Mazingira FM

Recent posts

10 December 2024, 6:16 pm

Nance: Wenyeviti shirikianeni na watendaji kuleta maendeleo

Kwa sasa makundi hayana tija badala yake wenyeviti wanatakiwa kuungana na viongozi wengine wakiwemo watendaji ili kuleta maendeleo katika eneo husika ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero mbalibali za wananchi kupitia mikutano ya hadhara ,kukemea vitendo vya  ukatili wa kijinsia…

10 December 2024, 10:30 am

Waziri Gwajima: Tumieni lugha ya wazi kueleza madhara ya ukeketaji

Mwaka 2024 matukuo yaliyoripotiwa 1099 ukilinganisha na matukio 1163 sawa kupungua kwa matukio 64 ambayo ni sawa na asilimia 5.8 Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa sheria mahsusi inayopinga vitendo vya ukeketaji, ukosefu wa nyumba salama za serikali na…

7 December 2024, 10:48 pm

Mbunge Maboto Mradi wa TACTIC kuwa neema Bunda

Mradi wa uendelezaji miji TACTICS kwa mji wa Bunda utakapoanza utasaidia barabara nyinyi za bunda mjini Kupata lami. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amesema mradi wa uendelezaji miji TACTICS kwa mji wa…

6 December 2024, 8:33 pm

Uhuru wa kujieleza na haki za wanawake

Changamoto za wanawake kutoaminiana na jamii kushindwa kumuamini mwanamke bado ni kikwazo kwa wanawake wengi kushindwa kupata nafasi ya kujieleza kikamilifu kwenye jamii Hayo yameelezwa na Rebecca Gibore katika kipindi cha radio mazingira fm kilichokuwa bna mada isemayo uhuru wa…

5 December 2024, 10:26 am

Mbunge Maboto atangaza kuwania tena ubunge uchaguzi mkuu 2025

Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto atangaza nia yake ya kugombea tena  nafasi ya Ubunge wa jimbo la bunda mjini uchaguzi mkuu wa 2025. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha…

5 December 2024, 10:15 am

Mradi wa maji Wariku wa bilioni 1.6 watambulishwa rasmi

BUWSSA kutumia miezi sita kukamilisha ujenzi wa mradi wa maji wa bilioni 1.6 kata ya Wariku mkurugenzi atoa tahadhari ya wizi wa vifaa. Na Adelinus Banenwa Mamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira Bunda BUWSSA imetangaza kuanza kutekeleza mradi…

5 December 2024, 9:53 am

‘Hoja za wenye ulemavu zisikilizwe’

Katiba ya Tanzania imetoa uhuru wa watu kujieleza lakini changamoto kubwa kwa watu wenye ulemavu ni hoja zao na mawazo yao kutopewa nguvu katika jamii. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa mapokeo hafifu ya hoja zinazotolewa na watu wenye ulemavu ni…

27 November 2024, 5:23 pm

Wapiga kura Bunda mjini walalamika majina kutoonekana vizuri

“Utaratibu ni mzuri ila changamoto kubwa ni majina hayaonekani vizuri hayajapangwa kwa kufuata mtililiko wa herufi” Na Adelinus Banenwa Wananchi walioteremka vituoni lei kupiga kura kutimiza haki yao ya msingi ya kuwachagua viongozi wa serikali za mtaa katika eneo la…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com