Mazingira FM
Mazingira FM
16 December 2022, 07:52
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini amewataka maderava wa magari ya abiria na binafsi kuongeza umakini barabarani hasa wakati huu wa kuelekea sikukuu za Krismasi na mwaka mpya ili kuepuka ajali zisizokuwa za lazima. Kauli hiyo…
14 December 2022, 18:50
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bi. Adelina Mfikwa Leo tarehe 13.12.2022 amefungua mafunzo ya siku mbili ya Risk Management kwa wafanyakazi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kutoka katika kila Idara na Vitengo. Bi. Adelina amewataka Watumishi…
7 December 2022, 20:11
Ushirikiano hafifu wa jamii na kuwa mbali na vyombo vya dola kama kituo cha polisi ni moja kati ya changamoto zinazokwamisha juhudi za kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia katika kata ya Nyambureti Wilaya ya Serengeti mkoani Mara.…
2 December 2022, 12:44
Wakazi wa Mgayangobo mtaa wa Miembeni kata ya Bunda Stoo mjini Bunda wamewashukuru viongozi wa kata hiyo kwa kutatua changamoto ya kivuko katika eneo hilo Wakizungumza na Mazingira Fm wakazi hao wamesema imekuwa changamoto kubwa wakati wa kuvuka hasa kwa…
2 December 2022, 12:26
Mahakama ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imewahukumu kulipa faini ya shilingi laki tatu au kwenda jela miaka mitatu Mwenge Maseke (29) mkazi wa bunda mjini na Guya Saimon Isabuke (41) mkazi wa Bunda stoo (ambaye hakuwepo mahakamani) kwa kosa…
30 November 2022, 07:29
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Meja Jenerali Suleiman Mzee amewaondoka kwenye kikao cha Bodi ya Barabara ya Mkoa huo makatibu wa wabunge ambao waliwawakilisha wabunge kwa maelezo kuwa makatibu hao siyo wajumbe halali wa kikao hicho huku akidai wabunge wengi…
29 November 2022, 12:37
Mahakama ya wilaya ya Bunda imemuhukumu kifungo cha maisha jela na faini ya shilingi milioni moja Steven Mwita 52 mkazi wa mtaa wa Kinyabwiga kata ya Guta halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara kwa kosa la kubaka. Hukumu hiyo…
28 November 2022, 22:22
Naibu waziri wa TAMISEMI mh. David Silinde amesema kuwa serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassani imedhamiria kuboresha miundombinu ya elimu shule ya msingi na ekondari ili wanafunzi waweze kufurahia mazingira ya Shule. Ametoa taarifa hiyo…
28 November 2022, 22:16
Naibu waziri wa TAMISEMI mh. David Silinde amemtaka mkuu wa wilaya ya Bunda Joshua Nassari kusimamia na kuhakikisha ujenzi wa madarasa unaoendelea katika shule mbalimbali ndani ya wilaya unakamilika kwa wakati ili mwezi wa kwanza wanafunzi watumie madarasa hayo.…
27 November 2022, 14:32
Gunje malemi Gunje 15 mkazi wa Kunzugu kata ya Kunzugu Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi kunzugu ameshikwa mamba wakati akinywesha mifugo mto Rubana. Akizungumza na Mazingira fm baba mzazi wa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com