Mazingira FM

Recent posts

12 December 2023, 4:43 pm

Maryprisca: Vitongoji vyote Tiring’ati kupata maji ya ziwa Victoria

Naibu Waziri wa Maji Mhe Maryprisca Mahundi amefanya ziara katika jimbo la Bunda huku akiahidi vitongoji vyote vya kijiji vha Tiring’ati kupatiwa huduma ya maji. Na Adelinus Banenwa Naibu Waziri wa Maji Mhe Maryprisca Mahundi amefanya ziara katika jimbo la…

10 December 2023, 11:58 am

Watoto 1103 wamepata ujauzito ndani ya miezi minne Bunda

Katika kipindi  cha miezi minne ya julay hadi October  2023  watoto  712 kutoka halmashauri  ya wilaya ya Bunda na 391 kutoka  halmashauri ya mji wa Bunda wamepata ujauzito huku watatu kati yao wakiwa na umri chini ya miaka 14. Na…

10 December 2023, 11:28 am

Mbunge Bunda mjini akabidhi taa stendi ya mabasi Bunda

Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto ametoa taa za 3 wati 100 kwa chama cha mawakala wa mabasi stendi kuu ya mabasi Bunda Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto…

9 December 2023, 3:49 pm

DC Naano apongeza usimamizi wa miradi Bunda

Mkuu wa wilaya ya Bunda Dr Vicent Aney Naano ameipongeza halamashauri ya wilaya ya Bunda kwa usimamizi mzuri wa miradi inayotekelezwa. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dr Vicent Aney Naano ameipongeza halamashauri ya wilaya ya Bunda kwa…

5 December 2023, 8:19 am

Majanga ya mvua Mara, watatu wapoteza maisha maeneo tofauti

Watatu wapoteza maisha kwa kusombwa na maji maeneo tofauti mkoani Mara Na Adelinus Banenwa Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Maduhu Isinde Ikerege mkazi wa mtaa wa Changuge kata ya Mcharo Bunda mjini anatajwa kupoteza maisha kwa kusombwa na maji…

30 November 2023, 6:27 pm

Chomete aipongeza CCM, serikali utatuzi changamoto za wananchi Bunda

Mbunge wa viti maalum Ghati Chomete  amepongeza jitihada za serikali na viongozi wote wilayani Bunda kwa jitihada wanazozionesha katika kutatua changamoto za wananchi. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Mara kupitia Ghati Chomete  amepongeza jitihada za serikali…

29 November 2023, 8:08 am

Tume kuundwa kufatilia miradi ya maji jimbo la Bunda

Naibu Katibu mkuu wizara ya maji Mhandisi Mwajuma Waziri ameagiza kuundwa kwa tume maalum ya kufuatilia miradi yote ya maji jimbo la Bunda ambayo inaonekana kukamilika wakati huo hakuna huduma yoyote ya maji. Na Thomas Masalu Naibu Katibu mkuu wizara…

22 November 2023, 9:00 am

Mwanafunzi afariki kwa kugongwa na gari akielekea shule Bunda

Dinnah Matwiga (15) mwanafunzi wa kidato Cha kwanza shule ya Sekondari Pauljohn amefariki dunia kwa kugongwa na gari akielekea shuleni. Na Adelinus Banenwa Dinnah Matwiga (15) mwanafunzi wa kidato Cha kwanza shule ya Sekondari Pauljohn na mkazi wa mtaa wa…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com