Mazingira FM
Mazingira FM
23 August 2024, 3:12 pm
Wakurugenzi tengeni na pimeni maeneo ya malisho ili kuondoa migogoro baina ya wakulima na wafugaji. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa Wakurugenzi wa halmashauri zote nchini kutenga na kupima maeneo ya wafugaji ili kuondoa migogoro baina ya wakulima na wafugaji…
23 August 2024, 2:10 pm
Wananchi watakiwa kuepuka kutoa namba zao za NIDA ovyo ili kuepuka changamoto ya kutumika vibaya kwa namba hizo. Na Gaudensia Zakayo Jumla ya vitambulisho 528 vya taifa (NIDA) havijachukuliwa katika kata ya Bunda mjini. Hayo yamesemwa na Mtendaji wa kata…
21 August 2024, 10:30 pm
Mkuu wa wilaya Busega mkoani Simiyu amesema waandamanaji walimrushia mawe akiwa na viongozi wengine alipofika kuwasikiliza. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu Faiza Salim amesema hadi sasa watu108 wamekamatwa kufuatia maandamano yaliyofanywa na wakazi wa lamadi…
21 August 2024, 12:40 pm
Jeshi la polisi Lamadi wilaya ya Busega mkoani Simiyu limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wanaoandamana kwenda kituoni hapo na kufunga barabara kuu ya Mwanza – Musoma wakishinikiza kuonana na Mkuu wa Wilaya baada ya watoto kupotea. Na Edward…
16 August 2024, 8:46 pm
Dkt Vicent Naano Mkuu wa wilaya ya Bunda amewataka wanafunzi kutumia vitabu hivyo kuongeza ujuzi na maarifa yatakayowasaidia kufanya vizuri kwenye masomo yao. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano amezindua maktaba shule ya sekondari…
15 August 2024, 9:59 pm
Wanafunzi wa shule ya sekondari Dkt Nchimbi wamesema tangu kuanza kupata chakula shuleni kumekuwepo na mabadiliko makubwa sana hasa vipindi vya mchana kwa kuwa kabla hawajaanza mpango wa kupata chakula shuleni wanafunzi hao walikuwa wakilala, kuchoka, kundondoka na wengine kutoroka…
15 August 2024, 8:41 pm
Mwanafunzi yeyote ambaye hatachangia chakula shuleni baadhi ya nyaraka zake zitazuiliwa akimaliza kidato cha nne. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Naano amewapongeza wazazi na walimu shule ya sekondari Dkt Nchimbi kwa kuwa na muendelezo mzuri…
13 August 2024, 2:16 pm
Kikao cha kujadili na kupokea maoni mbalimbali kutoka kwa wadau wa wilaya ya Bunda kuhusiana na dira ya maendeleo ya Taifa kwa mwaka 2025 hadi 2050. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ili kufikia malengo katika mpango wa dira ya taifa…
11 August 2024, 9:47 am
Na Edward Lucas Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, George Stanley Mbilinyi, amesisitiza umuhimu wa kumalizia ujenzi wa madarasa katika Shule ya Msingi Chamtigiti, baada ya serikali kutenga shilingi milioni 50 kwa ajili ya madarasa mawili kupitia miradi ya…
11 August 2024, 12:33 am
Na Edward Lucas Mbunge wa jimbo la Bunda, Mhe. Boniface Mwita Getere amewaomba viongozi wa serikali ya kijiji na wadau wengine wa elimu kuhakikisha ifikapo tarehe 30 Septemba 2024 wawe wamekamilisha ujenzi wa choo cha walimu shule ya msingi Chamtigiti…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com