauri zote za Mkoa wa Mara. Na Adelinus Banenwa Afisa Elimu wa Mkoa wa Mara, Bulenga Makwasa, amesema jumla ya wanafunzi 66,102 kutoka…
9 September 2025, 22:10
Amewasihi wazazi kushirikiana na walimu katika kuhakikisha watoto wanapata maandalizi bora ya mtihani, ikiwa ni pamoja na kuwaandalia mazingira tulivu ya kujisomea na kupumzika. Na Adelinus Banenwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Salumu Mtelela, kwa niaba ya Mkuu wa…
9 September 2025, 20:38
Aretas amesema mtuhumiwa huyo alikuwa akitafutwa kutokana na matendo yake ya kuendelea kuzalisha na kuuza bangi kinyume na sheria. Na Adelinus Banenwa Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini imemkamata Masero Ryoba Muhabe 44 anayetajwa kuwa kinara…
8 September 2025, 10:54
Vijana changamkieni fursa za ajira kupitia urejelezaji wa taka kama plastiki, chuma, vitambaa au nguo zilizoisha na mabaki ya chakula ili kusaidia kupunguza uchafuzi wa mazingira. Na Catherine Msafiri, Tanzania imekuwa na changamoto ya uchafuzi wa mazingira kwa hivi karibuni…
5 September 2025, 06:09
Sababu kuu zinazopelekea udumavu kuwa ni pamoja na lishe duni hasa katika kipindi cha za mwanzo tangu mama anapopata ujauzito hadi mtoto anapotimiza umri wa miaka miwili, Na Therezia Thomas Afisa lishe wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa niaba…
5 September 2025, 06:02
Nitahakikisha nafufua viwananda vya Musoma na kujenga bandari ili kusaidia kupatikana meli kubwa itakayofanya safari zake kati ya Musoma, Kenya na Uganda. Na Adelinus Banenwa Mgombea Ubunge jimbo la Musoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Ndg. John…
5 September 2025, 05:57
Lengo la chama hicho ni kuwajaza wananchi pesa kwa kuimarisha sekta mbalimbali ili kukuza uchumi na kuwawezesha watu kujiingizia kipato. Na Adelinus Banenwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha United Democratic Party (UDP), Saum…
2 September 2025, 19:20
Uongozi wa mkoa unazielekeza halmashauri kuhakikisha wakurugenzi wanatekeleza na kufuatilia kwa ukaribu maagizo hayo katika shule zote ili yasipuuzwe. Na Therezia Thomas Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara, Gerald Kusaya, amepiga marufuku wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com