Mazingira FM
Mazingira FM
17 August 2025, 11:18 am
Viongozi na wanufaika wa msaada huo kuhakikisha vifaa hivyo vinatuzwa ili viweze kudumu kwa muda mrefu. Na Adelinus Banenwa Jumla ya jozi tano za jezi, viatu vya michezo jozi 12 na mipira 18 vimetolewa kwa vijana wa kata ya Namuhula…
13 August 2025, 7:28 pm
Mapokezi ya mwenge huo ni shule ya msingi Balili Augost 15 2025 Asubuhi. Na Adelinus Banenwa Jumla ya miradi yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 3.5 inatarajiwa kutembelewa na mwenge wa uhuru kitaifa mwaka 2025 kwa halmashauri ya mji…
13 August 2025, 7:20 pm
Kwa wilaya ya Musoma mapokezi ni tarehe 16 katika kijiji cha Kabulabula halmashauri ya wilaya ya Musoma. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe Juma Chikoka ameomba wakazi wote wa wilaya ya Musoma kujitokeza kwa wingi katika mapokezi…
13 August 2025, 7:12 pm
Miradi itakayotekelezwa ni pamoja na ujenzi wa barabara za Mkendo, Shaabani na Musoma–Saanane, Ujenzi wa Soko Kuu la Nyasho na Kituo cha Mabasi cha Bweri. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe Juma Chikoka amemshukuru Rais wa Jamhuri…
13 August 2025, 7:07 pm
Mazingira ya dereva kukimbia eneo la tukio la ajali linashauriwa endapo mazingira ya usalama wake yatakuwa ni hatari na si vinginevyo. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa kwa mujibu wa sheria ya usalama barabarani kifungu cha 68 kinamtaka dereva aliyesababisha ajali…
10 August 2025, 3:20 pm
“Ukiwa mdau wa maendeleo na ukatoa mchango unaoigusa jamii moja kwa moja basi na wewe mungu anazidi kukubariki” Na Taro Michael Mujora Wadau mbalimbali wametakiwa kushirikiana kwa karibu na jamii katika kugusa mahitaji ya watu wenye uhitaji, hususan kupitia taasisi…
8 August 2025, 11:54 am
Msaada huo umetolewa kwa lengo la kuhakikisha watoto hao wanapata huduma za afya kwa urahisi na usalama. Na Taro Michael Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na waendesha baiskeli wa twende Butiama wametoa msaada wa kadi za bima ya afya kwa…
7 August 2025, 11:57 am
Kangi Lugola ampiku Kajege kura za maoni Mwibara huku Boni Getere aking’ara jimbo la Bunda Na Adelinus Banenwa Ni waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wa zamani Kangi Lugola ameongoza kura za maoni za chama cha mapinduzi kwa jimbo…
5 August 2025, 6:19 am
Mkurugenzi wa uchaguzi CCM Wilaya ya Bunda Michael Chonya amesema kuwa Maboto amepata jumla ya kura 2,545, Na Edward Lucas Ni mbunge anayetetea nafasi yake Robert Maboto amewashinda Esther Bulaya na Kambarage Wasira kura za maoni Bunda Mjini Robert Chacha…
4 August 2025, 6:22 pm
kiapo walichokiapa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi mbele ya Mhe hakimu wa mahakama ya Mwanzo Oscar Lyimo ni kujiondoa kuwa mfuasi wa chama chochote cha siasa na pili ni kiapo cha kutunza siri Na Adelinus Banenwa Jumla ya wasimamizi wasaidizi wa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com