Mazingira FM

Recent posts

15 March 2024, 4:25 pm

Jumuiya ya wazazi CCM Bunda yalaani tukio la mwanafunzi kubakwa, kulawitiwa

Jumuiya ya wazazi CCM Bunda yalaani mwanafunzi kubakwa, kulawitiwa yaitaka serikali kubitia vyombo vyake kuhakikisha sheria inachukue mkondo wake kwa atakayethibitika kutenda kosa hilo. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa wazazi CCM wilaya ya Bunda wakili Leonard Magwayega amekemea vikali kitendo…

15 March 2024, 12:59 pm

Diwani wa kata ya Kisorya Bunda afariki dunia

Diwani wa kata ya Kisorya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda [CCM] Mhe Amos Lufunjo Ndaro amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo, Na Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Kisorya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda [CCM] Mhe Amos Lufunjo Ndaro amefariki…

13 March 2024, 6:26 pm

Mwalimu mkuu adaiwa kubaka, kulawiti na kumnywesha sumu mwanafunzi wake

Vitendo vya ukatili kwa watoto hasa ubakaji na ulawiti vimeendelea kushamiri Kanda ya Ziwa licha ya serikali na mashirika mbalimbali kupinga vitendo hivyo, juhudi za maksudi zinahitajika kumaliza tatizo hili. Na Adelinus Banenwa Tukio hilo linatajwa kutokea Machi 9, 2024,…

13 March 2024, 5:48 pm

Wananchi watakiwa kupunguza mifugo kulinda mazingira

Mhadhiri wa Chuo cha Kilimo Sokoine SUA Dkt. Lalika amesema kuwa kutokana na uwepo wa mifugo mingi hususani katika eneo la Wegelo unaleta madhara katika bonde la mto Mara hasa uharibifu wa Mazingira. Na Catherine Msafiri Katika kutathimini mradi wa…

12 March 2024, 1:48 pm

Aneth Nyamuziga achangia mbao 50 ujenzi nyumba ya katibu UWT Bunda

Mjumbe wa  mkutano mkuu UWT,  CCM taifa na  mjumbe wa halmashauri kuu CCM wilaya ya Ngara Aneth Philemon Nyamziga  amewapongeza wanawake wa CCM wilaya ya Bunda kwa kujitoa kukijenga chama na jumuiya ya wanawake bila kuchoka. Na Adelinus Banenwa Mjumbe…

12 March 2024, 12:48 pm

WWF yabaini vyanzo 578 vya maji Mara

Shirika la WWF katika kutekeleza mpango kazi walioandaa kwa mwaka wa fedha 2024 kwa kuziunga mkono jumuiya za watumia maji mkoa wa Mara, wamebaini vyanzo vya maji zaidi ya 578 ambapo lengo la mradi ni kufikia watu 20,000. Na catherine…

12 March 2024, 11:06 am

WWF yakutana na wadau juu ya uhifadhi vyanzo vya maji

Shirika la WWF limekutana na wadau na viongozi wa watumia maji mkoa wa Mara na maafisa mazingira ili kutathimini yale waliofanya ndani ya miezi 6 ya mradi wa uhifadhi wa Dakio la mto Mara. Na catherine Msafiri Shirika la WWF…

8 March 2024, 4:52 pm

Lugha za matusi marufuku kampeni za uchaguzi mdogo Mara

Viongozi wa vyama vya siasa na wafuasi wao wameonywa juu ya matumizi lugha za matusi na kejeli wakati wa kampeni za uchaguzi zinazoendelea katika kata 2 kwa mkoa wa Mara zinazotarajia kufanya uchaguzi mdogo wa udiwani mnamo March 20, 2014…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com