Mazingira FM

Recent posts

21 August 2025, 18:15

Machilu naye achukua fomu INEC ataja kumaliza makundi

Mgombea wa udiwani kata ya Manyamanyama kupitia chama cha mapinduzi CCM ametangaza juu ya kuvunjwa kwa makundi yote yaliyokuwepo wakati wa kutafuta mgombea wa CCM kata. Na Adelinus Banenwa Mgombea wa udiwani kata ya Manyamanyama kupitia chama cha mapinduzi CCM…

20 August 2025, 22:31

Mchimbaji afukiwa na kifusi mgodi wa dhahabu

Tukio hilo lilitokea jana tarehe 19 Augost 2025, majira ya saa 12:00 jioni, wakati Lutamula na wenzake walipokuwa katika shughuli ya ukarabati wa duara Na Edward Lucas. Mchimbaji Afukiwa na Kifusi Katika Mgodi wa Dhahabu Juma Lutamula (33), mkazi wa…

20 August 2025, 17:30

Wagombea wa CCM Sazira, Bunda mjini wavuta fomu INEC

Wateule wa CCM kuwania udiwani waendelea kuchukua fomu kwenye ofisi za tume kwa wasimamizi wasaidizi kuomba kuteuliwa Na Adelinus Banenwa Mgombea wa udiwani kata ya Sazira kupitia chama cha mapinduzi CCM ndugu Michael Thomas Kweka amewashukuru wakazi anwanachama wa chama…

19 August 2025, 20:39

Wagombea wahamasisha ‘amani, utulivu’ kuelekea uchaguzi 2025

Makada wa CCM wapishana ofisi za wasimamizi wasaidizi wa tume kuchukua fomu za kuwania udiwani Na Adelinu Banenwa Mgombea wa udiwani kata ya nyasura kupitia chama cha mapinduzi CCM ndugu Magigi Samwel Kiboko amewaomba wanachama wa chama hicho kuwa watulivu…

19 August 2025, 09:54

31 wajeruhiwa kwa mafuriko Musoma Mjini

Jitihada za kuokoa zinaendelea huku Majeruhi katika maafa haya ni watu 31 ikiwe watu wazima ni 11 na watoto wadogo 20. Na Gabon Mariba – Musoma Wakazi mbalimbali wa Manispaa ya Musoma Mkoani Mara wamejeruhiwa kutokana na Mafuriko ya Maji…

18 August 2025, 17:45

Mwanachama wa DP achukua fomu mbili kwa wakati mmoja

Ni mgombea wa cha Democratic Party DP ambaye leo tarehe 18 Augost amechukua fomu za tume huru ya taifa ya uchaguzi ngazi ya jimbo akitaka kugombea ubunge na ngazi ya kata akitaka kugombea udiwani. Na Adelinus Banenwa Abubakari Makene Johnson…

17 August 2025, 11:18

Dkt. Bwire akabidhi msaada wa vifaa vya michezo Namuhula

Viongozi na wanufaika wa msaada huo kuhakikisha vifaa hivyo vinatuzwa ili viweze kudumu kwa muda mrefu. Na Adelinus Banenwa Jumla ya jozi tano za jezi, viatu vya michezo jozi 12 na mipira 18 vimetolewa kwa vijana wa  kata ya Namuhula…

13 August 2025, 19:28

Miradi ya zaidi ya bilion 3.5 kuzinduliwa na mwenge Bunda TC

Mapokezi ya mwenge huo ni shule ya msingi Balili Augost 15 2025 Asubuhi. Na Adelinus Banenwa Jumla ya miradi yenye thamani ya zaidi ya shilingi  bilioni 3.5 inatarajiwa kutembelewa na mwenge wa uhuru kitaifa mwaka 2025 kwa halmashauri ya mji…

13 August 2025, 19:20

Mwenge wa uhuru kukimbizwa KM 152 Musoma

Kwa wilaya ya Musoma mapokezi ni tarehe 16 katika kijiji cha Kabulabula halmashauri ya wilaya ya Musoma. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe Juma Chikoka ameomba wakazi wote wa wilaya ya Musoma kujitokeza kwa wingi katika mapokezi…

13 August 2025, 19:12

Mradi wa TACTIC Musoma kugharimu 19.97 bilion

Miradi itakayotekelezwa ni pamoja na ujenzi wa barabara za Mkendo, Shaabani na Musoma–Saanane, Ujenzi wa Soko Kuu la Nyasho na Kituo cha Mabasi cha Bweri. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Musoma Mhe Juma Chikoka amemshukuru Rais wa Jamhuri…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com