Mazingira FM
Mazingira FM
23 April 2025, 4:41 pm
Mbali na kifungo cha miaka 30 pia mahakama imeamuru kulipa fidia ya shilingi milioni 2 kwa muhanga kwa mujibu wa sheria ya uendeshaji wa makosa ya jinai 348 (1) sura ya 20 marejeo ya mwaka 2022. Na Adelinus Banenwa Mahakama…
22 April 2025, 8:42 pm
Waliosalia asilimia 10 katika kipindi kifupi malipo yatakamilika huku akimuagiza waziri wa fedha kukamilisha mchakato huo ndani ya siku 14 Na Adelinus Banenwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi CCM Taifa Dr Emmanuel Nchimbi amewatoa hofu wakazi wa kata ya…
19 April 2025, 8:28 pm
Sheria ya bima inayatambua makundi matatu ambayo ni taasisi inayotoa bima, taasisi, kampuni au mtu anayekata bima na kundi la tatu ni wanaopata majanaga ambao hawafungamani na makundi mawili ya awali Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa jamii kuondoa dhana…
16 April 2025, 5:10 pm
Ni aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa TANESCO aliyefariki kwa ajali ya gari eneo la nyatwali Bunda Na Adelinus Banenwa Shughuli ya mazishi ya aliyekuwa mkurugenzi wa TANESCO Boniface Gissima Nyamo-hanga inaendelea nyumbani kwake Mtaa wa Migungani kata ya Bunda stoo Bunda…
12 April 2025, 7:16 pm
Barrick North Mara umetenga kiasi cha shilingi bilioni 4.687 fedha ya uwajibikaji wa kampuni kwa wananchi CSR Na Edward Lucas Mgodi wa Barrick North Mara umetenga kiasi cha shilingi bilioni 4.687 fedha ya uwajibikaji wa kampuni kwa wananchi CSR kwa…
7 April 2025, 8:50 pm
Mwananchi kushawishi mgombea au mtia nia kumpatia chochote ni kinyume na sheria ya takukuru sura ya 329 kifungu cha 15 (8) Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kutojihusisha na vitendo vya rushwa hasa kwa kuwashawishi viongozi na watia nia…
5 April 2025, 12:08 am
Watuhumiwa hao wanatajwa kutenda makosa ya Matumizi mabaya ya Madaraka, kughushi nyaraka kwa lengo la kumdanganya muajiri, kuunda vikundi hewa na kufanya ubadhirifu wa shilingi milioni 3. Na Adelinus Banenwa Watu wanne akiwemo diwani wilayani Bunda wamefikishwa mahakani kwa tuhuma…
4 April 2025, 5:09 pm
Katika wiki ya wazazi jumuiya hiyo imefanya kazi mbalimbali kwenye jamii ikiwemo ufanyaji wa usafi katika maeneo mbalimbali, upandaji miti, kutembelea vituo vya afya. Na Adelinus Banenwa Jumuiya ya wazazi chama cha mapunduzi CCM wilaya ya Bunda kimepongeza kituo cha…
2 April 2025, 6:49 pm
Amewataadharisha viongozi hao kuepuka watu wanaotaka nafasi za uongozi kwa kutumia rushwa. Na Adelinus Banenwa Katibu wa Elimu, malezi na Maadili jumuiya ya wazazi CCM Bunda ndugu Masau Magala ameitaka jamii kuzingatia kuzingatia suala la Maadili na kuepuka vitendo vya…
30 March 2025, 12:58 pm
Kwa mujibu wa kifungu cha 51 na 52 cha sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa sura ya 329 kinaeleza vizuri kwa namnagani taarifa zinazotolewa zinakuwa za siri na maafisa wa takukuru wanazilinda na kumlinda mtoa taarifa. Na Adelinu Banenwa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com