Mazingira FM
Mazingira FM
3 October 2025, 12:25 pm
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
30 September 2025, 6:59 pm
Watu watano wamenusurika kifo baada ya tembo kushambulia nyumba waliyokuwemo. Na Adelinus Banenwa Ni katika mtaa wa Tairo uliopo kata ya Guta halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara ambapo nyumba ya mzee Juma Sarya kushambuliwa na tembo ikiezua mabati…
30 September 2025, 1:28 pm
Halmashauri ya wilaya ya Rorya kinara tatizo la ugonjwa wa selimundu (Sickle cell) kwa asilimia kubwa ikiwa na wagonjwa 1500 kati ya wagonjwa 5037 kwa mkoa wa Mara. Na Catherine Msafiri Imeelezwa kuwa Halmashauri ya wilaya ya Rorya ndio kinara…
30 September 2025, 12:12 pm
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) yasema wanaomiliki nyara kama pembe, na mikia ya wanyamapori bila vibali , ni kinyume na sheria za uhifadhi . Na Catherine Msafiri, Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imewataka wananchi kuhakikisha wanamiliki…
29 September 2025, 4:34 pm
Katika mjadala tumechambua changamoto, mitazamo ya kijamii na nafasi halisi, tukitazama namna jamii inavyoweza kuunga mkono usawa wa kijinsia kwenye uongozi. Na Dina Shambe na Edward Lucas Hili ndilo swali tulilojadili katika kipindi cha ijumaa kilichowakutanisha chifu wa sizaki, mchungaji…
29 September 2025, 1:27 pm
Sikiliza makala haya maalumu kuhusu uelewa wa jamii kuhusu uzazi wa mpango hatua ya kujenga jamii na uchumi. Na Dinnah Shambe Katika jamii nyingi, suala la uzazi wa mpango limeendelea kuwa jambo lenye mjadala mkubwa, hasa kutokana na mitazamo tofauti…
28 September 2025, 2:46 pm
Iwapo mgombea atakutana na vitendo vya kuombwa rushwa atoe taarifa TAKUKURU ili wachunguze na kubaini na kuchukua hatua. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wagombea wa nafasi za Urais Ubunge au Udiwani ambao wanaombwa rushwa na wapiga kura kutoa taariifa…
26 September 2025, 7:00 pm
Kwa sasa shule hiyo ina jumla ya wanafunzi 1278 ambapo kati yao wavulana ni 616 na wasichana ni 662. Na Adelinus Banenwa Upungufu wa walimu wa sayansi na Sanaa, ukosefu umeme kwenye madarasa, ukosefu wa jiko, upungufu wa matundu ya…
26 September 2025, 6:55 pm
Jumla ya wanafunzi 291 kati ya wanafunzi 374 walioanza kidato cha kwanza mwaka 2022. Na adelinus Banenwa Jumla ya wanafunzi 291 wamehitimu kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Migungani mwaka 2025. Kati ya idadi hiyo, wanafunzi wa kike ni…
26 September 2025, 6:16 pm
Ruth Kisinga afisa msaidizi wa kodi mkoa wa Mara Ruth amesema kuwa hapo nyuma hapakuwa na mahusiano mazuri kati ya TRA na walipa kodi hivyo dawati hili limekuwa msaada na kuleta mahusiano mazuri baina yao. Na Teddy Thomas Imeelezwa kwamba…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com