Mazingira FM
Mazingira FM
23 February 2026, 20:13
Dr. Wambura amesema kuwa kuanzia sasa malipo yote ya huduma za afya yatafanyika kwa kutumia namba ya malipo (Contor Number), hatua inayolenga kuimarisha uwazi Na Thomas Masalu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, Dr. Yusuph Stephen Wambura, ametoa…
21 February 2026, 12:17
Wanafunzi wametakiwa kujitahidi katika masomo yao ili kuandaa taifa na viongozi bora wa baadaye. Na Taro Michael Mujora Wanafunzi wametakiwa kujitahidi katika masomo yao ili kuandaa taifa na viongozi bora wa baadaye. Wito huo umetolewa na Katibu Tawala wa Wilaya…
20 February 2026, 10:35
Amewakumbusha madereva kutoendesha wakiwa wamelewa au kwa mwendo kasi, na kuhakikisha wanaendesha wakiwa na leseni zao wakati wote. Na Adelinus Banenwa ASP Faustin J. Buhembere, Mkuu wa Usalama Barabarani Wilaya ya Bunda, ametoa mwongozo wa kina kwa watumiaji wa barabara…
19 February 2026, 12:49
Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara limepitisha bajeti yenye jumla ya shilingi bilion 38,947,705,000 Na Edward Lucas Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara limepitisha Bajeti yenye jumla ya Shilingi bilion 38,947,705,000 kwa…
13 February 2026, 21:10
Aagiza watoto waliosalia wote wawe wameripoti shule ifikapo Feb 28 2026, Na Adelinus Banenwa Jumla ya wanafunzi 374 wa kidato cha kwanza 2026 halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara hawajaripoti shuleni. Hayo yamesemwa na Mkuu wa wilaya ya Bunda…
12 February 2026, 11:48
Mratibu wa damu salama halmashauri ya mji wa Bunda, mkoani Mara, Stephano Machage ametoa wito watu kujitokeza kuchangia damu kuokoa maisha ya mama na mtoto. Na Catherine Msafiri, Jamii imetakiwa kujitokeza kwa wingi kuchangia damu ili kuokoa maisha ya mama…
11 February 2026, 12:19
Kamese amesema kuwa upandaji miti una mchango mkubwa katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi hasa kwa wakulima kwani shughuli zao nyingi zinategemea hali nzuri ya hewa. Na Catherine Msafiri Mkurugenzi wa BUFADESO, Baraka Kamese, ametoa wito kwa wananchi kupanda miti…
10 February 2026, 17:47
Meneja mkaazi – Vi Agroforestry Martha Olotu amesema mradi wa ASILI B –CC unalengo la kukabiliana na matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja na lishe duni na mabadiliko ya tabia nchi. Na Catherine Msafiri Shirika la Vi Agroforstry kwa kushirikiana na…
8 February 2026, 21:45
Madaktari walithibitisha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mtoto kunywa maji. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kuacha tabia ya kuchimba madimbwi pamoja na mashimo ya choo kisha kubaki wazi muda mrefu ili kuepuka madhara ya watoto kudumbukia na…
6 February 2026, 19:31
Tukio hilo limetokea tangu siku ya Alhamis tarehe 5 Feb 2026 majira ya saa kumi za jioni ambapo tangu wakati huo hadi sasa jitihada za kumtafuta mtoto huyo zinaendelea. Na Adelinus Banenwa Mtoto mmoja aliyetambulika kwa jina la Enock Kulwa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com