Mazingira FM
Mazingira FM
8 May 2025, 8:25 pm
Tangu kuanzishwa kwa jukwaa hili mwaka 2005 limesaidia wanawake wengi katika kuhakikisha wanazifikia ndoto zao Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Aswege Enock Kaminyoge amezielekeza halmashauri za wilaya ya Bunda kuandaa program maalumu kwa ajili ya kutoa…
8 May 2025, 7:56 am
Wateja wamepungua kwa kasi katika siku za hivi karibuni kutokana na watu wengi kuelekeza nguvu zao katika kununua samaki Na Thomas Masalu Imeelezwa kuwa katika mji wa Bunda, upatikanaji mkubwa wa samaki kwa sasa umeanza kuathiri kwa kiasi kikubwa biashara…
6 May 2025, 3:31 pm
Wananchi ambao vitambulisho vyao vya zamani bado wanavyo na havina shida yoyote ya kufutika au kukatika na hawajahama kata au jimbo hawana haja ya kwenda kutafuta vitambulisho vingine. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi wa jimbo la bunda mjini…
6 May 2025, 3:13 pm
Kutumia mbinu ya ulinzi shirikishi na kutoa elimu ili kuwafanya wananchi wawe walinzi wa maeneo hayo. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa mkoa wa Mara Kanal Evance Mtambi amezitaka mamlaka za uhifadhi ikiwemo mamlaka ya hifadhi ya taifa ya Serengeti na…
6 May 2025, 10:18 am
Serikali tayari imetoa bilioni 53 kwa ajili ya ulipaji wa fidia kwa wakazi hao ili kuachia maeneo hayo yawe sehemu ya hifadhi ya taifa ya Serengeti. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa Nyatwali ambao tayari wamelipwa stahiki zao kwa utaratibu wa…
5 May 2025, 11:47 am
Maadhimisho ya siku ya urithi wa dunia ambayo yatafanyika Eneo la Mugumu wilaya Serengeti mkoani Mara na mgeni rasmi inatarajiwa kuwa mkuu wa mkoa wa Mara. Na Adelinus Banenwa Kamishna msaidizi mwandamizi Stephano Msumi ambaye ni mkuu wa hifadhi ya…
3 May 2025, 11:14 am
Ndege Makebe Karando (31) amuua kwa kumchoma visu aliyekuwa mpenzi wake ambaye ni muhudumu wa afya katika zahanati ya marambeka Zawadi John Kazi (35) kisha na yeye kujinyonga. Na Adelinu Banenwa Vilio na sintofahamu vimeendelea kutawala kwa wakazi wa kijiji…
1 May 2025, 8:24 pm
Macho na masikio ya wakulima wengi wa zao hilo nchini yatakuwa katika hafla hiyo, kwani matamanio ya wengi ni kuona bei ambayo itatangazwa Na Adelinus Banenwa Bodi ya Pamba Tanzania (TCB) inatarajia kutangaza bei elekezi ya ununuzi wa zao hilo…
1 May 2025, 4:32 pm
Katika utetezi wake mshitakiwa aliiomba mahakama imuachie huru kutokana na yeye kuwa ni mjane na ana watoto watano wanamtegemea. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya Bunda imemuhukumu kifungo cha masharti (condition discharge) cha kutokutenda kosa lolote ndani ya miezi…
26 April 2025, 4:21 pm
Wito umetolewa kwa wananchi kuzingatia usafi wa mazingira na matumizi sahihi ya vyandarua ili kuepuka maambukizi ya malaria Hayo yamesemwa leo na Dr Henry Lukamisa ambaye ni mratibu wa Malaria mkoa wa Mara wakati akizungumza kupitia Radio Mazingira fm ndani…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com