Mazingira FM

Recent posts

5 September 2025, 6:09 am

Udumavu kwa watoto chini ya miaka mitano ni shida

Sababu kuu zinazopelekea udumavu kuwa ni pamoja na lishe duni hasa katika kipindi cha za mwanzo tangu mama anapopata ujauzito  hadi mtoto anapotimiza umri wa miaka miwili,  Na Therezia Thomas Afisa lishe wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa niaba…

5 September 2025, 6:02 am

Nikichaguliwa nafufua viwanda Musoma-Kasereka

Nitahakikisha nafufua viwananda vya Musoma na kujenga bandari ili kusaidia kupatikana meli kubwa itakayofanya safari zake kati ya Musoma, Kenya na Uganda. Na Adelinus Banenwa Mgombea Ubunge jimbo la Musoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Ndg. John…

5 September 2025, 5:57 am

UDP kuwajaza watu fedha endapo itaingia madarakani

Lengo la chama hicho ni kuwajaza wananchi pesa kwa kuimarisha sekta mbalimbali ili kukuza uchumi na kuwawezesha watu kujiingizia kipato. Na Adelinus Banenwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha United Democratic Party (UDP), Saum…

2 September 2025, 7:20 pm

Marufuku wanafunzi kucheza muziki|ngoma kwa kukata viuno Mara

Uongozi wa mkoa unazielekeza halmashauri kuhakikisha wakurugenzi wanatekeleza na kufuatilia kwa ukaribu maagizo hayo katika shule zote ili yasipuuzwe. Na Therezia Thomas Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara, Gerald Kusaya, amepiga marufuku wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo…

2 September 2025, 7:11 pm

DP kuzindua kampeini zao Sept 17

Chama cha DP wamejipanga kufungua kapeini na kuwaeleza watanzania juu ya sera zao na ilani yao hasa kwa upande wa afya ambapo matibabu yatakuwa ni bure na akinamama waliojifungua watalipwa. Na Adelinus Banenwa Makamu mwenyekiti wa chama cha Democratic Party…

1 September 2025, 7:41 pm

Mgombea urais kupitia CUF atangaza neema akiwa rais

Ameahidi huduma za afya bure kwa wananchi bila gharama zozote, ajira kwa wasomi katika sekta za elimu na uvuvi, pamoja na elimu bure kuanzia chekechea hadi chuo kikuu. Na Adelinus Banenwa Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Wananchi CUF, Gombo…

31 August 2025, 7:26 am

Bunda: Mamba amshambulia mhudumu wa afya, amjeruhi

Amenusurika kuliwa na mamba wakati akiwa katika shughuli za uvuvi wa samaki. Na Edward Lucas. Aloyce Komanya (32), mkazi wa mtaa wa Bushigwamala, kata ya Guta katika Halmashauri ya Mji wa Bunda, mkoani Mara, amenusurika kuliwa na mamba wakati akiwa…

30 August 2025, 2:58 pm

Dkt. Nchimbi aelezea yaliyotekelezwa Bunda chini ya Rais Samia

Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaeleza wanabunda kuwa sera za mgombea urais Dkt.Samia zinalenga kuwaletea maendeleo wananchi na kuboresha kwa kiwango kikubwa. Na Catherine Msafiri. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM na mgombea mwenza wa urais kupitia chama hicho Dkt.Emmanuel Mchimbi…

30 August 2025, 12:40 pm

Bunda: Mzee wa miaka 62 auawa na tembo akisaka kuni kando ya mto

Mwandishi. Edward Lucas. Masunga Mahala Mihayo (62), mkazi wa mtaa wa Ichamo, kata ya Kunzugu, Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na tembo katika maeneo ya kando ya Mto Rubana, ambako alikuwa akienda mara…

27 August 2025, 8:36 pm

Kifo cha Maria wa Karatu kilivyoleta utata kwa familia Tarime-Mara

Mwandishi, Edward Lucas. Familia mbili zimeingia kwenye mvutano kuhusu mahali pa kumzika Maria Vitalis Paulo (30), mwanamke anayedaiwa kuuawa na mume wake Mwita Ngere Mwita (37) kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Tukio hilo limetokea katika kijiji cha…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com