Mazingira FM
Mazingira FM
16 June 2022, 5:08 pm
*IRINGA* Mtandao wa redio za kijamii Tanzania TADIO kwa kushirikiana na ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS wamefanya mafunzo kwa wahariri wa vyombo vya habari vya kijamii nchini kwa lengo la kuwawezesha kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa zoezi…
28 April 2022, 1:18 pm
Mahakama ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imemuhukumu kifungo cha miaka 2 gerezani na fidia ya sh. Laki tatu ndugu Maisha Ngoko maarufu kwa jina la Kishosha Ngoko 31 mkazi wa kijiji cha Kihumbu kwa kosa la kumjeruhi kwa kumkata…
28 April 2022, 1:10 pm
Kampuni ya Grumeti Fund wameshiriki zoezi la anwani za makazi kwa kuchangia kuto vibao vya anwani za makazi 31 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi million mbili Akizungumza katika makabidhiano hayo mwakirishi wa kampuni ya Grumeti Fund, Davidi Mwakipesile amesema…
26 April 2022, 7:24 pm
Machimbo ya kokoto Manyamanyama Mwanamume mmoja aliyetambulika kwa jina la James Mathias 40 mkazi wa Manyamanyama Halmashauri ya Mji wa Bunda amepoteza Maisha akitajwa kufukiwa na kifusi wakati akichimba kokoto kwenye machimbo ya kokoto Manyamanyama. Wakizungumza na Mazingira Fm mashuhuda…
25 April 2022, 9:07 am
Choo cha Mcharo iliyosababisha Zahanati kufugwa
21 April 2022, 5:37 pm
Ally Hashimu Hakimu ameibuka mshindi kwenye mashindano ya kutunza Quran tukufu wilaya ya Bunda mashindano hayop yamefanyika leo April 16, 2022 katika msikiti wa Ijumaa Bunda mjini ambayo yameandaliwa na Kamati ya Kukuza na Kueneza Uislamu Bunda huku mgeni…
15 March 2022, 5:27 pm
Balozi wa Pamba nchini Tanzania Mh Agrey Mwanri amesema wakulima wa Pamba wamekuwa na malalamiko kuhusu upungufu wa Dawa kutokana na maeneo ya mashamba yao kutokuwa na vipimo sahihi Kauli hiyo ameitoa Leo 15 march 2022 katika siku ya tatu…
14 March 2022, 6:23 pm
Balozi wa Pamba Tanzania Mh Agrey Mwanri amesema mwitikio wa wakulima wa zao la Pamba Wilayani Bunda wa kulima kwa mstari umekuwa mkubwa tofauti na ilivyokuwa zamani ambapo wakulima walikuwa wanalima kwa kulusha mbegu Hayo ameyasema Leo 14 march 2022…
13 March 2022, 10:32 pm
Balozi wa Pamba nchini Tanzania Mh Agrey Mwanri ametoa wiki Moja kwa watu wote waliochukua viuatilifu vya zao la Pamba bila kuwa na mashamba kuweza kujisalimisha kwa viongozi wa zao la Pamba ngazi ya kata na WilayaAmetoa agizo hilo Leo…
10 March 2022, 8:20 pm
Zaidi ya Bilion 3.4 zimetolewa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Bunda katika utekelezaji wa Mpango wa mabadiliko ya tabia ya nchi Akizungumza katika mafunzo maalumu ya usimamizi wa fedha za miradi yaliyofanyika Leo march 10, 2022 kwa Madiwani na wataalamu…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com