Mazingira FM
Mazingira FM
18 October 2025, 8:54 pm
Kiboye amesema Chama Cha Mapinduzi kilishafanya maamuzi yake hata kama aliyechaguliwa ulikuwa humpendi ila kwa sasa huyo ndiye aliyeonekana na chama kuwa anafaa. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wanachama wa chama cha mapinduzi kuacha makundi na kuhakikisha wanawapigia wagombea…
18 October 2025, 8:23 pm
“TAKUKURU hatutasita kuchukua hatua kwa yeyote atakayekiuka agizo hilo la kisheria“ Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa kufanya sherehe baada ya kushinda uchaguzi na kualika watu unaodhani wamekupigia kura ili ushinde ni rushwa. Hayo yamesema na William Eliyau Afisa uchunguzi kutoka…
18 October 2025, 7:41 pm
Wanafunzi 195 wamesajiliwa kufanya Mtihani wa Taifa, ambapo wasichana ni 101 na wavulana 94. Na Adelinus Banenwa Jumla ya wanafunzi 195 wanatarajiwa kuhitimu masomo yao ya Kidato cha Nne mwaka 2025 katika Shule ya Sekondari Bunda Day, ambayo imefanya Mahafali…
16 October 2025, 4:03 pm
Wateja waombwa kuwa wavumilivu na kuelewa mazingira ya biashara ya nyama kwa sasa, huku akiahidi kuwa chama chao kitaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutafuta njia ya kudhibiti mfumuko wa bei. Na Catherine Msafiri na Teddy Thomas Baadhi ya wafanyabiashara wa…
16 October 2025, 3:22 pm
Jeshi la polisi limesema limeshajiandaa kikamilifu kusimamia usalama wakati wa uchaguzi kama wanavyofa katika kipindi hiki cha kampeini. Na Adelinus Banenwa Jeshi la polisi mkoa wa Mara limewahakikishia wananchi wote mkoani Mara kuwa hali ya usalama ni nzuri na jeshi…
13 October 2025, 11:45 am
Mgombea udiwani kata ya Nyasura Magigi Samwel Kiboko aahidi akichaguliwa malengo yake ni kuhakikisha kinajengwa kituo cha afya chenye hadhi ya hospitali ya wilaya katika kata ya Nyasura. Na Catherine Msafiri Mgombea udiwani kata ya Nyasura Magigi Samwel Kiboko ameendelea…
12 October 2025, 1:48 pm
Bw. Lusato Masinde, amesema ongezeko la migongano kati ya binadamu na wanyamapori linachangiwa na upanuzi wa makazi ya binadamu, mabadiliko ya tabianchi, pamoja na uharibifu wa mazingira ya asili ya wanyama hao. Na Catherine Msafiri Wakala wa Huduma za Wanyamapori…
11 October 2025, 6:19 pm
Miongoni mwa mazao yanayoweza kulimwa kuwa ni pamoja na mahindi, mpunga, alizeti mbogamboga ambapo viwanda vya kuchakata mazao hayo vitapatikana hapo pia. Na Adelinus Banenwa Malongo Mashimo aliyekuwa diwani kata ya Nyatwali 2020 na 2025 ameishauri serikali kulifanya eneo la…
10 October 2025, 12:23 pm
Dkt. Charles ameonya tabia ya kutumia dawa za macho za maji bila ushauri wa kitaalamu,ataja madhara yanayoweza kutokea kama presha ya macho. Na Catherine Msafiri Katika jitihada za kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kutunza afya ya macho, Daktari Bingwa wa…
10 October 2025, 8:54 am
Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Wananchi wa Bunda kutafakari kabla ya kufanya maamuzi ya kisiasa. Na Adelinus Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Wananchi wa Bunda kutafakari…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com