Mazingira FM

Recent posts

6 May 2025, 10:18

Waliolipwa Nyatwali watakiwa kuondoka

Serikali tayari imetoa bilioni 53 kwa ajili ya ulipaji wa fidia kwa wakazi hao ili kuachia maeneo hayo yawe sehemu ya hifadhi ya taifa ya Serengeti. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa Nyatwali ambao tayari wamelipwa stahiki zao kwa utaratibu wa…

5 May 2025, 11:47

Kuelekea kilele maadhimisho ya siku ya urithi wa dunia

Maadhimisho ya siku ya urithi wa dunia ambayo yatafanyika Eneo la Mugumu wilaya Serengeti mkoani Mara na mgeni rasmi inatarajiwa kuwa mkuu wa mkoa wa Mara. Na Adelinus Banenwa Kamishna msaidizi mwandamizi Stephano Msumi ambaye ni mkuu wa hifadhi ya…

3 May 2025, 11:14

Amuua mpenzi wake kisha na yeye kujinyonga; Bunda

Ndege Makebe Karando (31) amuua kwa kumchoma visu aliyekuwa mpenzi wake ambaye ni muhudumu wa afya katika zahanati ya marambeka Zawadi John Kazi (35) kisha na yeye kujinyonga. Na Adelinu Banenwa Vilio na sintofahamu vimeendelea kutawala kwa wakazi wa kijiji…

1 May 2025, 20:24

Bei ya pamba msimu wa 2025/2026 kujulikana May 2 Bariadi

Macho na masikio ya wakulima wengi wa zao hilo nchini yatakuwa katika hafla hiyo, kwani matamanio ya wengi ni kuona bei ambayo itatangazwa Na Adelinus Banenwa Bodi ya Pamba Tanzania (TCB) inatarajia kutangaza bei elekezi ya ununuzi wa zao hilo…

1 May 2025, 16:32

Aliyemchoma mtoto wake mkono ahukumiwa, Bunda

Katika utetezi wake mshitakiwa aliiomba mahakama imuachie huru kutokana na yeye kuwa ni mjane na ana watoto watano wanamtegemea. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya Bunda imemuhukumu kifungo cha masharti (condition discharge) cha kutokutenda kosa lolote ndani ya miezi…

26 April 2025, 16:21

Kiwango cha malaria mkoa wa Mara asilimia 15

Wito umetolewa kwa wananchi kuzingatia usafi wa mazingira na matumizi sahihi ya vyandarua ili kuepuka maambukizi ya malaria Hayo yamesemwa leo na Dr Henry Lukamisa ambaye ni mratibu wa Malaria mkoa wa Mara wakati akizungumza kupitia Radio Mazingira fm ndani…

23 April 2025, 16:41

Mwalimu jela miaka 30 kwa ubakaji, ulawiti Bunda

Mbali na kifungo cha miaka 30 pia mahakama imeamuru kulipa fidia ya shilingi milioni 2 kwa muhanga kwa mujibu wa sheria ya uendeshaji wa makosa ya jinai 348 (1) sura ya 20 marejeo ya mwaka 2022. Na Adelinus Banenwa Mahakama…

22 April 2025, 20:42

Dr Nchimbi: Asilimia 90 ya wakazi wa Nyatwali wamelipwa

Waliosalia asilimia 10 katika kipindi kifupi malipo yatakamilika huku akimuagiza waziri wa fedha kukamilisha mchakato huo ndani ya siku 14 Na Adelinus Banenwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi CCM Taifa Dr Emmanuel Nchimbi amewatoa hofu wakazi wa kata ya…

19 April 2025, 20:28

Habibu: Usikate bima baada ya kupata matatizo

Sheria ya bima inayatambua makundi matatu  ambayo ni taasisi inayotoa bima, taasisi, kampuni au mtu anayekata bima na kundi la tatu ni wanaopata majanaga ambao hawafungamani na makundi mawili ya awali Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa jamii kuondoa dhana…

16 April 2025, 17:10

Nyamo-hanga azikwa leo kwao Bunda

Ni aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa TANESCO aliyefariki kwa ajali ya gari eneo la nyatwali Bunda Na Adelinus Banenwa Shughuli ya mazishi ya aliyekuwa mkurugenzi wa TANESCO Boniface Gissima Nyamo-hanga inaendelea nyumbani kwake Mtaa wa Migungani kata ya Bunda stoo Bunda…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com