

22 January 2025, 1:05 pm
Vitambulisho elfu 12 ni kati ya vitambulisho 62,370 vilivyoletwa Bunda. Na Adelinus Banenwa Afisa usajili mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA wilaya Bunda Fredson John Samwel amesema zaidi ya vitambulisho elfu 12, vimerejeshwa ofisi za NIDA wilaya kutoka kwenye ofisi…
22 January 2025, 9:49 am
Makaburi yenye vigae ( marumaru ) na mikanda ( strips) ndiyo yanaonekana kulengwa zaidi. Na Adelinus Banenwa Katika hali isiyo ya kawaida zaidi ya makaburi 50 yaliyopo mtaa wa Zanzibar kata ya Nyasura Halmashauri ya mji wa Bunda yamevunjwa na…
20 January 2025, 8:59 am
Mwenyekiti Hamis Said Madoro “Amekutwa na majeraha katika maeneo mbalimbali mwilini mwake na amefariki wakati anapelekwa kwenye huduma za matibabu” Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Akinyo Kumu (39) mkazi wa kijiji cha Nyaburundu kata Ketare halmashauri…
11 January 2025, 7:36 am
Zaidi ya shilingi milioni 38 zatumiwa na mbunge wa Bunda mjini Mhe Robert Maboto kwa kuwanunulia vifaa vya shule wanafunzi zaidi ya 500 Na Adelinus Banenwa Zaidi ya shilingi milioni 38 zimetumiwa na mbunge wa Bunda mjini kuwanunulia vifaa vya…
10 January 2025, 10:59 am
Wasimamizi na mafundi kuwa mbali na eneo la mradi, ushiriki mdogo wa wananchi, ubovu wa barabara kati ya Mekomariro senta hadi kitongoji cha Nyansirori, chanzo cha kusuasua kwa ujenzi wa shule mpya ya msingi. Na Mariam Mramba Imeelezwa kuwa ushiriki…
8 January 2025, 7:03 pm
Milioni 584.2 zimetolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari ya Amali katika kijiji cha Manchimweru Na Mariam Mramba Zaidi ya shilingi milioni 584.2 zimetolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari ya Amali…
6 January 2025, 7:23 pm
Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Bunda kwa kushirikiana na ofisi ya mbunge jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto imetoa mkono wa pole wa shilingi laki tano 500,000 kwa waathirika wa kuunguliwa na nyumba kata ya Bunda stoo…
2 January 2025, 9:08 pm
Zaidi ya watu 20 katika mtaa wa miembeni kata ya Bunda stoo halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wamenusurika kifo baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto. Na Adelinus Banenwa Zaidi ya watu 20 katika mtaa wa miembeni kata…
31 December 2024, 7:45 pm
“Changamoto ya ukata ndani ya jumuiya ya wazazi ndiyo imepelekea kubuniwa mradi wa kiuchumi kusaidia jumuiya hii kujiendesha” Lucy John Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa kamati ya fedha na mipango chama cha mapunduzi wilaya ya Bunda Ndugu Kambarage Masatu Wasira…
31 December 2024, 7:18 pm
Kulipa mikopo kwa wakati na kubaki na mipango iliyopelekea kuomba mkopo kitasaidia vikundi vilivyokopa kupata manufaa na fedha za halmashauri. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni 187.4 zimetolewa na halmashauri ya wilaya ya Bunda kwa vikundi vya wanawake, vijana…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com