Mazingira FM
Mazingira FM
22 July 2022, 6:17 am
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mheshimiwa Joshua Nassari amehitimisha zoezi la utoaji Elimu kuhusu kukabiliana na wanyamapori wakali pamoja na waharibifu kwa wakazi wanaozunguka Hifadhi ya Taifa ya Serengeti Ili kuepuka na kupunguza madhara yanayotokana wanyama hao. Akizungumza na…
19 July 2022, 1:03 pm
Watu wawili wanusurika kifo kwa kuungua moto wa maajabu uliotokea usiku saa 8 wakiwa wamelala. Tukio hilo la aina yake limetokea usiku wa kuamkia July 18, 2022 katika mtaa wa Majengo Mapya kata ya Nyamakokoto Halmashauri ya mji wa Bunda…
15 July 2022, 10:43 pm
Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Mhe. Robert Chacha Maboto amegawa pikipiki 14 kwa vikundi vya waendesha pikipiki kutoka Katika kila Kata za Halmashauri ya Mji wa Bunda ndani ya Jimbo la Bunda Mjini Leo Tarehe 15.07.2022, Uwanja wa Sabasaba.…
15 July 2022, 8:26 pm
Wajumbe wa kikao cha WDC kata ya kabarimu walalamikia uongozi wa Tarura Bunda katika hatua ya kuondoa na kubadilisha majina ya vibao vya barabara katika zoezi la anuani za makazi huku wakidai linapelekea usumbufu mkubwa kwao Wakizungumza katika kikao kilichofanyika…
15 July 2022, 12:34 pm
Hayo yameelezwa wakati wa Baraza Maalumu la Halmashauri la kupitia Hoja za Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) tarehe 14.07.2022. Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally S. Hapi amewapongeza Waheshimiwa Madiwani na Wataalamu kwa kusimamia vizuri Miradi inayoletwa na Serikali…
7 July 2022, 9:17 pm
Mwenge wa Uhuru uwapo katika Halmashauri ya Mji wa Bunda tarehe 05.07.2022 umetembelea na kukagua Miradi mbalimbali, Umeweka jiwe la Msingi na kuzindua Miradi nane yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 2.2. Miradi iliyozinduliwa ni madarasa matatu na Ofisi…
22 June 2022, 7:47 am
Mkuu wa Mkoa wa Mara amewaomba wazee wa mkoa huo kusaidia kukemea ubinafsi ambao unapelekea kuwepo hali duni za maendeleo unasababishwa na baadhi ya wananchi na viongozi kukwamisha baadhi ya miradi inayoletwa na Serikali. Kauli hiyo ametoa wakati akizungumza…
21 June 2022, 7:27 am
Mbunge wa Bunda Mjini, Robert Chacha Maboto amesema suala la wananchi kuvumbua sehemu ya uchimbaji wa madini kisha wataalamu na wasimamizi wengine kutafuta watu wanakwenda kukata leseni bila kuwashirikisha wananchi wa eneo husika limekuwa likileta mgogoro mkubwa. Maboto ameyasema…
17 June 2022, 12:44 pm
Saidi Amiri Afisa Habari kutoka ofisi ya Taifa ya Takwimu Kwa mujibu wa ofisi ya Taifa ya Takwimu 85% ya wananchi tayari waishaanza kuwa na uelewa kuhusu zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 Hayo yamesemwa Leo…
16 June 2022, 11:12 pm
Wananchi wanashauriwa kutoa taarifa sahihi kwenye zoezi la sensa ya watu na makazi ili kuwezesha kupata Takwimu sahihi Hayo yamebainishwa Leo June 16, 2022 wakati wa mafunzo ya ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS kwa wahariri wa vyombo vya habari…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com