Mazingira FM
Mazingira FM
1 May 2024, 10:45
Wengine watajwa kuzitumia kama bodaboda wengine kubebea samaki wengine watajwa kuzigawa kwa watoto wao Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi CCM wilaya Bunda wakili Leonard Magwayega amepiga marufuku kwa viongozi wa jumuiya hiyo waliopewa pikipiki za chama kuzitumia…
29 April 2024, 11:09
Baadhi ya wakazi wa Nyatwali katika mitaa ya Kariakoo na Tamau wamelazimika kuyakimbia makazi yao baada ya nyumba zao kuzingirwa na maji ya mafuriko, tahadhari ya magonjwa ya mlipuko yatolewa. Na Adelinus Banenwa Baadhi wakazi wa kata ya Nyatwali katika…
28 April 2024, 15:02
Kufuatia matukio yaliyoripotiwa wiki iliyopita ya kiboko kujeruhi na kuua, Afisa Wanyamapori TAWA atoa somo namna ya kuepuka athari za mnyama huyo Na Edward Lucas Wananchi wameaswa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Kiboko na kutoa taarifa mapema kwa mamlaka husika…
25 April 2024, 13:11
Zuku yaombwa kufikisha huduma vijijini kutatua changamoto ya vingamuzi kuganda kipindi cha masika. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa uongozi wa kampuni ya zuku kufikisha huduma ya visimbuzi vyao vijijini ili nao wanufaike na huduma zao. Wito huo umetolewa na…
24 April 2024, 09:52
Wanafunzi 26 wa sekondari ya Sizaki washindwa kurejea nyumbani baada ya kukuta mto umefurika maji. Na Edward Lucas Wanafunzi 26 shule ya sekondari Sizaki wameshindwa kurudi kwao Kisangwa April 23, 2024 na kulazimika kulala mtaa wa Mcharo baada ya kushindwa…
23 April 2024, 11:05
Watoto wa kike miaka 9 – 14 wapatao 11,650 wilayani Bunda wapata chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi (HPV) siku ya uzinduzi April 22, 2024 Na Adelinus Banenwa Zaidi ya watoto wa kike miaka 9 hadi 14 wapatao 41370…
22 April 2024, 10:04
Mwanaume wa miaka 55 Bunda auawa na kiboko saa tano usiku akiwa kandokando ya bwawa. Na Edward Lucas Juma Ryoba Waise maarufu Kebuchwa(55)mkazi wa Kijiji cha Mihingo amefariki dunia baada ya kushambuliwa na mnyama kiboko katika bwawa kijiji cha Mihingo…
21 April 2024, 13:05
Changamoto kubwa inayowafanya vijana washindwe kuwania nafasi za uongozi ” ni wazee kutowaamini vijana, vijana wengi hawaaminiwi na wazee” Na Edward Lucas Katibu mkuu wa Baraza la Vijana Chadema Tanzania Bara, Yohana Kaunya amesema wazee kutowaamini vijana na ushirikishwaji mdogo…
19 April 2024, 16:47
Madaraka Nyerere atembelea shule yenye jina la Nyerere awataka wanafunzi kutunza mazingira awahaidi kuwakaribisha Butiama. Na Avelina Sulusi Wito umetolewa kwa Jamii kutunza mazingira na kuyashika mafunzo katika utunzaji wa mazingira ili iwe faidi kwao kwa baadaye Hayo yamesemwa na…
19 April 2024, 12:34
Mwenyekiti wa CCM Bunda aitaka BUWASSA kutatua changamoto ya maji chuo cha ualimu Bunda. Na Theresia Thomas Wito umetolewa kwa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Bunda BUWSSA kutatua changamoto ya upungufu wa maji safi chuo cha ualimu…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com