Mazingira FM
Mazingira FM
9 September 2022, 12:39 pm
Baraza la madiwani halmashauli ya mji wa bunda limefanya kikao chake cha robo ya nne ya mwaka mbapo madiwani wameitaka halmashauri kuwashirikisha katika miradi ya maendeleo na kiwango cha fedha kinachotumika kutekeleza miradi hiyo Wakizungumza katika kikao hicho kilichofanyika katika…
9 September 2022, 12:25 pm
Tume ya Madini Mkoani Mara imesema tatizo la usalama wa wachimbaji wadogo wa Madini kutozingatiwa umesababisa mamlaka hiyo kufunga Baadhi ya Migodi ndani ya mkoa wa Mara Hayo yamesemwa na Joseph Kumbulu afisa Madini Mkoa wa Mara wakati akizungumza Mazingira…
2 September 2022, 9:07 am
Mtu mmoja ambaye ni dereva bodaboda aliyetambulika kwa jina la ISSA SAGUDA (22) mkazi wa Rubana kata ya Balili, Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara amekutwa amepoteza Maisha kwa kukatwa na kitu Chenye Ncha Kali shingoni na tumboni…
24 August 2022, 8:46 pm
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Joshua Nassar amekamata mapipa 32 ya lami yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 30 za kitanzania katika eneo la kiloleli nyamanguta Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Akiwa kituo Cha polisi Bunda Mhe Nassar…
24 August 2022, 8:40 pm
Mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya maji Bunda eng maisha amewataka wakazi wa Mji wa Bunda kuacha kuhujumu miundombinu ya maji ili kuebusha hasara kwa mamlaka na serikali Akizungumza na redio Mazingira Fm ofisini kwake eng maisha amesema matukio ya…
24 August 2022, 8:27 pm
Wakazi wa Mcharo halmashauri ya mji wa Bunda waendelea kulia na changamoto ya upatikanaji wa maji huku wakipoteza matumaini ya kukamilika kwa mradi wa maji katika eneo hilo ambao ulianza kuweka matumaini makubwa. Wakizungumza na Radio Mazingira Fm iliyofika…
23 August 2022, 7:32 am
Mbunge Jimbo la bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewahimiza wakazi wa Jimbo la Bunda Mjini kushiriki Sensa ya watu na makazi kikamilifu Akizungumza na redio Mazingira Fm Mhe Maboto amesema lengo kuu la sensa ya watu na makazi ni…
18 August 2022, 10:34 am
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Suleimani Mzee amefanya ziara katika Wilaya ya Bunda inayojumuisha Halmashauri 2 na majimbo matatu Akimkaribisha katika ziara hiyo mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh Joshua Nassar amesema kwa Wilaya ya Bunda kuna mafanikio mengi…
18 August 2022, 6:06 am
Viongozi wa dini,Vyama vya Siasa,Wazee wa mila na waandishi wa habari wameombwa kuunganisha nguvu na taasisi za Serikali kuhamasisha masuala ya Sensa ili watu wote waweze kujitokeza kuhesabiwa. Akitoa hamasa kwa makundi hayo Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali…
26 July 2022, 8:17 pm
Wakufunzi wa Sensa ngazi ya mkoa wa Mara wametakiwa kwenda kusisitiza suala la nidhamu kwa makarani watakaosimamia zoezi hilo. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa mkoa wa Mara,Ally Hapi,wakati akifunga mafunzo ya siku 21 kwa wakufunzi 296 wa ngazi…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com