Mazingira FM
Mazingira FM
3 October 2024, 4:36 pm
Changamoto yoyote ya matengenezo ya mtandao wa maji kwenda kwa mteja wa BUWSSA kabla ya Mita ni jukumu hilo ni kazi ya BUWSSA na matengenezo ya mteja yanahusu tu baada ya mita ya maji kwenda kwa mteja. Na Adelinus Banenwa…
27 September 2024, 1:20 pm
Msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya wilaya ya Bunda George Stanley Mbilinyi, Picha na Adelinus Banenwa Kwa mujibu wa kifungu cha 57 cha sheria ya serikali za mitaa sura ya 287 na kifungu cha 16 cha serikali za mitaa sura 288…
22 September 2024, 11:30 pm
Serikali inategemea sana mapato ya watalii ili kufanya shughuli za maendeleo na miongoni mwa wanyama pendwa kwa watalii ni pamoja na faru. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala Wilaya ya Serengeti Angelina Marco amewapongeza Maafisa na askari wa uhifadhi kwa kuhakikisha…
22 September 2024, 11:24 am
kwa mujibu wa sheria ya TAKUKURU namba 11 ya mwaka 2007 marejeo mwaka 2022, kugushi nyaraka kwa lengo la kumdanganya muajiri, kumiliki mali zisizoelezeka, matumizi mabaya ya madaraka, kujifanya ofisa wa TAKUKURU ni miongoni mwa makosa yaliyotajwa katika vifungu vya…
20 September 2024, 7:08 pm
Eneo hili liliitwa Zanzibar kutokana na kukosa huduma za muhimu kama vile maji, umeme pamoja na barabara. Na Adelinus Banenwa Wakazi wa mtaa wa Zanzibar kata ya Nyasura halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wameishukuru serikali kupitia Diwani wa…
19 September 2024, 8:52 pm
dalili kwa mama mwenye fistula ya uzazi ambapo ni pamoja na kutokwa na aja ndogo au kubwa kwa mfululizo bila kuwa na uwezo wa kujizuia, kutokwa na harufu mbaya ya mkojo au kinyesi miongoni mwa dalili zingine. Na Adelinus Banenwa…
19 September 2024, 2:57 pm
” Kabla ya kumkuta amejichoma kisu asubuhi jana alimeza dawa zangu vidonge saba na akaandika kikaratasi kama wosia akiaga watu yeye anadai eti amesambazwa kwenye mtandao wa tiktok kwamba ni shoga” Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la…
18 September 2024, 7:04 pm
“Mimi kama mkuu wa wilaya ya Bunda siwezi kukubali ujambazi kama huu wa kuwadhurumu wananchi haiwezekanai mtu akope milioni moja alafu alipe milioni kumi huu ni ujambazi” DC Vicent Naano. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt…
17 September 2024, 2:58 pm
Wakati mbunge wa jimbo la Bunda mjini akitoa msaada wa mahindi kwa wahanga wa upepo Sazira diwani wa kata hiyo aomba wadau wengine kujitokeza kuwashika mkono Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto atoa…
17 September 2024, 2:29 pm
Upatikanaji wa maji eneo la kisiwani Kilimani kitawezesha wanawake kuepukana na adha ya kuamka asubuh sana na kutembea umbali mrefu kufuata maji. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa mtaa wa kilimani (kisiwani) kata ya Bunda stoo waishukuru mamlaka ya Maji na…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com