Mazingira FM
Mazingira FM
26 September 2025, 1:02 pm
Katika uchaguzi huu hakuna kupita bila kupingwa kwa kuwa sheria inaelekeza kura ya ndiyo na hapana kwa mgombea ambaye iwe ni jimbo au kata hana mpinzani. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kutumia haki yao ya kikatiba kuhakikisha wanapiga…
25 September 2025, 11:31 pm
Katibu wa NEC Uchumi na Fedha wa CCM Taifa, Ndg. Joshua Chacha Mirumbe awaomba wananchi kumuunga mkono Dkt. Samia kwa kura, pamoja na mgombea mwenza Dkt. Emmanuel Nchimbi, mgombea ubunge Ndg. Boniphace Getere na wagombea udiwani wa CCM. Na Thomas…
25 September 2025, 9:40 am
Ilani ya mkoa ya mkoa wa Mara imegusia mambo yote muhimu ikiwemo, afya, maji na miundombinu mingine. Na Thomas Masalu Katibu wa NEC wa Uchumi na Fedha wa CCM Taifa, Ndg. Joshua Chacha Mirumbe, amewakumbusha wanachama wa Chama Cha Mapinduzi…
24 September 2025, 5:32 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kwenye mikutano ya kampeni ya wagombea ili kusikiliza sera zao Na Adelinu Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kujitokeza kwenye mikutano ya kampeni ya wagombea ili kusikiliza sera zao zitakazowawezesha kuchagua viongozi bora. Hayo yamesemwa leo tarehe 24…
24 September 2025, 11:49 am
Ndugu Joshua Chacha Mirumbe asema CCM imedhamiria kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli kupitia utekelezaji wa miradi ya kimkakati kwenye sekta za kilimo, elimu, afya, miundombinu na ajira kwa vijana. Na Thomas Masalu Katibu wa NEC Uchumi na Fedha wa CCM,…
24 September 2025, 11:37 am
Ndg.Mirumbe Katibu wa NEC Uchumi na Fedha wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa amesema October 29 mwaka huu, wananchi wakampigie kura Daktari Samia Suluhu Hassan pamoja na Mgombea Ubunge Mwita Waitara na Wagombea udiwani wote wa CCM. Na Thomas Masalu…
24 September 2025, 11:02 am
Katibu wa NEC wa Uchumi na Fedha wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa,Ndg.Joshua Mirumbe awaeleza wananchi kuhusu dhamira ya chama katika kuwaletea maendeleo endelevu na kueleza kwa kina sababu za CCM kumteua Ndg. Waitara kugombea Ubunge katika jimbo hilo. Na…
23 September 2025, 8:04 pm
Mgombea udiwani kupitia chama cha Mapinduzi CCM kata ya Balili Thomas Tamka Chikongoe amuomba mgombea ubunge wa CCM jimbo la Bunda kuhakikisha atakapo apishwa kuwa mbunge asaidie kujenga ofisi za TANAPA,kuongeza taa za barabarani na kukamilisha ujenzi wa zahanati Na…
23 September 2025, 11:26 am
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
22 September 2025, 7:54 pm
Ester Bulaya ameeleza dhamira yake ya kuendeleza utaratibu ulioanzishwa na mtangulizi wake, RobartChacha Maboto, wa kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu kupata elimu Na Catherine Msafiri, Mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ester Amos…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com