Mazingira FM

Recent posts

23 November 2025, 19:51

Kisangwa yafanya mahafali ya 41, tatizo la maji kutatuliwa

Mamlaka hiyo ya maji inakwenda kutatua changamoto kubwa ya maji inayokabili chuo hicho na jamii ya wakazi wa kisangwa kwa muda mrefu. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni moja na laki nane kimepatikana katika mahafali ya 41 chuo cha…

20 November 2025, 19:55

TMDA: Ukipewa dozi ya dawa maliza kuepuka UVIDA

Usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa UVIDA una athari nyingi ambapo ni pamoja na gharama kubwa ya matibabu, hatari ya ugonjwa wa figo n.k Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa jamii kuhakikisha wanamaliza dozi za dawa wanazokuwa wamepewa…

18 November 2025, 21:06

Msaada wa CRDB waacha kicheko Manchimweru sekondari

Umekuwa ni utaratibu wa Bank hiyo kutenga asilimia moja ya faida yao kwa mwaka kuirejesha katika kusaidia jamii katika huduma mbalimbali za kijamii kama vile afya na elimu. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa umbali kutoka nyumbani hadi shule ilikuwa ikipelekea…

18 November 2025, 12:54

Lishe duni kwa mjamzito kichocheo cha kuzaliwa mtoto njiti

Rehema Kapile  afisa lishe makundi yote sita ya vyakula ni rahisi kupata na hata kwa jamii zenye uchumi wa chini hivyo wajawazito watumie ili kuepukana na athari zinazoweza kutokea akiwa na lishe duni. Na Catherine Msafiri, Ukosefu wa lishe bora kwa…

14 November 2025, 19:04

Wadau shirikiana na serikali kuhamasisha kilimo misitu

Katika ujumbe wake kwenye ufunguzi wa maonesho hayo ya siku tatu ameelekeza mambo manne kwa wadau, mambo hayo ni pamoja na wadau wa kilimo misitu washirikiane na serikali ili kutekeleza mikakati ya kitaifa na kimataifa hasa mkakati wa kilimo misitu.…

14 November 2025, 18:53

Bunda DC inavyoshiriki kutoa elimu ya kilimo misitu

Elimu inaendelea kutolewa kwa wakulima kupitia vikundi na wanatoa uwezeshaji hasa kwa vikundi, vya vijana ,akinamama pamoja na wenye ulemavu kupitia fedha za asilimia kumi mapato ya halmashauri. Na Adelinus Banenwa Afisa kilimo halmashauri ya wilaya ya Bunda Ndugu Johanes…

14 November 2025, 13:00

Wagonjwa wapya wa shinikizo la damu wabainika

Dr. Victor Christopher hospitari ya rufaa ya kumbukumbu ya mwalimu Nyerere inapokea wagonjwa wengi wapya kwa mwezi takribani 2500 hadi 3000. Na Catherine Msafiri, Imeelezwa kuwa uzito mkubwa, unywaji wa pombe kupita kiasi, ulaji wa chumvi nyingi vyatajwa kuwa miongoni…

14 November 2025, 12:19

Jamii yahimizwa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Afisa Kilimo, Elton Dickson Mtani, jamii inapaswa kupunguza matumizi ya mbolea za viwandani, kuacha ukataji miti hovyo na kuepuka uharibifu wa vyanzo vya maji, ili kulinda mazingira. Na Catherine Msafiri, Jamii imetakiwa kutunza mazingira na kupunguza shughuli za kibinadamu zinazochangia…

27 October 2025, 20:53

DC Kaminyoge: “ukimaliza kupiga kura rudi nyumbani”

Wananchi baada ya kupiga kura wanarejea majumbani mwao kwa utulivu, ili kuepusha mikusanyiko isiyo ya lazima katika maeneo ya vituo vya kupigia kura. Na Thomas Masalu Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mhe. Aswege Enock Kaminyoge, amewatoa hofu wananchi wa wilaya…

27 October 2025, 20:37

OCD Butiama: Wananchi achana na propaganda za kulinda kura

Mwenye jukumu la kulinda raia na mali zake kwa mujibu wa ni jeshi la polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Butiama kujitokeza kwa wingi siku ya tarehe 29 oct 2025…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com