Mazingira FM

Recent posts

13 September 2025, 6:56 am

Rushwa ya ngono inaathirije wanawake katika uongozi?

Viongozi wa kisiasa na wanaharakati wa kupinga ukatili wameweka wazi namna tatizo hili linavyowaathiri wanawake. Na Dinnah Shambe Wanawake wengi wanaojitokeza kuwania nafasi za kisiasa hukumbana na kikwazo kikubwa-rushwa ya ngono,hali hii si tu inawakatisha tama,bali pia inazima ndoto za…

13 September 2025, 6:41 am

Mirumbe katibu wa NEC awanadi Rais Samia, Bulaya na Kweka

Wanauwezo wa kujenga hoja, kusimamia masilahi ya Taifa, ujenzi wa Uchumi Imara na huduma za jamii kamavile miundombinu, Elimu na Afya. Na Adelinus Banenwa Ndugu Joshua Chacha Mirumbe. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha na Mjumbe wa Kamati Kuu ya…

12 September 2025, 11:47 am

Ni marufuku taasisi binafsi kuuza magari yenye msamaha wa kodi

Kwa mujibu wa kifungu cha 70(1) cha sheria ya utawala wa kodi sura 438 na kifungu cha 249 cha sheria ya forodha ya jumuiya ya Afrika mashariki ya mwaka 2004 , Na Catherine Msafiri, Imeelezwa kuwa mamlaka ya mapato Tanzania…

11 September 2025, 9:04 pm

Mwingine ajinyonga Bunda kisa msongo wa mawazo

“Inaonesha mzee huyo amejinyonga kutokana na msongo wa mawazo kwa kuwa ni kama familia yake ilikuwa haimjali” Na Adelinus Banenwa Mzee mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Odondo mwenye umri wa miaka 93 mkazi wa kijiji cha Nyaburundu kata ya…

11 September 2025, 8:57 pm

Mwalimu: Nikiwa Rais nitafufua kilimo, kujenga viwanda

Utajiri uliopo nchini Tanzania kwa wingi la rasilimali zilizopo yakiwemo madini, mito maziwa na bahari, ardhi yenye rutuba miongoni mwa rasilimali zingine Na Adelinus Banenwa Mgombea urais kupitia chama cha ukombozi wa umma CHAUMA Salumu Mwalimu amesema endapo atachaguliwa katika…

11 September 2025, 8:36 pm

Wananchi wakaribishwa ‘Mara day’

Maadhimisho hayo ya 14 yanatarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 12 hadi Septemba 15, 2025, katika Viwanja vya Mwenge, Wilaya ya Butiama, mkoani Mara. Na Thomas Masalu Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, amewataka wananchi wa Mkoa wa Mara na…

10 September 2025, 7:42 am

Wanafunzi 66,102 kuhitimu elimu ya msingi Mara

Maandalizi yote ya mtihani huo yamekamilika kwa ufanisi, na kufikia jana mitihani yote ilikuwa tayari imesambazwa katika halmashauri zote za Mkoa wa Mara. Na Adelinus Banenwa Afisa Elimu wa Mkoa wa Mara, Bulenga Makwasa, amesema jumla ya wanafunzi 66,102 kutoka…

9 September 2025, 10:10 pm

Wanafunzi 13075 kufanya mtihani wa darasa la saba Bunda

Amewasihi wazazi kushirikiana na walimu katika kuhakikisha watoto wanapata maandalizi bora ya mtihani, ikiwa ni pamoja na kuwaandalia mazingira tulivu ya kujisomea na kupumzika. Na Adelinus Banenwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Salumu Mtelela, kwa niaba ya Mkuu wa…

9 September 2025, 8:38 pm

Kinara wa uzalishaji bangi Mara akamatwa na tani 6.5

Aretas amesema mtuhumiwa huyo alikuwa akitafutwa kutokana na matendo yake ya kuendelea kuzalisha na kuuza bangi kinyume na sheria. Na Adelinus Banenwa Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini imemkamata Masero Ryoba Muhabe 44 anayetajwa kuwa kinara…

8 September 2025, 10:54 am

Plastiki, nguo chakavu, mabaki ya chakula fursa mpya ya ajira

Vijana changamkieni fursa za ajira kupitia urejelezaji wa taka kama plastiki, chuma, vitambaa au nguo zilizoisha na mabaki ya chakula ili kusaidia kupunguza uchafuzi wa mazingira. Na Catherine Msafiri, Tanzania imekuwa na changamoto ya uchafuzi wa mazingira kwa hivi karibuni…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com