Mazingira FM

Recent posts

14 June 2024, 17:05

“Serikali ikemee ukiukwaji wa maadili, mila na utamaduni wetu”

“Sisi kama wazee tutatoa tamko la suala la maadili haya kupinga ndoa za jinsia moja na ulawiti hapa nchini” Na Adelinus Banenwa Wazee wameiomba serikali kukemea matendo ya ukiukwaji wa maadili, mila na desturi kwenye jamii hasa kizazi cha sasa.…

14 June 2024, 16:47

“Serikali isimamie program ya mazoezi kwa wazee”

Utu,usalama na ustawi ni nyenzo ya kutokomeza ukatili dhidi ya wazee. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa serikali kusimamia program za mazoezi kwa wazee ili waweze kuwa na afya bora. Hayo yamesemwa na baadhi ya wazee kwenye siku ya kwanza…

8 June 2024, 17:39

Wawili jela miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha

inadaiwa washtakiwa walimvamia Minza Kongo kisha kumkata mapanga na kuchukua vitu mbalimbali ikiwepo radio aina ya Subwoofer na pesa taslimu tshs 230,000/. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilya ya Butiama imewahukumu watu wawili kwenda jela miaka 30 kwa kosa la…

6 June 2024, 08:00

Grumet Fund watoa somo utunzaji wa mazingira

Mazingira yakitunzwa vizuri jamii itaepukana na majanga mbalimbali kama vile vimbunga, mafuriko, ukame wa muda mrefu magojwa ya kansa miongoni mwa majanga mengine. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kutunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.…

2 June 2024, 15:39

Vijana watakiwa kujitambua na kuachana na tabia zisizofaa

Vijana watakiwa kujitambua na kuachana na tabia zisizofaa kwa kuwa wao ndiyo nguzo ya familia na jamii Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa vijana kujitambua kuwa wao ndiyo nguvu ya familia na jamii hivyo hawana budi kuachana na makundi yasiyofaa…

30 May 2024, 20:26

Miaka 30 jela na viboko 6 kwa kosa la ubakaji

Mahakama yamuhukumu mshtakiwa miaka 30 jela kwa ubakaji, miaka 5 kwa kosa la kupoka, kulipa fidia ya milioni moja kwa mtuhumiwa na pia kuchapwa viboko 6. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya Butiama imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela…

30 May 2024, 14:01

Million 15 zatengeneza madawati Bunda mjini

Fedha za mfuko wa jimbo la Bunda mjini ni kiasi cha shilingi milioni 58.7 za mwaka 2023 na 2024 zimetumika kwa kiasi kikubwa kutengeneza madawati. na Adelinus Banenwa Zaidi ya million 15 za mfuko wa jimbo mwaka 2023 na 2024…

29 May 2024, 18:51

NMB yatoa msaada wa dawati 100 shule ya msingi Bigutu

“wanafunzi hakikisheni mnayalina na kuyatunza madawati pia walimu hakikisheni mnayakarabati madawati yaliyoharibika” DC Naano Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano ameishukuru bank ya NMB kwa kutoa msaada wa madawati shule ya msingi Bigutu huku…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com