Mazingira FM
Mazingira FM
27 October 2025, 16:13
Sikiliza hoja zenye kutafakalisha, simulizi za kweli, na sauti zinazovunja ukimya kuhusu ushiriki wa wanawake kwenye maamuzi ya nchi. Na Dina Shambe na Edward Lucas Katika kipindi hiki maalumu cha Redio Mazingira FM ,wachambuzi wa masuala ya kijamii,Viongozi wanawake,na wananchi…
25 October 2025, 20:53
Waliopoteza vitambulisho vyao vya kupigia kura na majina yao yapo kwenye daftari la kudumu la mpiga kura wanayo nafasi ya kupiga kura kwa kutumia vitambulisho vyenye majina yao kama vile leseni ya udereva pass ya kusafiria au kitambulisho cha taifa…
25 October 2025, 20:40
Asema endapo atachaguliwa, kipaumbele chake kitakuwa ni kuinua maendeleo ya wananchi wa Bunda Mjini Na Thomas Masalu Mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Bunda Mjini, Estar Bulaya, amehitimisha kampeni zake leo katika viwanja vya Stendi ya…
24 October 2025, 13:38
Jumla ya wapigakura wenye sifa kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ni takribani watu 253.891 Na Adelinu Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Aswenge Enock Kaminyoge amewahakikishia wananchi wilayani Bunda ambao wanasifa za kupiga kura tarehe…
20 October 2025, 18:36
Ujenzi huo umewezeshwa na Polish Aid na Foundation Kiabakari, na sasa kituo kina uwezo wa kuhudumia watoto 160 kwa kutoa malezi, elimu, ushauri nasaha na ulinzi wa kijamii. Na Thedy Thomas Katika juhudi za kulinda na kuwahudumia watoto waliokumbwa na…
19 October 2025, 16:25
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
18 October 2025, 20:54
Kiboye amesema Chama Cha Mapinduzi kilishafanya maamuzi yake hata kama aliyechaguliwa ulikuwa humpendi ila kwa sasa huyo ndiye aliyeonekana na chama kuwa anafaa. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wanachama wa chama cha mapinduzi kuacha makundi na kuhakikisha wanawapigia wagombea…
18 October 2025, 20:23
“TAKUKURU hatutasita kuchukua hatua kwa yeyote atakayekiuka agizo hilo la kisheria“ Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa kufanya sherehe baada ya kushinda uchaguzi na kualika watu unaodhani wamekupigia kura ili ushinde ni rushwa. Hayo yamesema na William Eliyau Afisa uchunguzi kutoka…
18 October 2025, 19:41
Wanafunzi 195 wamesajiliwa kufanya Mtihani wa Taifa, ambapo wasichana ni 101 na wavulana 94. Na Adelinus Banenwa Jumla ya wanafunzi 195 wanatarajiwa kuhitimu masomo yao ya Kidato cha Nne mwaka 2025 katika Shule ya Sekondari Bunda Day, ambayo imefanya Mahafali…
16 October 2025, 16:03
Wateja waombwa kuwa wavumilivu na kuelewa mazingira ya biashara ya nyama kwa sasa, huku akiahidi kuwa chama chao kitaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutafuta njia ya kudhibiti mfumuko wa bei. Na Catherine Msafiri na Teddy Thomas Baadhi ya wafanyabiashara wa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com