Mazingira FM
Mazingira FM
28 December 2025, 20:31
Upande wa madereva Kamanda Magere amesema wasikubali kupita juu ya madaraja au karvati ambalo limefunikwa na maji kwa kuwa ni ngumu kujua hali ya usalama wa eneo husika , pia ametoa rai kwa wazazi na walezi kuhakikisha watoto hawachezei kwenye…
24 December 2025, 20:05
Afisa kilimo Elton Dickison Mtani wakulima tumieni mbolea ya samadi ina faida kubwa kwenye kurutubisha udogo mashambani. Na Catherine Msafiri, Wakulima wamepewa somo matumizi ya mbolea ya samadi ili kutunza unyevuunyevu kwenye udongo kuepuka athari za mabadiliko ya tabianchi. Elimu…
23 December 2025, 16:10
Josephine wamepokea kwa moyo wa shukrani hati hiyo na imekuwa ni desturi yao kuhakikisha wanalipa kodi vizuri. Na Adelinus Banenwa Mamlaka ya mapato Tanzania TRA Mkoa wa Mara wamekabidhi hati ya pongezi kwa Maboto Microfinence kwa kuwa mlipakodi bora kwa…
23 December 2025, 12:08
Ruth Kisinga afisa msaidizi wa kodi TRA dawati maalumu la uwezeshaji biashara lina umuhimu mkubwa na msaada unatolewa bure kwa wafanyabishara wote nchini. Na Catherine Msafiri,Wafanyabishara wamekumbushwa kulipa kodi awamu ya nne bila kuchelewa ili kuepuka gharama za faini na…
13 December 2025, 20:45
Ujenzi huo utahusisha vyumba vya madarasa 6, jengo la utawala, vyoo matundu 18, Pamoja na vyumba viwili vya madarasa vya elimu ya awali. Na Adelinus Banenwa Kutokana na msongamano wa wanafunzi shule ya msingi Nyasura iliyopo kata ya Nyasura mjini…
13 December 2025, 15:11
Afisa lishe mkoa wa Mara Bi.Grace Martine mkoa wa Mara kuna 23.4% ya udumavu kwa Watoto,watoto wakipata vitamini A na dawa za minyoo vifo vya watoto vitapungua kwa 24% Na Catherine Msafiri , Wazazi wameaswa kuhakikisha wanawapeleka watoto wao wenye…
13 December 2025, 14:38
Jamii yatakiwa kuzingatia malezi kwa watoto kuanzia ngazi ya familia badala ya wazazi kuwa bize na kazi, pia kufuata sheria ili kuepukana na ukatili wa kijinsia. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa hali ya ukatili wa kutelekezwa bado ni changamoto kubwa…
13 December 2025, 13:49
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
13 December 2025, 13:44
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
13 December 2025, 13:27
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com