Mazingira FM

Recent posts

19 May 2024, 13:04

Onyo! watumishi wasiyotoa ushirikiano kwa waandishi: RC Mtambi

“Kama wewe ni mtumishi wa serikali mkoa wa Mara na hutaki kutoa habari kwa waandishi mimi nakuona ni msaliti” Na Adelinus Banenwa Mkuu wa mkoa wa Mara Kanali Evance Mtambi ametoa onyo kwa watumishi wa serikali mkoani Mara wasiotoa ushirikiano …

11 May 2024, 19:41

TAKUKURU yawataka wananchi kutambua viashiria vya rushwa kuelekea uchaguzi

TAKUKURU yaanza kujipanga kudhibiti matukio na vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi serikali za mitaa. Na Adelinus Banenwa Kujitoa kugombea, kusafirisha wapigakura, kununua au kuuza kadi ya mpiga kura ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwa ni rushwa  katika kipindi cha uchaguzi.…

10 May 2024, 18:33

Mrida; serikali inatushirikisha sisi wafugaji

Kwa mwaka wa 2023 ha 2024 zaidi ya majosho 246 nchi nzima hii inaonesha serikali inawajali wafugaji. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa wafugaji taifa Ndugu Mrida Mshota amewataka maafisa mifugo kuwatembelea wafugaji na kuwapatia elimu badala ya kukamata mifugo yao.…

7 May 2024, 14:40

Waathirika wa mafuriko Lamadi wapongeza viongozi kuwatembelea

Na Edward Lucas Wahanga wa mafuriko kata ya Lamadi Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu wamewashukuru viongozi wa CCM mkoa na Mkuu wa Wilaya ya Busega kuwatembelea na kusikiliza changamoto zao. Wakizungumza na Radio Mazingira Fm kwa nyakati tofauti baada ya…

6 May 2024, 17:41

Mafuriko yawaweka hatarini wakazi wa Lamadi Simiyu

Na Edward Lucas Wananchi wa Kitongoji cha Makanisani na Lamadi kata ya Lamadi wilaya ya Busega mkoani Simiyu wako hatarini kupata milipuko ya magonjwa baada ya vyoo kujaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Wakizungumza na Mazingira Fm wakazi hao…

5 May 2024, 18:22

Ushirikiano na maslahi bora kwa walimu chachu kuongeza ufaulu Nyamakokoto

Serikali ikizishughulikia changamoto za walimu na wazazi wakiwa na ushirikiano na walimu itasaidia kiwango cha ufaulu kitaongezeka. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kushrikiana na walimu pamoja na serikali ili kuinua kiwango cha ufaulu wa wanafunzi shuleni…

2 May 2024, 10:25

Mwenyekiti wa senet Mara awafunda wahitimu chuo cha ualimu Bunda

Suala la uzalendo, kuzingatia maadili kujituma katika kufanya kazi vyachukua nafasi nasaha za viongozi kwenye mahafali ya wanafunzi wa CCM chuo cha ualimu Bunda Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa vijana wasomi nchini kuwa na maadili mema na kufanya kazi…

1 May 2024, 10:45

Pikipiki za CCM Bunda zazua kizaazaa, viongozi watoa matamko

Wengine watajwa kuzitumia kama bodaboda wengine kubebea samaki wengine watajwa kuzigawa kwa watoto wao Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi CCM wilaya Bunda wakili Leonard Magwayega amepiga marufuku kwa viongozi wa jumuiya hiyo waliopewa pikipiki za chama kuzitumia…

29 April 2024, 11:09

Nyumba zazingirwa na maji Nyatwali, wakazi wayakimbia makazi yao

Baadhi ya wakazi wa Nyatwali katika mitaa ya Kariakoo na Tamau wamelazimika kuyakimbia makazi yao baada ya nyumba zao kuzingirwa na maji ya mafuriko, tahadhari ya magonjwa ya mlipuko yatolewa. Na Adelinus Banenwa Baadhi wakazi wa kata ya Nyatwali katika…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com