

5 December 2024, 9:53 am
Katiba ya Tanzania imetoa uhuru wa watu kujieleza lakini changamoto kubwa kwa watu wenye ulemavu ni hoja zao na mawazo yao kutopewa nguvu katika jamii. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa mapokeo hafifu ya hoja zinazotolewa na watu wenye ulemavu ni…
27 November 2024, 5:23 pm
“Utaratibu ni mzuri ila changamoto kubwa ni majina hayaonekani vizuri hayajapangwa kwa kufuata mtililiko wa herufi” Na Adelinus Banenwa Wananchi walioteremka vituoni lei kupiga kura kutimiza haki yao ya msingi ya kuwachagua viongozi wa serikali za mtaa katika eneo la…
27 November 2024, 8:13 am
Wanaofanyabiashara kando ya barabara wanatakiwa kutoka hasa ukizingatia uwepo wao kwenye maeneo hayo ni hatari kwa usalama wao. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Naano azindua vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo maalufu kama machinga huku akiwataka walioko…
26 November 2024, 10:24 am
Jumuiya ya waongeaji wa kiesperanto wamesaidia miradi kadhaa kwenye shule ya Sekondari Esperanto ikiwemo ujenzi wa mabweni mawili ya wanafunzi wa kike, maktaba ya vitabu na kompyuta, nyumba sita za walimu, matundu ya vyoo vya wanafunzi, madarasa na miradi mingine…
24 November 2024, 6:58 pm
Salumu Mtelela amezielekeza taasisi zote za serikali kuachana na matumizi ya mkaa na kuni badala yake wahakikishe wanatumia nishati safi ya kupikia ikiwemo gesi na umeme. Na Adelinus Banenwa Katika kuendeleza kampeni ya Rais Samia Suluhu Hassan ya matumizi ya…
23 November 2024, 6:05 pm
Baadhi ya matendo ambayo yakifanyika inatafsiri kuwa ni rushwa ni pamoja na ugawaji wa tisheti, kanga, shati, chumvi, sabuni sukari au sherehe kabla wakati na baada ya uchaguzi. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kutoa taarifa za vitendo vya…
23 November 2024, 3:04 pm
Chuo cha Kisangwa kinatoa kozi za ufundi na ujuzi ambapo mwanafunzi akihitimu lazima awe na uwezo wa kufanya kitu. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa chuo cha Maendeleo ya wananchi Kisangwa (Kisangwa FDC) ameishukuru serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania…
22 November 2024, 1:29 pm
“Wananchi kuna kila sababu ya kuwachagua viongozi wa CCM kwa kuwa serikali inayoongozwa na CCM imefanya mengi na yanaonekana kuanzia sekta ya Afya maji, barabara, umeme, elimu n.k” Bi Joyce Mang’o. Na Adelinus Banenwa Chama cha mapinduzi wilaya ya Bunda…
22 November 2024, 1:03 pm
hatua ya kuwakatia bima wazee hao ni sehemu ya ahadi yake aliyoitoa kuhakikisha mshahara wake wa ubunge unarudi kuwahudumia wananchi. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amekabidhi bima za afya wazee wapatao 500…
20 November 2024, 2:49 pm
Mara nyingi maunganisho mapya ya maji huwavutia vishoka hivyo wananchi wanatakiwa kuwa makini kwa kuwa BUWSSA haipokei fedha tasrimu kwenye maunganisho mapya ya maji Na Adelinus Banenwa Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira Bunda BUWSSA wamewataka wananchi kufuata utaratibu…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com