Mazingira FM
Mazingira FM
22 January 2023, 21:10
Wito umetolewa kwenye jamii kuwahudumia watoto yatima na wanaoishi katika Mazingira magumu kwa kuwa hawakutaka kuwa hivyo Hayo yamesemwa na Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto wakati wa harambee ya kutafuta fedha ya ununuzi wa kiwanja…
19 January 2023, 07:08
Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Bunda ikiongozwa na mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bunda Ndugu Ibrahim Magesse Mayaya imefanya ziara ya ukaguzi wa utekelezaji wa ilani ya Cha hicho ndani ya Jimbo la Bunda Mjini.…
18 January 2023, 08:01
Katibu tawala wilaya ya bunda mhe Salum Halfan Mterela amewataka AMCOS wilayani Bunda kuzingatia uadilifu na maadili katika kazi yao ili kulinda viapo vyao. Hayo ameyasema wakati wa uapisho wa viongozi wa AMCOS wilaya ya Bunda ambapo…
15 January 2023, 17:53
Mbunge Wa Jimbo La Bunda Mjini Mhe. Chacha Robart Maboto amefanya Mkutano Na Viongozi Wa Chama Cha Mapinduzi Wenyeviti Wa Kata,Makatibu Kata, Wenezi Kata Pamoja Na Madiwani Viti Maalum Kupitia Kata Zote 14 Zinazounda Jimbo La Bunda Mjini. Mkutano Huo…
15 January 2023, 17:32
Mbunge wa jimbo la Bunda mh. Bonphace Mwita Getere amewapongeza wanakijiji cha Nyaburundu kata ya Ketare kwa nia njema waliyoonesha ya kujega Shule ya Sekondari katika kijiji hicho. Mh. Getere ameyasema hayo katika ziara yake jimboni wakati akiongea na wananchi…
11 January 2023, 19:01
Mkuu wa mkoa wa mara, meja jenerali suleiman mzee ameliomba jeshi la wananchi tanzania kuchangamkia fursa mbalimbali za kiuchumi zilizomo mkoani humo ikiwemo kilimo cha umwagiliaji. Meja jenerali ametoa ombi hilo wakati wa mapokezi ya mkuu wa majeshi, jenerali…
10 January 2023, 17:10
Zaidi ya shilingi million 4 laki 1 na 35 elfu zimetolewa na mbunge wa jimbo la Bunda Mjini Mhe Robert Chacha Mabotto kwa wanafunzi 64 kwa ajili ya mahitaji yao ya shule. Akizungumza kwa niaba ya mbunge wakati wa…
9 January 2023, 21:43
Wazazi na walezi kata ya Nyamakokoto katika Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wametakiwa kuwapeleka watoto wao shule na ambao hawatafanya hivyo watakamatwa. Hayo yamebainishwa leo na Diwani wa kata ya Nyamakokoto Mhe, Emmanuel Malibwa wakati akizungumza na…
5 January 2023, 08:54
Serikali imetangaza adhima yake kuhusu kulitwaa eneo la kata ya Nyatwali lililopo katika Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara kuwa sehemu ya hifadhi ya taifa ya Serengeti Kamati ya mawaziri nane wa kisekta wakiongozwa na mwenyekiti wao ambaye pia…
1 January 2023, 19:16
Jumla ya madaftari 806, kalamu 150 na box mbili za pensel vimetolewa kwa wanafunzi 275 wa ngazi tofauti wanaotalajiwa kuanza muhula wa masomo hivi karibuni Vifaa hivyo vya shule vimetolewa na mchungaji kiongonzi wa kanisa la Revival Buptst Nyasura…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com