

16 February 2025, 6:37 pm
Zaidi ya Wagonjwa 1,520 Wahudumiwa Bure Katika Kambi ya Matibabu ya Macho Bunda Manyamanyama. Na Adelinus Banenwa Zaidi ya wagonjwa 1,520 wa macho wamehudumiwa ndani ya siku mbili kati ya tatu katika kambi maalumu ya matibabu ya macho iliyofanyika katika…
15 February 2025, 7:45 pm
Serikali ya mtaa inachukua hatua muhimu katika kusimamia usalama na ustawi wa jamii katika kipindi hiki cha shughuli za uchimbaji. Na Adelinus Banenwa Makumi kwa mamia ya vijana kutoka maeneo mbalimbali wameshukudiwa katika viunga vya mtaa wa Zanzibar , kata…
14 February 2025, 12:46 pm
Mkuu huyo wa wilaya ya Musoma amekipongeza kituo cha redio cha Mazingira Fm cha mjini Bunda kwa kazi nzuri za kuendelea kuwafikishia wananchi taarifa mbalimbali. Na.Shomari Binda Katika kuadhimisha siku ya radio duniani jamii imetakiwa kufatilia matangazo yake ili kuweza…
13 February 2025, 11:46 am
Halmashauri ya wilaya ya Bunda yatakiwa mwaka huu kwenye bajeti kutenge fedha kwa ajili ya kulipa madeni ya wadau mbalimbali. By Edward Lucas. Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Dr Vicent Naano Anney amemwagiza mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Bunda…
12 February 2025, 10:53 pm
Kati ya walimu 350 waliopo halmashauri ya wilaya ya Bunda walimu wa kike ni 45 pekee. Na Edward Lucas Kutokana na kilio cha kukosa mwalimu wa kike shule ya sekondari Tirina, mkuu wa wilaya ya Bunda, Dr Vicent Naano Anney…
12 February 2025, 6:56 am
Ili kuwezesha jamii isipate madhara zaidi ni wajibu wa mwandishi wa habari na chombo cha habari kujua namna ya mbinu sahihi za kutumia ili kuleta matokeo chanya ambayo pia hayawezi kuleta taharuki kwenye jamii husika. Na Adelinus Banenwa Waandishi wa…
11 February 2025, 6:10 pm
Aliyepotelea ziwani akiwa kwenye shughuli ya uvuvi, mwili wake umepatikana ikiwa ni siku ya tano tangu alipotoweka. Na Edward Lucas Kusekwa Fanuel Rufundya (31) mkazi wa kata ya Guta halmashauri ya mji wa Bunda aliyepotelea ziwani akiwa kwenye shughuli ya…
11 February 2025, 7:09 am
Dalili za awali za ugonjwa huu hazitofautiani sana na ugonjwa wa maralia kama vile homa kali, maumivu ya kichwa, maumivu ya mgongo, maumivu ya misuli, na kutapika na saa nyingine ngonjwa anaweza kutapika damu. Na Adelinus Banenwa Mtandaoni wa Redio…
9 February 2025, 10:11 pm
By Edward Lucas Mtu mmoja Aliyefahamika kwa jina la Kusekwa Fanuel Rufundya (31) mkazi wa mtaa wa Ihale kata ya Guta anahofiwa kufariki dunia kwa kuzama ndani ya maji wakati akiwa katika shughuli za uvuvi ziwa victoria kata ya Guta…
8 February 2025, 10:18 pm
Waziri Gwajima ameiagiza mikoa yote inayoongoza kwa ukeketaji nchini kutenga bajeti za kutekeleza afua za kupinga ukeketaji ikiwa ni pamoja na kuwahudumia manusura wa ukatili wa ukeketaji na ukatili mwingine. Na Adelinus Banenwa Waziri wa Maendeleo ya jamii jinsia wanawake…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com