Mazingira FM
Mazingira FM
14 March 2026, 13:04
Dkt.Regnand Milinga wito kwa wananchi endapo mtu ataonekana na dalili za nimonia ni muhimu kufika kituo cha kutolea huduma za afya kwani ugonjwa huo ni hatari na ni rahis kusababisha kifo Na Catherine Msafiri Imeelezwa kuwa kati ya magonjwa ambukizi…
9 March 2026, 11:21
Duka au muuzaji wa mbegu aliyesajiliwa akikamatwa anauza mbegu ambazo siyo bora kwa mujibu wa sheria ya mbegu ya mwaka 2003 atalipa faini kati ya milioni 100 hadi milioni 500. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wakulima kutumia mbegu bora…
8 March 2026, 13:21
Wanawake mkoani Mara wamehimizwa kutumia maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kama fursa ya kujijengea uwezo wa kiuchumi kupitia shughuli za uhifadhi wa mazingira na uzalishaji wa mazao ya lishe Na Catherine Msafiri, Wanawake mkoani Mara wamehimizwa kutumia maadhimisho ya…
6 March 2026, 19:38
Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Bunda, Mheshimiwa Mulokozi Kamuntu. Na Adelinus Banenwa Kesi ya jinai namba 21 ya mwaka 2026 inayosikilizwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda inaendelea kusikilizwa huku washtakiwa wakitetewa na…
5 March 2026, 20:48
Chalamila ameipongeza TAKUKURU wilaya ya Bunda kwa usimamizi mzuri wa mradi huo, na matumizi sahihi ya fedha iliyotolewa hadi bubakiza kiasi hicho cha fedha cha shilingi million 31 Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni 363,133,211.13 zimetumika katika ujenzi wa…
28 February 2026, 17:37
Mtoto huyo alitoka ndani ya nyumbani anakoishi na mama yake mdogo na kwenda kutekeleza tukio hilo la kujinyonga kwenye mti uliopo pembeni mwa nyumba yao. Na Adelinus Banenwa Mtoto aliyetambulika kwa jina la Joshua Judicate Muro mwenye umri wa miaka…
28 February 2026, 15:04
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi, aagiza watu wote waliovamia maeneo ya Chama Kikuu cha Ushirika Pamba Mara, kuondoka mara moja Na Thomas Masalu Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi, ameagiza watu wote waliovamia maeneo ya Chama Kikuu…
28 February 2026, 14:38
Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Mussa Hussein,akipokea vifaa mbalimbali ikiwemo madawati 248 na kompyuta 2 kwa ajili ya shule za msingi katika jimbo hilo. Na Thomas Masalu Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Mussa Hussein,…
26 February 2026, 19:05
Ameonesha kutokulidhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa zahanati ya Mahanga ambayo hadi sasa utekelezaji wake umesimama kutokana na uzembe wa watendaji Na Mariam Mramba Viongozi wa vijiji wametakiwa kushirikiana vizuri katika usimamizi wa fedha zinazotolewa na…
26 February 2026, 10:06
Jumla ya wanafunzi 850 kutumia vyumba viwili vya madarasa pamoja na matundu mawili ya vyoo. Na Mariam Mramba Shule ya msingi Tingirima iliyopo kata ya Mugeta halmashauri ya wilaya ya Bunda inakabiliwa na uchakavu wa miundombinu ikiwemo vyumba vya madarasa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com