Mazingira FM
Mazingira FM
13 August 2025, 19:07
Mazingira ya dereva kukimbia eneo la tukio la ajali linashauriwa endapo mazingira ya usalama wake yatakuwa ni hatari na si vinginevyo. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa kwa mujibu wa sheria ya usalama barabarani kifungu cha 68 kinamtaka dereva aliyesababisha ajali…
10 August 2025, 15:20
“Ukiwa mdau wa maendeleo na ukatoa mchango unaoigusa jamii moja kwa moja basi na wewe mungu anazidi kukubariki” Na Taro Michael Mujora Wadau mbalimbali wametakiwa kushirikiana kwa karibu na jamii katika kugusa mahitaji ya watu wenye uhitaji, hususan kupitia taasisi…
8 August 2025, 11:54
Msaada huo umetolewa kwa lengo la kuhakikisha watoto hao wanapata huduma za afya kwa urahisi na usalama. Na Taro Michael Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na waendesha baiskeli wa twende Butiama wametoa msaada wa kadi za bima ya afya kwa…
7 August 2025, 11:57
Kangi Lugola ampiku Kajege kura za maoni Mwibara huku Boni Getere aking’ara jimbo la Bunda Na Adelinus Banenwa Ni waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wa zamani Kangi Lugola ameongoza kura za maoni za chama cha mapinduzi kwa jimbo…
5 August 2025, 06:19
Mkurugenzi wa uchaguzi CCM Wilaya ya Bunda Michael Chonya amesema kuwa Maboto amepata jumla ya kura 2,545, Na Edward Lucas Ni mbunge anayetetea nafasi yake Robert Maboto amewashinda Esther Bulaya na Kambarage Wasira kura za maoni Bunda Mjini Robert Chacha…
4 August 2025, 18:22
kiapo walichokiapa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi mbele ya Mhe hakimu wa mahakama ya Mwanzo Oscar Lyimo ni kujiondoa kuwa mfuasi wa chama chochote cha siasa na pili ni kiapo cha kutunza siri Na Adelinus Banenwa Jumla ya wasimamizi wasaidizi wa…
26 July 2025, 20:22
Jamii inatakiwa kubadilika na kuacha kumaliza kesi zaukatili majumbani na kuwaacha wahanga wakibaki na maumivu Na Adelinus Banenwa Jamii yashauriwa kuwa na mwamko wa kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia kwenye mamlaka zinazohusika na kuacha kumaliza kesi hizo kienyeji ili…
25 July 2025, 16:23
Mambo ya kuzingatia kama kufanya maandalizi wakati wa kwenda kuripoti kwa kuhakikisha usalama wako kimazingira na hata kwenye mavazi. Na Catherine Msafiri Waandishi wa habari kutoka radio za kijamii wameaswa kuhakikisha wanakua na maandalizi mazuri ya namna ya kuripoti habari…
25 July 2025, 16:09
Mafunzo haya yamelenga kuwajengea uwezo wanahabari nchini kufahamu mbinu za kugundua na kukabiliana na habari za uzushi kwa kutumia teknoloji. Na Catherine Msafiri Nukta Africa imeandaa mafunzo ya jinsi ya kuthibitisha habari na kukabiliana na habari za uzushi/uongo kwa waandishi…
25 July 2025, 07:36
Siku moja baada ya Mazingira FM kuripoti tukio la mama kujinyonga Bunda katika mtaa wa Migungani kata ya Bunda Stoo mwingine tena kujeruhi kisha kujinyonga. Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Spareas Magaso (61), mkazi wa mtaa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com