Mazingira FM

Recent posts

16 January 2024, 11:59 am

Diwani Nyasura awapa nyenzo za kazi mabalozi Nyasura

Diwani wa kata ya Nyasura na mwenyekiti wa kamati ya maendeleo ya kata Mhe Magigi Samweli Kiboko ametoa madaftari 33 na kalamu kwa mabalozi wote wa CCM katika kata hiyo ikiwa ni sehemu ya kuwawezesha viongozi hao kufanya kazi yao…

11 January 2024, 1:10 pm

Bunda wapewa tahadhari ugonjwa wa Kipindupindu

Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewata wananchi wilayani Bunda kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa kipindupindu baada ya kuripotiwa mikoa jirani. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewata wananchi wilayani Bunda kuchukua tahadhari ya ugonjwa…

8 January 2024, 8:51 am

Mbunge Maboto atoa vifaa vya milion 28 kwa wanafunzi Bunda mjini

Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amekabidhi vifaa vya shule vyenye thamani ya shilingi mil 28 kwa wanafunzi wanaoishi kwenye mazingira magumu wanaotarajia kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo…

8 January 2024, 7:23 am

RC Mtanda awataka Nyatwali kuendelea na shughuli zao

Mkuu wa mkoa wa mara Mhe Said Mohamed Mtanda amewataka wakazi wa Nyatwali kuendelea na shughuli zao za kawaidi huku serikali ikiendelea kufanya ufuatiliaji wa wao kuhama. Na Adelinus anenwa Mkuu wa mkoa wa mara Mhe Said Mohamed Mtanda amewataka…

2 January 2024, 8:55 am

Wawili wapoteza maisha ajali ya gari mkesha wa mwaka mpya Bunda

Watu wawili wamefariki Dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa mkesha wa mwaka mpya eneo la Nyasura makumbusho wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Watu wawili wamefariki Dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa mkesha…

1 January 2024, 9:10 pm

Serengeti yaendelea kung’ara hifadhi bora barani Afrika

Hifadhi ya Taifa ya Serengeti imejipanga kuendelea kuboresha huduma mbalimbali ili kuwavutia watalii na kuifanya kuendelea kuwa hifadhi bora ya kwanza barani Afrika. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Kamishna Msaidizi wa Hifadhi Moronda B. Moronda…

27 December 2023, 1:03 pm

Aliyejeruhiwa na mamba Chrismas afariki: Bunda

Mmoja wa majeruhi wa tukio la kushambuliwa na mamba eneo la Mayoro kata ya Nyamihoro amefariki wakati akikibizwa hispitali ya mkoa Na Adelinus Banenwa Mmoja wa majeruhi wa tukio la kushambuliwa na mamba eneo la Mayoro kata ya Nyamihoro amefariki…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com