Mazingira FM
Mazingira FM
11 December 2025, 10:48 am
Mbali na kipigo alichokuwa akipigwa mtoto huyo pia alikuwa akifanyishwa kazi zilizokuwa juu ya uwezo wake kama vile kuosha vyombo, kufagia nyumba na wakati mwingine alikuwa akinyimwa chakula kabisa. Na Adelinus Banenwa Mtoto wa miaka 3 jinsia ya kike jina…
7 December 2025, 12:45 pm
Mhe Aswege Enock Kaminyoge ameitaka halmashauri kuandaa mafunzo kwa madiwani hao ili kuwakumbusha majukumu yao kwa mujibu wa miongozo sheria na kanuni za kudumu za halmashauri. Na Adelinus Banenwa Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limemchagua Mhe Renatus…
2 December 2025, 4:24 pm
Wataalamu wa afya wanaendelea kutekeleza afua mbalimbali kwenye jamii ikiwemo kutoa elimu juu ya watu kujikinga na maambukizi mapya ya vvu, kuhamasisha wananchi kupima na kujua afya zao, kuendelea kuhamasisha waliogundulika kuwa na maambukizi kutumia dawa kwa usahihi ili kufubaza…
29 November 2025, 2:42 pm
Katika mjadala tumechambua nini maana ya habari za uongo ,madhara ya habari za uongo ,huku tukitazama namna jamii inavyoweza kutumia njia mbalimbali kuthibitisha habari ili kuepuka madhara Na Catherine Msafiri Hili ndilo swali tulilojadili katika kipindi cha jumamosi kilichowapa nafasi…
26 November 2025, 2:51 pm
Mkurugenzi wa kampuni ya Tecto Community Company Juma elias Serengeti Safari Marathon yapanda miti katika shule za msingi Balili B ,shule ya msingi Azimio ,Bunda Girls, shule ya ajali ushashi na kunzugu Na Catherine Msafiri, Katika kuendeleza juhudi za utunzaji…
24 November 2025, 6:44 pm
Wanaotaka kushiriki Serengeti Safari Marathon walipie mix by yas shilingi 45 kwa mbio za kilometa 5,21 na 42. Na Catherine Msafiri, Yas wamesema wataendelea kudhamini shughuli mbalimbali za kijamii ikiwa ni Sehemu ya kurudisha shukurani kwa wateja wao. Hayo yamesemwa…
23 November 2025, 7:51 pm
Mamlaka hiyo ya maji inakwenda kutatua changamoto kubwa ya maji inayokabili chuo hicho na jamii ya wakazi wa kisangwa kwa muda mrefu. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni moja na laki nane kimepatikana katika mahafali ya 41 chuo cha…
20 November 2025, 7:55 pm
Usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa UVIDA una athari nyingi ambapo ni pamoja na gharama kubwa ya matibabu, hatari ya ugonjwa wa figo n.k Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa jamii kuhakikisha wanamaliza dozi za dawa wanazokuwa wamepewa…
18 November 2025, 9:06 pm
Umekuwa ni utaratibu wa Bank hiyo kutenga asilimia moja ya faida yao kwa mwaka kuirejesha katika kusaidia jamii katika huduma mbalimbali za kijamii kama vile afya na elimu. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa umbali kutoka nyumbani hadi shule ilikuwa ikipelekea…
18 November 2025, 12:54 pm
Rehema Kapile afisa lishe makundi yote sita ya vyakula ni rahisi kupata na hata kwa jamii zenye uchumi wa chini hivyo wajawazito watumie ili kuepukana na athari zinazoweza kutokea akiwa na lishe duni. Na Catherine Msafiri, Ukosefu wa lishe bora kwa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com