Mazingira FM

Recent posts

5 February 2026, 19:37

CCM Bunda yakusanya milioni mianne arobaini ujenzi ofisi ya wilaya

Harambee imefanyika ikiambatana na maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa kwa chama hicho ambacho ni muungano wa vyama vya Afro shilaz part na chama cha TANU mwaka 1977. Na Naomi Lumbe Jumla ya shilingi za kitanzania milioni mianne arobaini (440,000,000)…

3 February 2026, 06:23

Ufaulu, uripoti sekondari bado changamoto Bunda

Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Salum Alfan Mtelela, Ameeleza kuwa asilimia 30/31 mjini na asilimia 42 kwa vijijini wanafuzi hawakufaulu.akitoa wito wa kuhakikisha wanafunzi hao wanaripoti shuleni Na Catherine Msafiri, Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Salum Alfan Mtelela,…

31 January 2026, 12:12

NMB yakabidhi msaada wa vifaa vyenye thamani ya mil 230 mkoa wa Mara

Katika msaada huu Benk ya NMB imetoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 230 mkoani Mara ambapo  kwa hospital DDH Rorya imepokea Encubators 8 ambazo zitasaidia watoto njiti baada ya kuzaliwa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa  vifaa saidizi…

28 January 2026, 22:08

KARITASI ya Muhoji yawezesha wanafunzi 450 vifaa vya shule

Jumla ya wanafunzi 450 wamepatiwa vifaa vya shule ambavyo ni madaftari na kalamu huku 150 kati yao watashonewa sare za shule kutokana na uwezo wa familia zao. Na Adelinus Banenwa Jumla ya wanafunzi 450 kutoka shule ya msingi muhoji wamewezeshwa…

28 January 2026, 21:47

CCM Bunda watakiwa kuvaa sare, kuondoa kava kwenye pikipiki

Hofu kwa wanachama wa CCM ilikuwa ni kubwa kutokana na matukio ya vurugu za baada ya uchaguzi lakini kwa sasa viongozi wamejiridhisha kuwa hali ni shwari. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wanachama wa chama cha mapinduzi CCM kurejea katika…

28 January 2026, 08:47

Mbegu bora mwarobaini wa mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wakulima

Afisa Kilimo Elton Dickson Mtani aeeleza kuwa Mbegu bora zina sifa za kustahimili ukame, magonjwa na wadudu, na zinaweza kukua vizuri hata katika mazingira magumu. Na Catherine Msafiri, Wakulima wanakabiliwa na changamoto kubwa kutokana na mabadiliko ya tabianchi, ikiwemo ukame,…

27 January 2026, 20:32

TANAPA Kanda ya Magharibi wapanda miti 7000 birthday ya Rais Samia

Jumla ya miti elfu 7 imepandwa katika hifadhi zote zilizopo kanda ya magharibi Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kupanda miti na kutunza mazingira ili kupunguza athari za mabadiriko ya tabia ya nchi. Hayo yamesemwa leo Jan 27, 2026…

26 January 2026, 11:22

Bibi wa miaka 68 auawa, mtuhumiwa atokomea

“Bibi huyo anashambuliwa mikononi alikuwa amebiba mtoto ndipo mtoto huyo alipochukuliwa na bibi alidondoka huku damu nyingi zikiwa zinamtoka” Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Ndabacha Humbikijo Madereke Umri 68 Mkazi Wa  Kijiji Cha Kinyangerere Kata Ya…

24 January 2026, 19:35

Jengeni utamaduni wa kuwaaga watumishi wanapostaafu

Suala la kuanza kazi ni jambo moja na kumaliza ni jambo lingine hivyo ni vema mtumishi anapofikia hatua ya kustaafu aangwe vizuri. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa taasisi za serikali kujenga utamaduni wa kuwaaga vizuri wafanyakazi wao wanapostaafu kutokana…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com