Recent posts
14 October 2022, 4:48 pm
mgogoro kati ya wenye leseni, wachimbaji na wenye mashamaba wa Guta Stoon waanz…
Mkuu wa mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mzee ametatua mgogoro uliokuwepo kati ya wamiliki wa mashamba, wachimbaji Wadogo na wamiliki wa leseni ya uchimbaji wa madini mtaa wa Stooni Kata ya Guta halmashauri ya Mji wa Bunda. Rc Mzee…
10 October 2022, 8:01 am
Bunda; Diwani wa Nyasura aongoza wananchi unjenzi wa vyumba viwili vya Madara kw…
Wananchi wa mitaa ya Zanzibar na Nyasura B kata ya Nyasura Halmashauri ya mji wa Bunda wamejitolea katika ujenzi wa madarasa mawili shule ya msingi Kilimani kutokana na uhaba uliopo shuleni hapo. Wakizungumza wakati wakichimba msingi tayari kwa kuanza…
25 September 2022, 8:58 pm
Wangonjwa 90 wa macho wafanyiwa upasuaji kwenye kambi ya matibabu
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Joshua Nassar amezindua kambi ya matibabu kwa wangojwa katika hospitali ya wilaya ya Bunda Manyamanyama inayodhaminiwa na kamati ya kukuza na kuendeleza uislamu Tanzania Akizungummza katika uzinduzi huo mhe mkuu wa wilaya ameishukuru…
25 September 2022, 8:50 pm
DC NASSAR: Wafanyabiashara toeni risiti na wateja daini risiti msako kuanza
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Jushua Nassar katikati katika semina ya TRA kwa wafanyabiashara Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Joshua Nassar amesema kuna haja na umuhimu mkubwa kwa wafanyabiashara kujua mabadiriko ya sheria ya Kodi ili kuondoa mkanganyiko baina…
13 September 2022, 7:49 am
Halmashauri ya Mji wa Bunda yapokea tani 30 za mahindi ya bei nafuu
Halmashauri ya Mji wa Bunda imepokea tani 30 za mahindi ya bei nafuu kutoka kwa wakala wa hifadhi ya chakula ya Taifa NFRA Akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake Katibu tawala Wilaya ya Bunda Salum halfani Mterela amesema…
9 September 2022, 12:39 pm
baraza la madiwani bunda mjini lafanya kikao chake cha robo ya nne ya mwaka huku…
Baraza la madiwani halmashauli ya mji wa bunda limefanya kikao chake cha robo ya nne ya mwaka mbapo madiwani wameitaka halmashauri kuwashirikisha katika miradi ya maendeleo na kiwango cha fedha kinachotumika kutekeleza miradi hiyo Wakizungumza katika kikao hicho kilichofanyika katika…
9 September 2022, 12:25 pm
Maonesho ya Mara EXPRO yaendelea kunoga
Tume ya Madini Mkoani Mara imesema tatizo la usalama wa wachimbaji wadogo wa Madini kutozingatiwa umesababisa mamlaka hiyo kufunga Baadhi ya Migodi ndani ya mkoa wa Mara Hayo yamesemwa na Joseph Kumbulu afisa Madini Mkoa wa Mara wakati akizungumza Mazingira…
2 September 2022, 9:07 am
Bunda: bodaboda auawa kwa kukatwa shingo wezi waondoka na pikipiki
Mtu mmoja ambaye ni dereva bodaboda aliyetambulika kwa jina la ISSA SAGUDA (22) mkazi wa Rubana kata ya Balili, Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara amekutwa amepoteza Maisha kwa kukatwa na kitu Chenye Ncha Kali shingoni na tumboni…
24 August 2022, 8:46 pm
Bunda: mapipa 30 ya lami yenye thamani ya zaidi ya milioni 30 yakamatwa yakitoro…
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Joshua Nassar amekamata mapipa 32 ya lami yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 30 za kitanzania katika eneo la kiloleli nyamanguta Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Akiwa kituo Cha polisi Bunda Mhe Nassar…
24 August 2022, 8:40 pm
Bunda: wananchi waonywa uhujumu wa miondombinu ya maji
Mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya maji Bunda eng maisha amewataka wakazi wa Mji wa Bunda kuacha kuhujumu miundombinu ya maji ili kuebusha hasara kwa mamlaka na serikali Akizungumza na redio Mazingira Fm ofisini kwake eng maisha amesema matukio ya…