

11 October 2024, 12:12 pm
Jumla ya wanafunzi 225 wanatarajia kuhitimu kidato cha nne shule ya sekondari Dkt Nchimbi mwaka huu kati ya wanafunzi 380 walioanza kidato cha kwanza mwaka 2021. Kupitia risala yao iliyosomwa mbele ya mgeni rasmi katika mahafali ya 17 ya shule…
9 October 2024, 8:36 am
Katika kipindi cha serikali ya awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan miradi iliyotekelezwa ni pamoja na ujenzi wa zahanati mpya tatu, vyumba vya madarasa vya kutosha shule ya sekondari sazira, mradi wa maji wa Misisi Zanzibar pamoja na…
5 October 2024, 10:58 am
Kipindi cha nyuma jamii nyingi za mkoa wa Mara hazikutoa kipaumbele kwa mtoto wa kike kwenda shule wakitegemea ataolewa. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewahimiza wazazi na walezi wilayani Bunda kuwasomesha watoto…
3 October 2024, 7:38 pm
TANAPA wamesaidia kwa kiasi kikubwa katika shughuli za maendeleo katika jamii ikiwemo utengenezaji madawati, ujenzi wa zahanati, madarasa miongoni mwa kazi zingine. Na Adelinus Banenwa TANAPA Kanda ya Magharibi itoa refractor 1000 kwa waendesaha pikipiki maarufu bodaboda wilayani Bunda. Akikabidhi…
3 October 2024, 4:36 pm
Changamoto yoyote ya matengenezo ya mtandao wa maji kwenda kwa mteja wa BUWSSA kabla ya Mita ni jukumu hilo ni kazi ya BUWSSA na matengenezo ya mteja yanahusu tu baada ya mita ya maji kwenda kwa mteja. Na Adelinus Banenwa…
27 September 2024, 1:20 pm
Msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya wilaya ya Bunda George Stanley Mbilinyi, Picha na Adelinus Banenwa Kwa mujibu wa kifungu cha 57 cha sheria ya serikali za mitaa sura ya 287 na kifungu cha 16 cha serikali za mitaa sura 288…
22 September 2024, 11:30 pm
Serikali inategemea sana mapato ya watalii ili kufanya shughuli za maendeleo na miongoni mwa wanyama pendwa kwa watalii ni pamoja na faru. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala Wilaya ya Serengeti Angelina Marco amewapongeza Maafisa na askari wa uhifadhi kwa kuhakikisha…
22 September 2024, 11:24 am
kwa mujibu wa sheria ya TAKUKURU namba 11 ya mwaka 2007 marejeo mwaka 2022, kugushi nyaraka kwa lengo la kumdanganya muajiri, kumiliki mali zisizoelezeka, matumizi mabaya ya madaraka, kujifanya ofisa wa TAKUKURU ni miongoni mwa makosa yaliyotajwa katika vifungu vya…
20 September 2024, 7:08 pm
Eneo hili liliitwa Zanzibar kutokana na kukosa huduma za muhimu kama vile maji, umeme pamoja na barabara. Na Adelinus Banenwa Wakazi wa mtaa wa Zanzibar kata ya Nyasura halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wameishukuru serikali kupitia Diwani wa…
19 September 2024, 8:52 pm
dalili kwa mama mwenye fistula ya uzazi ambapo ni pamoja na kutokwa na aja ndogo au kubwa kwa mfululizo bila kuwa na uwezo wa kujizuia, kutokwa na harufu mbaya ya mkojo au kinyesi miongoni mwa dalili zingine. Na Adelinus Banenwa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com