Mazingira FM
Mazingira FM
13 December 2025, 2:38 pm
Jamii yatakiwa kuzingatia malezi kwa watoto kuanzia ngazi ya familia badala ya wazazi kuwa bize na kazi, pia kufuata sheria ili kuepukana na ukatili wa kijinsia. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa hali ya ukatili wa kutelekezwa bado ni changamoto kubwa…
13 December 2025, 1:49 pm
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
13 December 2025, 1:44 pm
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
13 December 2025, 1:27 pm
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
13 December 2025, 1:19 pm
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
12 December 2025, 8:50 pm
Kwa mwaka mzima tumepata mafanikio mbalimbali ikiwemo kushika nafasi ya pili katika maonesho ya kilimo misitu yaliyoanadaliwa na Vi Agroforestry kutokana na ubora wa bidhaa zinazozalishwa na wakulima wetu. Na Adelinus Banenwa Afisa maendeleo wa halmashauri ya mji wa Bunda…
11 December 2025, 5:22 pm
Afisa kilimo Elton Dickson Mtani kilimo mseto ni miongoni mwa mbinu bora zinazoweza kuwasaidia wakulima kukabiliana na changamoto zinazosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi. Na Catherine Msafiri, Katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi wakulima wameshauriwa kutumia kilimo mseto…
11 December 2025, 12:43 pm
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wazazi juu ya tabia ya mzee huyo lakini hawakuwa na ushahidi wa kumkamata na ndipo siku ya tukio waliandaa mtego ambao ulipelekea kumnasa mzee huyo akiwa amemfungia mtoto huyo ndani. Na Adelinus Banenwa Mtoto…
11 December 2025, 10:48 am
Mbali na kipigo alichokuwa akipigwa mtoto huyo pia alikuwa akifanyishwa kazi zilizokuwa juu ya uwezo wake kama vile kuosha vyombo, kufagia nyumba na wakati mwingine alikuwa akinyimwa chakula kabisa. Na Adelinus Banenwa Mtoto wa miaka 3 jinsia ya kike jina…
7 December 2025, 12:45 pm
Mhe Aswege Enock Kaminyoge ameitaka halmashauri kuandaa mafunzo kwa madiwani hao ili kuwakumbusha majukumu yao kwa mujibu wa miongozo sheria na kanuni za kudumu za halmashauri. Na Adelinus Banenwa Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limemchagua Mhe Renatus…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com