Mazingira FM
Mazingira FM
14 June 2024, 17:05
“Sisi kama wazee tutatoa tamko la suala la maadili haya kupinga ndoa za jinsia moja na ulawiti hapa nchini” Na Adelinus Banenwa Wazee wameiomba serikali kukemea matendo ya ukiukwaji wa maadili, mila na desturi kwenye jamii hasa kizazi cha sasa.…
14 June 2024, 16:47
Utu,usalama na ustawi ni nyenzo ya kutokomeza ukatili dhidi ya wazee. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa serikali kusimamia program za mazoezi kwa wazee ili waweze kuwa na afya bora. Hayo yamesemwa na baadhi ya wazee kwenye siku ya kwanza…
8 June 2024, 17:39
inadaiwa washtakiwa walimvamia Minza Kongo kisha kumkata mapanga na kuchukua vitu mbalimbali ikiwepo radio aina ya Subwoofer na pesa taslimu tshs 230,000/. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilya ya Butiama imewahukumu watu wawili kwenda jela miaka 30 kwa kosa la…
6 June 2024, 09:15
Kipindi kinachoelezea kwa namna gani ushirikishwaji wa watu wenye ulemavu kwenye afua mbalimbali za kijamii unaleta mabadaliko ya kujitambua na kujithamini ili kufikia malengo yao – elimu kutoka shirika lisilo la kiserikali ATFGM-Masanga
6 June 2024, 08:00
Mazingira yakitunzwa vizuri jamii itaepukana na majanga mbalimbali kama vile vimbunga, mafuriko, ukame wa muda mrefu magojwa ya kansa miongoni mwa majanga mengine. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kutunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.…
2 June 2024, 16:17
Mhe Maboto “ili sehemu iwe na maendeleo inahitaji viongozi waadilifu katika kusimamia miradi na fedha zinazoletwa kwenye maeneo yao.” Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini mhe Robert Chacha Maboto amekabidhi meza 107 za wanafunzi shule ya sekondari…
2 June 2024, 15:39
Vijana watakiwa kujitambua na kuachana na tabia zisizofaa kwa kuwa wao ndiyo nguzo ya familia na jamii Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa vijana kujitambua kuwa wao ndiyo nguvu ya familia na jamii hivyo hawana budi kuachana na makundi yasiyofaa…
30 May 2024, 20:26
Mahakama yamuhukumu mshtakiwa miaka 30 jela kwa ubakaji, miaka 5 kwa kosa la kupoka, kulipa fidia ya milioni moja kwa mtuhumiwa na pia kuchapwa viboko 6. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya Butiama imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela…
30 May 2024, 14:01
Fedha za mfuko wa jimbo la Bunda mjini ni kiasi cha shilingi milioni 58.7 za mwaka 2023 na 2024 zimetumika kwa kiasi kikubwa kutengeneza madawati. na Adelinus Banenwa Zaidi ya million 15 za mfuko wa jimbo mwaka 2023 na 2024…
29 May 2024, 18:51
“wanafunzi hakikisheni mnayalina na kuyatunza madawati pia walimu hakikisheni mnayakarabati madawati yaliyoharibika” DC Naano Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano ameishukuru bank ya NMB kwa kutoa msaada wa madawati shule ya msingi Bigutu huku…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com