Mazingira FM
Mazingira FM
12 December 2023, 4:43 pm
Naibu Waziri wa Maji Mhe Maryprisca Mahundi amefanya ziara katika jimbo la Bunda huku akiahidi vitongoji vyote vya kijiji vha Tiring’ati kupatiwa huduma ya maji. Na Adelinus Banenwa Naibu Waziri wa Maji Mhe Maryprisca Mahundi amefanya ziara katika jimbo la…
10 December 2023, 11:58 am
Katika kipindi cha miezi minne ya julay hadi October 2023 watoto 712 kutoka halmashauri ya wilaya ya Bunda na 391 kutoka halmashauri ya mji wa Bunda wamepata ujauzito huku watatu kati yao wakiwa na umri chini ya miaka 14. Na…
10 December 2023, 11:28 am
Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto ametoa taa za 3 wati 100 kwa chama cha mawakala wa mabasi stendi kuu ya mabasi Bunda Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto…
9 December 2023, 3:49 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda Dr Vicent Aney Naano ameipongeza halamashauri ya wilaya ya Bunda kwa usimamizi mzuri wa miradi inayotekelezwa. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dr Vicent Aney Naano ameipongeza halamashauri ya wilaya ya Bunda kwa…
5 December 2023, 8:19 am
Watatu wapoteza maisha kwa kusombwa na maji maeneo tofauti mkoani Mara Na Adelinus Banenwa Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Maduhu Isinde Ikerege mkazi wa mtaa wa Changuge kata ya Mcharo Bunda mjini anatajwa kupoteza maisha kwa kusombwa na maji…
30 November 2023, 6:27 pm
Mbunge wa viti maalum Ghati Chomete amepongeza jitihada za serikali na viongozi wote wilayani Bunda kwa jitihada wanazozionesha katika kutatua changamoto za wananchi. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Mara kupitia Ghati Chomete amepongeza jitihada za serikali…
29 November 2023, 7:08 pm
Edward Lucas Askari waliopigana vita ya Kagera mwaka 1978-1979 waliopo Wilayani Bunda wametakiwa kufika katika ofisi ya Mshauri wa Mgambo Wilaya Bunda. Taarifa hiyo imetolewa leo na Katibu Tawala Wilaya ya Bunda, Salum Halfani Mtelela mbele ya waandishi wa habari…
29 November 2023, 8:08 am
Naibu Katibu mkuu wizara ya maji Mhandisi Mwajuma Waziri ameagiza kuundwa kwa tume maalum ya kufuatilia miradi yote ya maji jimbo la Bunda ambayo inaonekana kukamilika wakati huo hakuna huduma yoyote ya maji. Na Thomas Masalu Naibu Katibu mkuu wizara…
22 November 2023, 5:05 pm
Vichaka na kandokando ya ziwa vimeendelea kutumika kama vyoo jambo ambalo ni hatari kwa afya hasa kwa kipindi hiki cha mvua. Na Edward Lucas Wahudumu wa afya kijiji cha Bwai Musoma Vijijini walia na hatari ya magonjwa ya tumbo na…
22 November 2023, 9:00 am
Dinnah Matwiga (15) mwanafunzi wa kidato Cha kwanza shule ya Sekondari Pauljohn amefariki dunia kwa kugongwa na gari akielekea shuleni. Na Adelinus Banenwa Dinnah Matwiga (15) mwanafunzi wa kidato Cha kwanza shule ya Sekondari Pauljohn na mkazi wa mtaa wa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com