Mazingira FM
Mazingira FM
14 November 2025, 1:00 pm
Dr. Victor Christopher hospitari ya rufaa ya kumbukumbu ya mwalimu Nyerere inapokea wagonjwa wengi wapya kwa mwezi takribani 2500 hadi 3000. Na Catherine Msafiri, Imeelezwa kuwa uzito mkubwa, unywaji wa pombe kupita kiasi, ulaji wa chumvi nyingi vyatajwa kuwa miongoni…
14 November 2025, 12:19 pm
Afisa Kilimo, Elton Dickson Mtani, jamii inapaswa kupunguza matumizi ya mbolea za viwandani, kuacha ukataji miti hovyo na kuepuka uharibifu wa vyanzo vya maji, ili kulinda mazingira. Na Catherine Msafiri, Jamii imetakiwa kutunza mazingira na kupunguza shughuli za kibinadamu zinazochangia…
27 October 2025, 8:53 pm
Wananchi baada ya kupiga kura wanarejea majumbani mwao kwa utulivu, ili kuepusha mikusanyiko isiyo ya lazima katika maeneo ya vituo vya kupigia kura. Na Thomas Masalu Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mhe. Aswege Enock Kaminyoge, amewatoa hofu wananchi wa wilaya…
27 October 2025, 8:37 pm
Mwenye jukumu la kulinda raia na mali zake kwa mujibu wa ni jeshi la polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Butiama kujitokeza kwa wingi siku ya tarehe 29 oct 2025…
27 October 2025, 4:13 pm
Sikiliza hoja zenye kutafakalisha, simulizi za kweli, na sauti zinazovunja ukimya kuhusu ushiriki wa wanawake kwenye maamuzi ya nchi. Na Dina Shambe na Edward Lucas Katika kipindi hiki maalumu cha Redio Mazingira FM ,wachambuzi wa masuala ya kijamii,Viongozi wanawake,na wananchi…
25 October 2025, 8:53 pm
Waliopoteza vitambulisho vyao vya kupigia kura na majina yao yapo kwenye daftari la kudumu la mpiga kura wanayo nafasi ya kupiga kura kwa kutumia vitambulisho vyenye majina yao kama vile leseni ya udereva pass ya kusafiria au kitambulisho cha taifa…
25 October 2025, 8:40 pm
Asema endapo atachaguliwa, kipaumbele chake kitakuwa ni kuinua maendeleo ya wananchi wa Bunda Mjini Na Thomas Masalu Mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Bunda Mjini, Estar Bulaya, amehitimisha kampeni zake leo katika viwanja vya Stendi ya…
24 October 2025, 1:38 pm
Jumla ya wapigakura wenye sifa kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ni takribani watu 253.891 Na Adelinu Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Aswenge Enock Kaminyoge amewahakikishia wananchi wilayani Bunda ambao wanasifa za kupiga kura tarehe…
20 October 2025, 6:36 pm
Ujenzi huo umewezeshwa na Polish Aid na Foundation Kiabakari, na sasa kituo kina uwezo wa kuhudumia watoto 160 kwa kutoa malezi, elimu, ushauri nasaha na ulinzi wa kijamii. Na Thedy Thomas Katika juhudi za kulinda na kuwahudumia watoto waliokumbwa na…
19 October 2025, 4:25 pm
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com